Kukithiri kwa rushwa kwa baadhi ya viongozi kunapelekea haya yoteKwa kweli nimestuka sana, baada ya juzi kukutana na binti baba yake mkongo, mama yake mrwanda. Halafu anajiita mtanzania kabisa! Wamejaa pale UDOM
Sio peke yake hadi marehemu na vp wa sasaDoto Boteko
Hii story ndo inasemekana ilisababisha kifo cha Mtikila.
Sio peke yake hadi marehemu na vp wa sasa
Aisee, ni nomaHawa jamaa ni noma,hapa Tz wamo Jeshini,Polisi,Magereza,TRA,TCRA,TANESCO,PCCB,MUHAS,EWURA,DAWASCO,TISS,mpaka Task Force,wanaangalia saa tu siku moja mkuu wa majeshi atakuwa na Tutsi origin,TISS HIVYOHIVYO,PCCB NA SERIKALINI KOTE.Wameingiza watu mpaka wamefikia ngazi za ukurugenzi na ukuu wa idara.
hapa akigongwa na gari inaonekana plan zake za mauaji unazifahamuIla this time amegusa pabaya,amemgusa kagame,tusubiri kuona akigongwa na gari au akivamiwa na majambazi wasiojulikana na kuuwawa
Pongezi kwa sana CDFHatimaye CDF kayazungumza haya
Aisee umeongea ukweli lazima tufanye jambo la kumuenziHatukumtendea haki mtikila kwa kuachwa auliwe kwa taarifa muhimu kqa taifa
Bado utekelezajiPongezi kwa sana CDF
Dah, acha tu!Hatukumtendea haki mtikila kwa kuachwa auliwe kwa taarifa muhimu kqa taifa
Nani kachukuliwa leo?Hadi aliyechukuliwa leo ni project hiyo ya kuvuta wenye asili moja …
Jeshi limeona liseme mapema
Duh. Huu ni utabiri?mtikila aliwahi kusema katibu mkuu wa sasa wa nccr mageuzi sam ruhuza anaandaa jeshi la uasi kwa msaada wa kagame na kwamba eti sam amekua akikutana na kagame mara kwa mara! bahati nzuri sam ni mshkaji wangu sana tu na wala huyo kagame hajawahi hata kukutana nae na wala hamjui zaidi ya kumuona kwenye luninga tu,hiyo ilikua 1995!
Ila this time amegusa pabaya,amemgusa kagame,tusubiri kuona akigongwa na gari au akivamiwa na majambazi wasiojulikana na kuuwawa
Ten years later the same storyNdefu iyo.. Bt hata JW waliwahi kukiri kua kuna maofisa wenye origin ya kigeni ( Tutsi ) na waliwastaafisha kwa lazima sasa hapo sioni kama kuna kilichosalimika tena.. ingawa huyu bwna chris nae smtymz anakuwaga haaminiki