Tetesi: Mtikisiko CHADEMA, vigogo wagawanyika kuhusu mgombea Urais

Tetesi: Mtikisiko CHADEMA, vigogo wagawanyika kuhusu mgombea Urais

Hatuna namna ni lazima tukibali chairman alikaribisha mgeni akaleta mamluki kibao matokeo yake chama kimekosa mwelekeo

Na awamu hii tena anataka atuletee mgeni hatutakubali ubabe wa chairman bora tugawane mbao
 
Lissu anamjua Mbowe vizuri ndio maana kaamua kulay bacc kidogo. Unaweza kutengeneza jina miaka 10 Mbowe akampa nafasi mtu aliyekuja juzi

Lakini wanaweka mgombea urais kwa katiba ipi? Kwa non makosa yanarudiwa kilawakati? Ebu fikiria tume ya uchaguzi hai hojiwi na mkyu wa tume hiyo hiyo anateuliwa ma rais. Akisha tanhaza matokea ya urais hakuna kupinga.

Sasa baado tu hilo kosa upinzani w hawalioni? Hakuna haja ya kuweka mgombea urais kwa upande wa upinzani. Wakiweka sio waaminifu hata kidogo. Wanasaidia ccm kudanganya dunia na pia tunajizalilisha sana. Tanzania upizani baado.
 
Ni haki yao kikatiba kuweka mgombea wa Urais hata km Watanzania hawamwamini

Haijalishi apate kura au akose

Utapingaje matokeo wakati umeshindwa? Demokrasia ya kweli sio kupinga tu pia wapoongeze
Lakini wanaweka mgombea urais kwa katiba ipi? Kwa non makosa yanarudiwa kilawakati? Ebu fikiria tume ya uchaguzi hai hojiwi na mkyu wa tume hiyo hiyo anateuliwa ma rais. Akisha tanhaza matokea ya urais hakuna kupinga. Sasa baado tu hilo kosa upinzani w hawalioni? Hakuna haja ya kuweka mgombea urais kwa upande wa upinzani. Wakiweka sio waaminifu hata kidogo. Wanasaidia ccm kudanganya dunia na pia tunajizalilisha sana. Tanzania upizani baado.
 
Miradi inaendelea kama kawaida mkuu libero

S
Ujenzi wa bwawa la umeme umeshika kasi

Ujenzi wa reli ya kisasa unaendelea

Ajira mpya kila leo zinatangazwa

Umeme kila kijiji
Uwe unavuta pumzi, speed yako ni nzuri but utachoka mapema!! Labda kama unataka wakulipe kwa mkupuo ili ubadilishe kazi.
 
Wanasema mficha maradhi huvalishwa sanda

Hivi ndivyo unavyoweza kusema Ndani ya chama kikuu cha upinzani

Mambo si shwari hata kidogo muda wowote bomu litalipuka

Taarfa zinasema chama kimegawanyika ktk makundi mawili kuna wale wafia chama wanataka agombee yule bwana aliyeko ughaibuni
Ila kuna kundi la chairman linataka limlete mgeni agombee ili
Kundi la chairman Ndio lenye Nguvu kwani linasema tunataka mgombea ambaye atatuletee wabunge

Kundi la kwanza linataka kamanda aliyepo ughabuni ili kulinda madili ya chama kwani wanasema wageni hawaaminiki wana refer kwa mzee wa nywele nyeupe

Naishauri Chadema isiteme bigji kwa karanga za kuonjeshwa, Tunataka tumsimamishe yule kamanda ili atoe Upinzani kwa chama tawala

Tunakuonya chairman ukimsimamisha mgeni, tutakuachia chama sisi tutarudi zetu Nccr mageuzi tulipotokea

Nitaendelea kukuletea taarfa moto moto kuhusu mipango ya mgombea Urais chadema

Hivi kumbe ni lazima tu ukiwa mwana CCM basi lazima Kwanza uwe ni Mpuuzi na kila mara uwe unaanzisha Mada za Kipuuzi?
 
Wanasema mficha maradhi huvalishwa sanda

Hivi ndivyo unavyoweza kusema Ndani ya chama kikuu cha upinzani

Mambo si shwari hata kidogo muda wowote bomu litalipuka

Taarfa zinasema chama kimegawanyika ktk makundi mawili kuna wale wafia chama wanataka agombee yule bwana aliyeko ughaibuni
Ila kuna kundi la chairman linataka limlete mgeni agombee ili
Kundi la chairman Ndio lenye Nguvu kwani linasema tunataka mgombea ambaye atatuletee wabunge

Kundi la kwanza linataka kamanda aliyepo ughabuni ili kulinda madili ya chama kwani wanasema wageni hawaaminiki wana refer kwa mzee wa nywele nyeupe

Naishauri Chadema isiteme bigji kwa karanga za kuonjeshwa, Tunataka tumsimamishe yule kamanda ili atoe Upinzani kwa chama tawala

Tunakuonya chairman ukimsimamisha mgeni, tutakuachia chama sisi tutarudi zetu Nccr mageuzi tulipotokea

Nitaendelea kukuletea taarfa moto moto kuhusu mipango ya mgombea Urais chadema
Asante kwa taarifa usihofu watafikia mwafaka tu 'it is healthy that way'
 
Mbona kama umechagua upande wako?
Wanasema mficha maradhi huvalishwa sanda

Hivi ndivyo unavyoweza kusema Ndani ya chama kikuu cha upinzani

Mambo si shwari hata kidogo muda wowote bomu litalipuka

Taarfa zinasema chama kimegawanyika ktk makundi mawili kuna wale wafia chama wanataka agombee yule bwana aliyeko ughaibuni
Ila kuna kundi la chairman linataka limlete mgeni agombee ili
Kundi la chairman Ndio lenye Nguvu kwani linasema tunataka mgombea ambaye atatuletee wabunge

Kundi la kwanza linataka kamanda aliyepo ughabuni ili kulinda madili ya chama kwani wanasema wageni hawaaminiki wana refer kwa mzee wa nywele nyeupe

Naishauri Chadema isiteme bigji kwa karanga za kuonjeshwa, Tunataka tumsimamishe yule kamanda ili atoe Upinzani kwa chama tawala

Tunakuonya chairman ukimsimamisha mgeni, tutakuachia chama sisi tutarudi zetu Nccr mageuzi tulipotokea

Nitaendelea kukuletea taarfa moto moto kuhusu mipango ya mgombea Urais chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom