Tetesi: Mtikisiko CHADEMA, vigogo wagawanyika kuhusu mgombea Urais

Tapeli mwana uvccm umebugi
 
Lissu ndiye ngekewa ya chadema kwani anakubalika Bara na Zanzibar kwa misimamo wake na anaweza kukinukisha kama atakuwa na ushahidi kuibiwa kura 2020
 
Hahahahahahah wacha wafu wazike wafu wenzao,.
 
United republic of chato international airport burigi..
 
Hahahahaaaaah, umenifurahisha sana. Alikuwa anajiita kawe aluminium. Mara ajiite Namanga, ni mtu mmoja yule. Sijui kapotelea wapi. Kaka huyu aliejiunga juzi, basi hana kazi za kufanya kutwa kuposti upumbavu, namnukuu Bashiru Ally. Atachoka tu, muda sio mrefu.
Hivi sijui yule mtu anaitwa Kawe yuko wapi? Namfananisha sana nawe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuna namna ni lazima tukibali chairman alikaribisha mgeni akaleta mamluki kibao matokeo yake chama kimekosa mwelekeo

Na awamu hii tena anataka atuletee mgeni hatutakubali ubabe wa chairman bora tugawane mbao
Hehehee gawaneni mbao mapemaaa kieleweke .
 
Wanamtaka Jasusi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…