Tetesi: Mtikisiko CHADEMA, vigogo wagawanyika kuhusu mgombea Urais

Tetesi: Mtikisiko CHADEMA, vigogo wagawanyika kuhusu mgombea Urais

Kushinda hawezi Tunataka mtu imara wa kumpa Magufuli challenges

Hatutaki Magufuli ashinde kwa 100% Tunataka ashinde kwa 98%
Lissu ndiye ngekewa ya chadema kwani anakubalika Bara na Zanzibar kwa misimamo wake na anaweza kukinukisha kama atakuwa na ushahidi kuibiwa kura 2020
 
Pole kwa stress Mkuu
Ni kosa kujidanganya nafsi! Na kutumia pesa za michango ya kusaidia wahanga wa majanga kwa shughuli zisizohusika nalo ni kosa!
Hakuna namaanisha hakuna mradi unaoendelea kwa Sasa na sababu zilizotolewa ni covid-19 ndio chanzo hivyo wasubiri kwanza!
Nenda sites zote utakutana na walinzi tu!
Usidanganye watu na vijipropaganda vyako vya kitoto!
 
Wanasema mficha maradhi huvalishwa sanda

Hivi ndivyo unavyoweza kusema Ndani ya chama kikuu cha upinzani

Mambo si shwari hata kidogo muda wowote bomu litalipuka

Taarfa zinasema chama kimegawanyika ktk makundi mawili kuna wale wafia chama wanataka agombee yule bwana aliyeko ughaibuni

Ila kuna kundi la chairman linataka limlete mgeni agombee ili

Kundi la chairman Ndio lenye Nguvu kwani linasema tunataka mgombea ambaye atatuletee wabunge

Kundi la kwanza linataka kamanda aliyepo ughabuni ili kulinda madili ya chama kwani wanasema wageni hawaaminiki wana refer kwa mzee wa nywele nyeupe

Naishauri Chadema isiteme bigji kwa karanga za kuonjeshwa, Tunataka tumsimamishe yule kamanda ili atoe Upinzani kwa chama tawala

Tunakuonya chairman ukimsimamisha mgeni, tutakuachia chama sisi tutarudi zetu Nccr mageuzi tulipotokea

Nitaendelea kukuletea taarfa moto moto kuhusu mipango ya mgombea Urais chadema
Dogo unahangaika sana !!. Hata kuku wa kutaga siyo hivi !!.

Mwenyekiti wako mwenyewe anajikausha kutokutaka kufanya kazi na Cdm. Lakini rohoni mnawamiss sana chadema !! Fanyeni kazi na Cuf ya lipumba na Nccr ya mbatia.


Odhis *
 
Chama makini ni Nccr mageuzi Hao Chadema walikufa baada ya Dr.Slaa kuondoka
Dogo unahangaika sana !!. Hata kuku wa kutaga siyo hivi !!.

Mwenyekiti wako mwenyewe anajikausha kutokutaka kufanya kazi na Cdm. Lakini rohoni mnawamiss sana chadema !! Fanyeni kazi na Cuf ya lipumba na Nccr ya mbatia.


Odhis *
 
Ni haki yao kikatiba kuweka mgombea wa Urais hata km Watanzania hawamwamini

Haijalishi apate kura au akose

Utapingaje matokeo wakati umeshindwa? Demokrasia ya kweli sio kupinga tu pia wapoongeze

Tuweke pembeni ushabiki. Je tume ya uchaguzi kuto hojiwa baada ya kutangaza matokeo ya urais kwako unaona ni sawa? Hicho kipengele unakionaje?
 
Tume ipo huru sioni umuhimu wa kuhoji matokeo ya u Rais
Tuweke pembeni ushabiki. Je time ya uchaguzi kuto hojiwa baada ya kutangaza matokeo ya urais kwako unaona ni sawa? Hicho kipengele unakionaje?
 
Wanasema mficha maradhi huvalishwa sanda

Hivi ndivyo unavyoweza kusema Ndani ya chama kikuu cha upinzani

Mambo si shwari hata kidogo muda wowote bomu litalipuka

Taarfa zinasema chama kimegawanyika ktk makundi mawili kuna wale wafia chama wanataka agombee yule bwana aliyeko ughaibuni

Ila kuna kundi la chairman linataka limlete mgeni agombee ili

Kundi la chairman Ndio lenye Nguvu kwani linasema tunataka mgombea ambaye atatuletee wabunge

Kundi la kwanza linataka kamanda aliyepo ughabuni ili kulinda madili ya chama kwani wanasema wageni hawaaminiki wana refer kwa mzee wa nywele nyeupe

Naishauri Chadema isiteme bigji kwa karanga za kuonjeshwa, Tunataka tumsimamishe yule kamanda ili atoe Upinzani kwa chama tawala

Tunakuonya chairman ukimsimamisha mgeni, tutakuachia chama sisi tutarudi zetu Nccr mageuzi tulipotokea

Nitaendelea kukuletea taarfa moto moto kuhusu mipango ya mgombea Urais chadema
Mbona mwaka huu hatufanyi uchaguzi hadi 2025

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom