Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mchungaji christopher mtikila azidi kupiga msumali wa moto katika jeneza la chadema mashumbulizi yake yamuelekea edwin mtei
"amemtuhumu mmoja wa wanzilishi na m/kiti wa kwanza wa chadema edwin mtei, akidai kuwa ni muasisi wa dhana ya ukabila na ukanda katika chama hicho huku m/kiti wa sasa freeman mbowe na katibu wake slaa wakidaiwa kuboresha mfumo huo kisasa zaidi kwa kuweka naksh naksh"
hata kinacho wafukuza zitto na wenzake ktk chadema ni matokeo ya kuota mizizi kwa mfumo wa ukabila na ukanda ambao hauruhusu mwanachama yoyote kuhoji mapato na matumizi ndai ya chama"
watanzania waelewe chadema si chama cha siasa na viongozi wake si wanasiasa wa kweli, kwani hawana maono wala malengo ya kuwakomboa watanzania
kwa ujumla ni genge la walaji tu!!!
Ndani ya chadema kuna kundi linaitwa "big eight " ambalo linaudwa na wazee wa kichaga na kiongozi wao mkuu ni edwin mtei akisaidiwa na akina mariale na ndessamburo,
hawa ndio wenye chadema yao ambapo moja ya majukumu yao ni kulinda maslahi ya kichaga ndani ya chama,kuna chadema mbili kuna chadema ya chumbani na chadema ya sebuleni"
source gazeti la umma tanzania 4/12/2013
chama cha DP kilishawahi kuwa na mbunge?
Mchungaji Christopher MTIKILA azidi kupiga msumali wa MOTO katika JENEZA la Chadema mashumbulizi yake yamuelekea Edwin MTEI
"Amemtuhumu mmoja wa wanzilishi na m/kiti wa kwanza wa chadema Edwin MTEI, akidai kuwa ni muasisi wa dhana ya UKABILA na UKANDA katika chama hicho huku m/kiti wa sasa Freeman MBOWE na Katibu wake SLAA wakidaiwa kuboresha mfumo huo KISASA zaidi kwa kuweka NAKSH NAKSH"
Hata kinacho wafukuza Zitto na wenzake ktk Chadema ni matokeo ya kuota mizizi kwa mfumo wa UKABILA na UKANDA ambao hauruhusu mwanachama yoyote kuhoji mapato na matumizi ndai ya chama"
WATANZANIA waelewe Chadema si chama cha siasa na VIONGOZI wake si wanasiasa wa kweli, kwani hawana MAONO wala MALENGO ya kuwakomboa watanzania
KWA UJUMLA NI GENGE LA WALAJI TU!!!
Ndani ya chadema kuna kundi linaitwa "BIG EIGHT " ambalo linaudwa na wazee wa KICHAGA na kiongozi wao mkuu ni Edwin MTEI akisaidiwa na akina Mariale na Ndessamburo,
Hawa ndio wenye chadema yao ambapo moja ya MAJUKUMU yao ni kulinda maslahi ya kichaga ndani ya chama,Kuna Chadema mbili kuna chadema ya CHUMBANI na Chadema ya SEBULENI"
Source gazeti la Umma Tanzania 4/12/2013
Mbowe , Dr Slaa na Mtei wote walikuwa wana CCM.chadema ni chama safi tu, ila ndani ya chadema kunawanyang'anyi na mafisadi.wamekimbia ccm,nccr,tlp wamekuja chadema.
Hawakitakii cdm mema,wao nikujali maslahi yao tu.hawajali maslahi ya taifa na chama.
Ahsante kwa taarifa mchungaji
Mchungaji Christopher MTIKILA azidi kupiga msumali wa MOTO katika JENEZA la Chadema mashumbulizi yake yamuelekea Edwin MTEI
"Amemtuhumu mmoja wa wanzilishi na m/kiti wa kwanza wa chadema Edwin MTEI, akidai kuwa ni muasisi wa dhana ya UKABILA na UKANDA katika chama hicho huku m/kiti wa sasa Freeman MBOWE na Katibu wake SLAA wakidaiwa kuboresha mfumo huo KISASA zaidi kwa kuweka NAKSH NAKSH"
Hata kinacho wafukuza Zitto na wenzake ktk Chadema ni matokeo ya kuota mizizi kwa mfumo wa UKABILA na UKANDA ambao hauruhusu mwanachama yoyote kuhoji mapato na matumizi ndai ya chama"
WATANZANIA waelewe Chadema si chama cha siasa na VIONGOZI wake si wanasiasa wa kweli, kwani hawana MAONO wala MALENGO ya kuwakomboa watanzania
KWA UJUMLA NI GENGE LA WALAJI TU!!!
Ndani ya chadema kuna kundi linaitwa "BIG EIGHT " ambalo linaudwa na wazee wa KICHAGA na kiongozi wao mkuu ni Edwin MTEI akisaidiwa na akina Mariale na Ndessamburo,
Hawa ndio wenye chadema yao ambapo moja ya MAJUKUMU yao ni kulinda maslahi ya kichaga ndani ya chama,Kuna Chadema mbili kuna chadema ya CHUMBANI na Chadema ya SEBULENI"
Source gazeti la Umma Tanzania 4/12/2013
Mtikila anajua staili zote za wizi ndio maana kwaambia ukweli!!!Huyu mzee mtikila kaanzisha kanisa kawaibia waumini sadaka mpaka kajenga gorofa... Mwizi mkubwa huyu mbabu...
chadema ni chama safi tu, ila ndani ya chadema kunawanyang'anyi na mafisadi.wamekimbia ccm,nccr,tlp wamekuja chadema.
Hawakitakii cdm mema,wao nikujali maslahi yao tu.hawajali maslahi ya taifa na chama.
Mchungaji Christopher MTIKILA azidi kupiga msumali wa MOTO katika JENEZA la Chadema mashumbulizi yake yamuelekea Edwin MTEI
"Amemtuhumu mmoja wa wanzilishi na m/kiti wa kwanza wa chadema Edwin MTEI, akidai kuwa ni muasisi wa dhana ya UKABILA na UKANDA katika chama hicho huku m/kiti wa sasa Freeman MBOWE na Katibu wake SLAA wakidaiwa kuboresha mfumo huo KISASA zaidi kwa kuweka NAKSH NAKSH"
Hata kinacho wafukuza Zitto na wenzake ktk Chadema ni matokeo ya kuota mizizi kwa mfumo wa UKABILA na UKANDA ambao hauruhusu mwanachama yoyote kuhoji mapato na matumizi ndai ya chama"
WATANZANIA waelewe Chadema si chama cha siasa na VIONGOZI |||
MZEE MTIKILA NENDA MCHIKICHiNI KAIMARISHE "DP.ORG"YAKO TUMIA NGUVU ZAKO ZAIDI KTK CHAMA CHAKO KWANI NI BUSARA