Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu anamjua Mbowe vizuri ndio maana kaamua kulay bacc kidogo. Unaweza kutengeneza jina miaka 10 Mbowe akampa nafasi mtu aliyekuja juzi
Lakini wanaweka mgombea urais kwa katiba ipi? Kwa non makosa yanarudiwa kilawakati? Ebu fikiria tume ya uchaguzi hai hojiwi na mkyu wa tume hiyo hiyo anateuliwa ma rais. Akisha tanhaza matokea ya urais hakuna kupinga. Sasa baado tu hilo kosa upinzani w hawalioni? Hakuna haja ya kuweka mgombea urais kwa upande wa upinzani. Wakiweka sio waaminifu hata kidogo. Wanasaidia ccm kudanganya dunia na pia tunajizalilisha sana. Tanzania upizani baado.
Mbona unaongea kinyume mzee, au na wewe unamdhihaki mzee wa kujilaza kwenye maweMiradi inaendelea kama kawaida mkuu libero
S
Ujenzi wa bwawa la umeme umeshika kasi
Ujenzi wa reli ya kisasa unaendelea
Ajira mpya kila leo zinatangazwa
Umeme kila kijiji
Mbona unaongea kinyume mzee, au na wewe unamdhihaki mzee wa kujilaza kwenye mawe
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe unavuta pumzi, speed yako ni nzuri but utachoka mapema!! Labda kama unataka wakulipe kwa mkupuo ili ubadilishe kazi.Miradi inaendelea kama kawaida mkuu libero
S
Ujenzi wa bwawa la umeme umeshika kasi
Ujenzi wa reli ya kisasa unaendelea
Ajira mpya kila leo zinatangazwa
Umeme kila kijiji
Yeah na wewe una akili, nakuelewa ila punguza speed, Mwendokasi huu unaoenda nao ni hatari kwa afya yako.Nilikuambia Wewe una Akili Achana na sacos Mkuu
Sacos inakuharabia maisha
Wanasema mficha maradhi huvalishwa sanda
Hivi ndivyo unavyoweza kusema Ndani ya chama kikuu cha upinzani
Mambo si shwari hata kidogo muda wowote bomu litalipuka
Taarfa zinasema chama kimegawanyika ktk makundi mawili kuna wale wafia chama wanataka agombee yule bwana aliyeko ughaibuni
Ila kuna kundi la chairman linataka limlete mgeni agombee ili
Kundi la chairman Ndio lenye Nguvu kwani linasema tunataka mgombea ambaye atatuletee wabunge
Kundi la kwanza linataka kamanda aliyepo ughabuni ili kulinda madili ya chama kwani wanasema wageni hawaaminiki wana refer kwa mzee wa nywele nyeupe
Naishauri Chadema isiteme bigji kwa karanga za kuonjeshwa, Tunataka tumsimamishe yule kamanda ili atoe Upinzani kwa chama tawala
Tunakuonya chairman ukimsimamisha mgeni, tutakuachia chama sisi tutarudi zetu Nccr mageuzi tulipotokea
Nitaendelea kukuletea taarfa moto moto kuhusu mipango ya mgombea Urais chadema
Chadema mlizaliwa na matusi ?
Asante kwa taarifa usihofu watafikia mwafaka tu 'it is healthy that way'Wanasema mficha maradhi huvalishwa sanda
Hivi ndivyo unavyoweza kusema Ndani ya chama kikuu cha upinzani
Mambo si shwari hata kidogo muda wowote bomu litalipuka
Taarfa zinasema chama kimegawanyika ktk makundi mawili kuna wale wafia chama wanataka agombee yule bwana aliyeko ughaibuni
Ila kuna kundi la chairman linataka limlete mgeni agombee ili
Kundi la chairman Ndio lenye Nguvu kwani linasema tunataka mgombea ambaye atatuletee wabunge
Kundi la kwanza linataka kamanda aliyepo ughabuni ili kulinda madili ya chama kwani wanasema wageni hawaaminiki wana refer kwa mzee wa nywele nyeupe
Naishauri Chadema isiteme bigji kwa karanga za kuonjeshwa, Tunataka tumsimamishe yule kamanda ili atoe Upinzani kwa chama tawala
Tunakuonya chairman ukimsimamisha mgeni, tutakuachia chama sisi tutarudi zetu Nccr mageuzi tulipotokea
Nitaendelea kukuletea taarfa moto moto kuhusu mipango ya mgombea Urais chadema
Wanasema mficha maradhi huvalishwa sanda
Hivi ndivyo unavyoweza kusema Ndani ya chama kikuu cha upinzani
Mambo si shwari hata kidogo muda wowote bomu litalipuka
Taarfa zinasema chama kimegawanyika ktk makundi mawili kuna wale wafia chama wanataka agombee yule bwana aliyeko ughaibuni
Ila kuna kundi la chairman linataka limlete mgeni agombee ili
Kundi la chairman Ndio lenye Nguvu kwani linasema tunataka mgombea ambaye atatuletee wabunge
Kundi la kwanza linataka kamanda aliyepo ughabuni ili kulinda madili ya chama kwani wanasema wageni hawaaminiki wana refer kwa mzee wa nywele nyeupe
Naishauri Chadema isiteme bigji kwa karanga za kuonjeshwa, Tunataka tumsimamishe yule kamanda ili atoe Upinzani kwa chama tawala
Tunakuonya chairman ukimsimamisha mgeni, tutakuachia chama sisi tutarudi zetu Nccr mageuzi tulipotokea
Nitaendelea kukuletea taarfa moto moto kuhusu mipango ya mgombea Urais chadema