Tetesi: Mtikisiko CHADEMA, vigogo wagawanyika kuhusu mgombea Urais

Upinzani umewashinda kuuwa ndo ya cdm mtayaweza.Vipi tunasubiria mrejesho wa aliyemwekea sumu mwenzenu
 
Evidence please usilete majungu
 
I have never heard people discussing the CCM fate, why do you bother discussing CDM?
 
Miradi inaendelea kama kawaida mkuu libero

S
Ujenzi wa bwawa la umeme umeshika kasi

Ujenzi wa reli ya kisasa unaendelea

Ajira mpya kila leo zinatangazwa

Umeme kila kijiji
Huwa najiuliza sijui una elimu gani
 
Ccm is there for the better and worse

We have no option out of Ccm

Discussing about Ccm fate is discussing about Tanzania fate

We can't let our country into the hand of bad people

I have never heard people discussing the CCM fate, why do you bother discussing CDM?
 
Umeshajifukiza?
 
Ukiwa mataga kazi sana hawezi kuja na hoja zaidi ya viroja kila hiitwayo leo
 
Miradi inaendelea kama kawaida mkuu libero

S
Ujenzi wa bwawa la umeme umeshika kasi

Ujenzi wa reli ya kisasa unaendelea

Ajira mpya kila leo zinatangazwa

Umeme kila kijiji
Ni kosa kujidanganya nafsi! Na kutumia pesa za michango ya kusaidia wahanga wa majanga kwa shughuli zisizohusika nalo ni kosa!
Hakuna namaanisha hakuna mradi unaoendelea kwa Sasa na sababu zilizotolewa ni covid-19 ndio chanzo hivyo wasubiri kwanza!
Nenda sites zote utakutana na walinzi tu!
Usidanganye watu na vijipropaganda vyako vya kitoto!
 
Heeee... mbona maandishi ya kwenye browser ya threads na comments za jf yanaandika ktk tags za http?
Kulikoni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…