Tetesi: Mtikisiko CHADEMA, vigogo wagawanyika kuhusu mgombea Urais

Tetesi: Mtikisiko CHADEMA, vigogo wagawanyika kuhusu mgombea Urais

Wanasema mficha maradhi huvalishwa sanda

Hivi ndivyo unavyoweza kusema Ndani ya chama kikuu cha upinzani

Mambo si shwari hata kidogo muda wowote bomu litalipuka

Taarfa zinasema chama kimegawanyika ktk makundi mawili kuna wale wafia chama wanataka agombee yule bwana aliyeko ughaibuni
Ila kuna kundi la chairman linataka limlete mgeni agombee ili
Kundi la chairman Ndio lenye Nguvu kwani linasema tunataka mgombea ambaye atatuletee wabunge

Kundi la kwanza linataka kamanda aliyepo ughabuni ili kulinda madili ya chama kwani wanasema wageni hawaaminiki wana refer kwa mzee wa nywele nyeupe

Naishauri Chadema isiteme bigji kwa karanga za kuonjeshwa, Tunataka tumsimamishe yule kamanda ili atoe Upinzani kwa chama tawala

Tunakuonya chairman ukimsimamisha mgeni, tutakuachia chama sisi tutarudi zetu Nccr mageuzi tulipotokea

Nitaendelea kukuletea taarfa moto moto kuhusu mipango ya mgombea Urais chadema
Upinzani umewashinda kuuwa ndo ya cdm mtayaweza.Vipi tunasubiria mrejesho wa aliyemwekea sumu mwenzenu
 
Ni mtazamo wako tu kamanda ila tunatoa tahadhari
Jamani Kakorona, mbona hivi?
corona-si-mchezo.jpg


Kakorona, tafadhali tuache tupumue!​
 
Wanasema mficha maradhi huvalishwa sanda

Hivi ndivyo unavyoweza kusema Ndani ya chama kikuu cha upinzani

Mambo si shwari hata kidogo muda wowote bomu litalipuka

Taarfa zinasema chama kimegawanyika ktk makundi mawili kuna wale wafia chama wanataka agombee yule bwana aliyeko ughaibuni
Ila kuna kundi la chairman linataka limlete mgeni agombee ili
Kundi la chairman Ndio lenye Nguvu kwani linasema tunataka mgombea ambaye atatuletee wabunge

Kundi la kwanza linataka kamanda aliyepo ughabuni ili kulinda madili ya chama kwani wanasema wageni hawaaminiki wana refer kwa mzee wa nywele nyeupe

Naishauri Chadema isiteme bigji kwa karanga za kuonjeshwa, Tunataka tumsimamishe yule kamanda ili atoe Upinzani kwa chama tawala

Tunakuonya chairman ukimsimamisha mgeni, tutakuachia chama sisi tutarudi zetu Nccr mageuzi tulipotokea

Nitaendelea kukuletea taarfa moto moto kuhusu mipango ya mgombea Urais chadema
Evidence please usilete majungu
 
Wanasema mficha maradhi huvalishwa sanda

Hivi ndivyo unavyoweza kusema Ndani ya chama kikuu cha upinzani

Mambo si shwari hata kidogo muda wowote bomu litalipuka

Taarfa zinasema chama kimegawanyika ktk makundi mawili kuna wale wafia chama wanataka agombee yule bwana aliyeko ughaibuni
Ila kuna kundi la chairman linataka limlete mgeni agombee ili
Kundi la chairman Ndio lenye Nguvu kwani linasema tunataka mgombea ambaye atatuletee wabunge

Kundi la kwanza linataka kamanda aliyepo ughabuni ili kulinda madili ya chama kwani wanasema wageni hawaaminiki wana refer kwa mzee wa nywele nyeupe

Naishauri Chadema isiteme bigji kwa karanga za kuonjeshwa, Tunataka tumsimamishe yule kamanda ili atoe Upinzani kwa chama tawala

Tunakuonya chairman ukimsimamisha mgeni, tutakuachia chama sisi tutarudi zetu Nccr mageuzi tulipotokea

Nitaendelea kukuletea taarfa moto moto kuhusu mipango ya mgombea Urais chadema
I have never heard people discussing the CCM fate, why do you bother discussing CDM?
 
Miradi inaendelea kama kawaida mkuu libero

S
Ujenzi wa bwawa la umeme umeshika kasi

Ujenzi wa reli ya kisasa unaendelea

Ajira mpya kila leo zinatangazwa

Umeme kila kijiji
Huwa najiuliza sijui una elimu gani
 
Ccm is there for the better and worse

We have no option out of Ccm

Discussing about Ccm fate is discussing about Tanzania fate

We can't let our country into the hand of bad people

I have never heard people discussing the CCM fate, why do you bother discussing CDM?
 
Wanasema mficha maradhi huvalishwa sanda

Hivi ndivyo unavyoweza kusema Ndani ya chama kikuu cha upinzani

Mambo si shwari hata kidogo muda wowote bomu litalipuka

Taarfa zinasema chama kimegawanyika ktk makundi mawili kuna wale wafia chama wanataka agombee yule bwana aliyeko ughaibuni
Ila kuna kundi la chairman linataka limlete mgeni agombee ili
Kundi la chairman Ndio lenye Nguvu kwani linasema tunataka mgombea ambaye atatuletee wabunge

Kundi la kwanza linataka kamanda aliyepo ughabuni ili kulinda madili ya chama kwani wanasema wageni hawaaminiki wana refer kwa mzee wa nywele nyeupe

Naishauri Chadema isiteme bigji kwa karanga za kuonjeshwa, Tunataka tumsimamishe yule kamanda ili atoe Upinzani kwa chama tawala

Tunakuonya chairman ukimsimamisha mgeni, tutakuachia chama sisi tutarudi zetu Nccr mageuzi tulipotokea

Nitaendelea kukuletea taarfa moto moto kuhusu mipango ya mgombea Urais chadema
Umeshajifukiza?
 
Ukiwa mataga kazi sana hawezi kuja na hoja zaidi ya viroja kila hiitwayo leo
 
Miradi inaendelea kama kawaida mkuu libero

S
Ujenzi wa bwawa la umeme umeshika kasi

Ujenzi wa reli ya kisasa unaendelea

Ajira mpya kila leo zinatangazwa

Umeme kila kijiji
Ni kosa kujidanganya nafsi! Na kutumia pesa za michango ya kusaidia wahanga wa majanga kwa shughuli zisizohusika nalo ni kosa!
Hakuna namaanisha hakuna mradi unaoendelea kwa Sasa na sababu zilizotolewa ni covid-19 ndio chanzo hivyo wasubiri kwanza!
Nenda sites zote utakutana na walinzi tu!
Usidanganye watu na vijipropaganda vyako vya kitoto!
 
Heeee... mbona maandishi ya kwenye browser ya threads na comments za jf yanaandika ktk tags za http?
Kulikoni!
 
Back
Top Bottom