Mtindo mpya wa rushwa wa kubomoa na kujenga Hospitali ya Taifa Muhimbili

Mtindo mpya wa rushwa wa kubomoa na kujenga Hospitali ya Taifa Muhimbili

kwa hiyo kama wajengo yamechoka yaachwe tu?

Nyie malalamiko fc mna shida sana vichwani mwenu
Ni jengo gani limechoka muhimbili mama?

Muhimbili ina majengo ya zamani ila sio kwamba yamechoka.

Majengo ya muhimbili ni kama ya chuo kikuu pale udsm, sasa yale ya udsm tunaaeza kusema yamechoka tuyabomoe?

Nipe mfano wa jengo la muhimbili lililochoka ambalo linapaswa kubomolewa.
 
Hiyo hela wangejenga hospital nyingine mpya
Nimeona sehem mblmbl hosp, halmashauri zmejengw upya kw kutafta maeneo mapya na yale ya zman yakabdlishwa kuw ya hudma zngne... na maisha yakaendlea. Kwani ni lazm hosp. iitwe Muhimbili!? Kwni ni lzm Dr mkuu awe wa hosp. iitwayo Muhimbili?! Kw jins tunavokwnda, utaskia official residencies, shule zte za serkali, makao makuu ya hiki na kile yamepitw na wkt - kama vile ni majumba ya maonesho.
Wkt tnaambiwa tuna upungufu wa dola za manunuzi mblmbl watu wanapiga mahesabu yao ya kujitaftia za kwao ...nchi hii karb tutashndana na Nigeria kw ufisadi ...duh!
 
Kumeingia mtindo mpya wa kujitafutia miradi. Sasa mkurugenzi wa Muhimbili anataka kuanzisha mradi wa upigaji eti Muhimbili ibomolewe na kujegwa upya wakati kuna vijana hawana hata mabweni ya kulala.

Kwani kuna tatizo gani ya maeneo ya kujenga mpaka wakabomoe hospitali! Kwaninj basi pasibakie kufanywa chuo cha afya na waongeze wanafunzi kwenye sehemu nyingine muhimu! Wenzetu wana hospital mpaka za makontena eti sisi tunalalamika majengo ni ya kizamani! Wakati tunategemea misaada kwenye dawa na chanjo.

Mtindo huu vilevile upo kwenye viwanja vya mpira na Zanzibar nako wanafanya haya.

View attachment 2714027
Kwani kuna tatizo gani ya maeneo ya kujenga mpaka wakabomoe hospitali! Kwaninj basi pasibakie kufanywa chuo cha afya na waongeze wanafunzi kwenye sehemu nyingine muhimu?[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikitika kwamba barsbara nyingi za upanga ni za vumbi na zina mavumbi na mashino hatari hatari...na hapo ni Karibu na CITY centre...
Maghorofa yake yanaficha mengi....hiv kwa nini wasitengeneza barabara qualitu na sidewalks upanga nzima...

Bado kuna nyaya za Tanesco zilizofungwa ovyo ovyo Dar city centre nzima...

Kusema ukweli Dar inasikitisha sana...city council sijui wanafanya nini....hadi kutumia Billion 71 kujenga magufuli stendi...wakati wangejenga stendi simple kama ile wanayojengwa mwemge ya billion 10...na billion 61 zikajenga na kumodify barabara za citu centre kwa kuziwekea sidewalks na mitaro...

NB..barabara nyingi za upanda ni dirt roads 90%...
 
Kumeingia mtindo mpya wa kujitafutia miradi. Sasa mkurugenzi wa Muhimbili anataka kuanzisha mradi wa upigaji eti Muhimbili ibomolewe na kujegwa upya wakati kuna vijana hawana hata mabweni ya kulala.

Kwani kuna tatizo gani ya maeneo ya kujenga mpaka wakabomoe hospitali! Kwaninj basi pasibakie kufanywa chuo cha afya na waongeze wanafunzi kwenye sehemu nyingine muhimu! Wenzetu wana hospital mpaka za makontena eti sisi tunalalamika majengo ni ya kizamani! Wakati tunategemea misaada kwenye dawa na chanjo.

Mtindo huu vilevile upo kwenye viwanja vya mpira na Zanzibar nako wanafanya haya.

View attachment 2714027

Namewahi kusema kuwa Muhimbili ya upanga Haifa tena kuwa eneo la hospitali kutokana na kuzingirwa na makazi na vurugu za aina mbalimbali.

Mloganzila ni eneo muafaka kwa wagonjwa lakini pia ni sehemu nzuri kwa madaktari wetu na wauguzi.

Mloganzila Kuna eneo kubwa Sana la uwekezaji, eneo la mloganzila ni tulivu na mahali sahihi kabisa kuwa na Hospitali sio tu ya kitaifa Bali ya kimataifa.

Mnqg'ang'ania Upanga Kuna nini wakati serikali imewapa eneo kubwa mloganzila?!!
Ingekuwa nchi nyingine pale mloganzila pange kuwa kama ulaya ila watendaji wetu hawataki kuona mbali.
 
Hizi bomoa jenga boma jenga za majengo na barabara inamaanisha idara za mipango miji na ardhi hata zenyewe hazina mipango ya muda mrefu ya uendelezaji.
 
Ebu elezea rushwa inafanyika vipi hapo?

Ukijitafutia mradi mkubwa hivi wewe kama mkurugenzi watu wengi sana watakufuata ili wapate tender mbali mbali na hapo ndiyo wanatumia madaraka kusaidia marafiki zao na wafanyabiashara ambao wanawapa 10%. Tatizo ikijangwa sehemu nyingine huyu mkurugenzi anaona yeye anaweza asihusishwe huko! Ndiyo maana anataka wabomoe hapo hapo. Hivi kuna maeneo mangapi ya kujenga hospitali mpya tena sehemu kubwa zaidi ya pale muhimbili?
 
Baadhi ya wakuu kwenye nchi hii, yawezekana walifurahia kifo cha MZEE.Ujinga kama huu usingekua unafanyika.


Ukweli ni kwamba mzee naye alianza kuwa na tamaa sana hakuwa msafi hivyo.
 
Nasikitika kwamba barsbara nyingi za upanga ni za vumbi na zina mavumbi na mashino hatari hatari...na hapo ni Karibu na CITY centre...
Maghorofa yake yanaficha mengi....hiv kwa nini wasitengeneza barabara qualitu na sidewalks upanga nzima...

Bado kuna nyaya za Tanesco zilizofungwa ovyo ovyo Dar city centre nzima...

Kusema ukweli Dar inasikitisha sana...city council sijui wanafanya nini....hadi kutumia Billion 71 kujenga magufuli stendi...wakati wangejenga stendi simple kama ile wanayojengwa mwemge ya billion 10...na billion 61 zikajenga na kumodify barabara za citu centre kwa kuziwekea sidewalks na mitaro...

NB..barabara nyingi za upanda ni dirt roads 90%...
71b ni persent za watu.
 
NASHAURI WASIBOMOE,NI HERI KUONDOA HAYO MASHULE HAPO JIRANI,NA KUONGEZA MAJENGO MAPYA YA HOSPITALI,PRESENTABLE.
kiasi cha fedha kikaboreshe pugu sec,na kuipanua,ikiwepo kuipa heshima kubwa ya "Mwl.Jkn sec n high school".
 
Akili huna, usilaumiwe, kwa uwezo wako wa akili una hoja ya kusikilizwa, hakuna sababu ya kupuuzwa.
umbea, wivu na roho mbaya ndio sifa kuu ya muafrica mmeliona la Prof janabi ila ikulu kujengwa Dodoma mmekaa kimya.
Muhimbili lazima tuijenge upya hutaki nenda Burundi
 
Back
Top Bottom