Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
unakuta wanaovujisha hizo paper wenyewe ni TISSKuna jamaa wa Utumishi anakuambia hiyo ishu imeishaletwa mezani na wazee wa kazi(TISS) waliokuwa kazini siku hiyo dodoma.
INAONEKANA ITAJADILIWA KINDIKI NDIKI
Nimesema kwa kiasi kikubwa. Kwanza applications na supporting documents zilikuwa zinafanyika online, pili Ack ilikuwa online. Wale shortlisted candidates walikuwa wanapigiwa simu tu. Pamoja na hayo mapungufu unayoyasema taasisi ilipata "watoto wa wakulima" wengi sana. Haya malalamiko ya mitihani kuvuja hayakuwahi kuwepo wakati wake. Yameanza baada ya huu mchakato huu kuhamishiwa sehemu nyingine.hata ungewekwa mfumo gani kubebwa kungekuwepo, unafikiri Kunenge angeweza kumpiga chini mtoto wa dada ake andapo angeomba kazi hapo?
Mara ya mwisho kufanya mitihani ya utumishi ilikua 2018 baada ya kuona magumashi mengi , niliamua kuachana nayo na kufanya mambo yangu tu , kufunga safari kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine ni kupoteza muda na pesa pia, usirudie tenaKutoka kwa mdau,
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.
Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja
Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.
Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar
View attachment 1885554
Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
huyu samiah nae alisema atatoa professional works zaid ya 40,000. Ni kwanini wasimwage hizo kazi za TRA bila interview? mbona watu 9,000 ni wachache sana kwenye nafasi za tax na customs?Kutoka kwa mdau,
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.
Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja
Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.
Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar
View attachment 1885554
Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
duh!! aiseee!!! mwenzako kamwaga ugali wee ukaona umwage na mboga kabisa yani.1.A -corruption
-conspirancy
-trespassing/leaving without following procedures
-Smuggling
-aiding/abetting
B-description of goods either merchandise, livestock, wares, articles or currency
-Quantity
-Quality
-Package
4. A- The VAT Act 1997
-The EFD Act 2010
-The EACCM Act 2004
-The EACCM Act Amendment 2011
-The Excise management and Tarrif Act
B-transaction value of imported goods
-transaction value of identical goods
-transaction value of similar goods
-deductive method
-computed method
-fall back method
5.- Quantitative research
-Qualitative research
-Descriptive research
-Comperative research
-Experimental research
View attachment 1885693
nyie ndo watoto wa vigogo mnaopitishwa kiholela tuu, mafisadi makubwa msokuwa na haya. Mnastahili kuzibuliwa.Mwaka 2017 niliitwa kwenye usaili bila hata kua nimetuma maombi, Ni simu za hongera ndio zilinishtua mpaka nikafatilia nikajua ni ukweli bahati mbaya nilikua tayari harakati zangu zinazaa matunda sikwenda. Jiamini kijana hata Kama pepa imevuja bado unayo nafasi.
"na hii ndio sababu nchi ipo vilevile miaka nenda rudi sababu wajinga ndio viongozi"Ukirudisha karatasi ya majibu bila kuweka hiyo ya maswali unakuwa disqualified. Pia msimamizi hawezi kukubali kuipokea
Nani afanye hivyo ili tu aende kupiga picha?
Hiyo paper ni kweli imevuja, na hii ndio sababu nchi ipo vilevile miaka nenda rudi sababu wajinga ndio viongozi
Hii mtihani kwa jinsi nilivyouona naona kama ukiwa ulisoma tax kwa kupapasa papasa basi hupati kitu.nadhani wanaoweza kuwa confortable niwa watu waliosoma chuo cha kodiKutoka kwa mdau,
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.
Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja
Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.
Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar
View attachment 1885554
Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Sawa kabisa mfanyakazi wa utumishi,endelea kutetea kitumbua chako.kuna watu mnapenda kulalamika
nilienda kufanya paper hapo utumishi nadhani pia ulivuja lakini nilifanya kilichonipeleka kwenye written nikavuka ingawa sikuwa wa kwanza kwenye oral nikaibeba mimi ile nafasi na aliyeongoza kwenye written akatupwa mbali. kwenye lile group letu watu kibao wameshapata kazi na hawana connection na haya yametokea mwezi mmoja uliopita. acheni kulalamika haitosaidia kitu mwenye kubebwa hata asipopewa hiyo paper atabebwa tu.
Alisikika mfanyakazi wa utumishi akiongea kwa sauti huku akiyumba kwa ulevi.Hayupo mtu mwenye maadili kwenye hii dunia haijalishi ameingia sehemu kihalali au kijanja janja
Hicho.ki photocopy chake mbona kakileta baada ya mtihani ?Sometimes jaribu kuficha ujinga wako unapoona watu wenye akili waki discuss mambo ya msingi.
Hapana sijafurahi mkuu.Mkuu mbona kama unafurahi
Una matatizo ya akili.Hicho.ki photocopy chake mbona kakileta baada ya mtihani ?
Halafu hayuko serious angepeleka Takukuru na aeleze huyo aliyemrushia mwenye group ya watsap wachunguze wakiona Ni kweli interview ingefutwa na watu kibao wangedakwa na yeye pengine angeweza hata kupata ajira Takukuru au polisi nk Kama Asante kwa kufichua Hilo genge
Kuandika ki umbeya tu Ni utoto hakustahili huyu kwenda hata interview .Kama anaficha tu kuweka wazi wezi wa mitihani si ataficha mbeleni wakwepa Kodi.Aanike wazi aache ujinga
Yaani ulikua unapigiwa Simu za hongera za sababu ya kuitwa kwny interview ya utumishi au sijaelewa?Mwaka 2017 niliitwa kwenye usaili bila hata kua nimetuma maombi, Ni simu za hongera ndio zilinishtua mpaka nikafatilia nikajua ni ukweli bahati mbaya nilikua tayari harakati zangu zinazaa matunda sikwenda. Jiamini kijana hata Kama pepa imevuja bado unayo nafasi.
Tax officer anatakiwa kuwa Jasiri sio muoga wewe sio wa kigomaKutoka kwa mdau,
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.
Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja
Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.
Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar
View attachment 1885554
Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Bange Ni hatari mno.hii yawezekana kuna mtu alllingia na simu akapiga au kama waliondoka na karatasi amepiga baada ya mtihani
Xavier atakua kwny kitimoto.Kuna jamaa wa Utumishi anakuambia hiyo ishu imeishaletwa mezani na wazee wa kazi(TISS) waliokuwa kazini siku hiyo dodoma.
INAONEKANA ITAJADILIWA KINDIKI NDIKI
Ma genius wa JF wanakwambia Kama Ni bahati yako utapata tu πππWhat next sasa hapoπ , yani kama sisi wa LLB ndio fursa ya kwanza kuitwa utumish na tukakutana na mambo hayo,
Na kuna genius pale juu anakwambia mitihani ya utumishi hua Ni mwepesi saaaaana.,πππππHii mtihani kwa jinsi nilivyouona naona kama ukiwa ulisoma tax kwa kupapasa papasa basi hupati kitu.nadhani wanaoweza kuwa confortable niwa watu waliosoma chuo cha kodi
Umegonga nyundo mkuuAcha kulalamika, utapoteza muda wako. Riziki yako hakuna binadamu wa kuzuia usiipate, pambana.
Halafu achana na mawazo ya chuo kufikiri mtiani ndio kila kitu, tafuta namna tengeneza network.