Mtindo mpya wa rushwa wa kubomoa na kujenga Hospitali ya Taifa Muhimbili

Mtindo mpya wa rushwa wa kubomoa na kujenga Hospitali ya Taifa Muhimbili

Muhimbili ilikosewa kwa majengo mengi kuongezewa bila kufuata maelekezo ya wataalamu, hivyo ardhi nyingi imememezwa na huu ujenzi holela na kuharibu mandhari na maeneo ya maegesho.

Maendeleo yeyote yatakayofuata au kufanyika hapo, ni vizuri wawahusishe wataalamu wa usanifu majengo. Au waanze upya sehemu nyingine.

Ni sawa sawa na Uwanja wa Taifa inakuwa na viwanja viwili sehemu moja. Wakati wilaya zingine hakuna kitu au kuna sehemu nyingine kiwanja hicho kingefaa. Ikiwa wataalamu wangetumika. Mfano uwanja wa Uhuru ungebaki hapo, na uwanja wa Mkapa ukawa Kigamboni au sehemu nyingine.

Kule Chuo cha Muhimbili kumekuwa kuchafu sana au ndio majengo yamechakaa, biashara kila sehemu, kuko giza giza ambao ni dalili ya uchafu au kuwa na watu wengi sehemu ni ndogo.

Jingine wangefuata utaalamu ilikuwa ni kutumia ile ile plan ya Sewahaji, Kibasila, na Mwaisela ile lakini wangeenda juu, yaani wangeongeza ghorofa au kuwa na vunja jengo moja na kuweka jipya la ghorofa wanazoona zinafaa kwa mipango ya baadaye, kama 10, 14, n.k.
Tanzania kama mgonjwa wa goti anapasuliwa ubongo na mgonjwa wa ubongo anapasuliwa goti,ni wapi unaweza kukuta taasisi ya umma ina ufanisi!!??
 
Tusimlaumu Mama kwenye kila kitu huu utamaduni wa rushwa umeanza siku nyingi sana. Kwasababu kuna pesa za ujenzi siku hizi hata Uwanja wa Taifa tutasikia ubomolewe maana ujenzi ndiyo rushwa mpya Tanzania.
Hadi huyo mtu wake muhimbili anatangaza mwenyewe hakosi kujua huu uwendawazimu. Kama alikua hajaelewa hao wahuni wanamzunguka mpango wao basi asimamishe mpango huo wa kijinga wenye nia moja tu ya kupiga hela ya umma.
 
Baadhi ya wakuu kwenye nchi hii, yawezekana walifurahia kifo cha MZEE.Ujinga kama huu usingekua unafanyika.
huyo mbwa wenu ndio unamwita mzee? Mzee tunayemjua ni baba wa Taifa, siyo huyo shetani wako. Eti mzee bila aibu, mtu aliharibu nchi namna ile huna hata haya?
 
Ebu elezea rushwa inafanyika vipi hapo?
Unapotoa contract una chako mkuu.Kwenye manunuzi una chako,amka mkuu.

Ila sincerely I can't imagine Muhimbili ikivunjwa.Are we so reach?Yaani kama tunaona imechakaa, kwa nini tusiikarabati tukaitafutia matumizi mengine na tukatafuta an empty space tukajenga huko?Watanzania tupo watupu Sana frankly.
 
kwa hiyo kama wajengo yamechoka yaachwe tu?

Nyie malalamiko fc mna shida sana vichwani mwenu
Muhimbili haijachakaa kihivyo mkuu,ikarabatiwe ipangiwa matumizi mengine,halafu itafutwe empty space ijengwe hospitali.Tuna hela ya kuharibu hivyo kweli,aibu sana.
 
Muhimbili ilikosewa kwa majengo mengi kuongezewa bila kufuata maelekezo ya wataalamu, hivyo ardhi nyingi imememezwa na huu ujenzi holela na kuharibu mandhari na maeneo ya maegesho.

Maendeleo yeyote yatakayofuata au kufanyika hapo, ni vizuri wawahusishe wataalamu wa usanifu majengo. Au waanze upya sehemu nyingine.

Ni sawa sawa na Uwanja wa Taifa inakuwa na viwanja viwili sehemu moja. Wakati wilaya zingine hakuna kitu au kuna sehemu nyingine kiwanja hicho kingefaa. Ikiwa wataalamu wangetumika. Mfano uwanja wa Uhuru ungebaki hapo, na uwanja wa Mkapa ukawa Kigamboni au sehemu nyingine.

Kule Chuo cha Muhimbili kumekuwa kuchafu sana au ndio majengo yamechakaa, biashara kila sehemu, kuko giza giza ambao ni dalili ya uchafu au kuwa na watu wengi sehemu ni ndogo.

Jingine wangefuata utaalamu ilikuwa ni kutumia ile ile plan ya Sewahaji, Kibasila, na Mwaisela ile lakini wangeenda juu, yaani wangeongeza ghorofa au kuwa na vunja jengo moja na kuweka jipya la ghorofa wanazoona zinafaa kwa mipango ya baadaye, kama 10, 14, n.k.
Nilivyokuja dar kwa mara ya kwanza, then nikapelekwa Muhimbili, naambiwa hapa ndio Muhimbili nikabaki nimetoa macho, siku nimeingia wodi ya kibasila ndio macho yalinitoka zaidi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kujenga hospital kuwa katikati ya mji ni kuongeza foleni tu ijengwe nje ya mji
 
Kumeingia mtindo mpya wa kujitafutia miradi. Sasa mkurugenzi wa Muhimbili anataka kuanzisha mradi wa upigaji eti Muhimbili ibomolewe na kujegwa upya wakati kuna vijana hawana hata mabweni ya kulala.

Kwani kuna tatizo gani ya maeneo ya kujenga mpaka wakabomoe hospitali! Kwanini basi pasibakie kufanywa chuo cha afya na waongeze wanafunzi kwenye sehemu nyingine muhimu! Wenzetu wana hospital mpaka za makontena eti sisi tunalalamika majengo ni ya kizamani! Wakati tunategemea misaada kwenye dawa na chanjo.

Mtindo huu vilevile upo kwenye viwanja vya mpira na Zanzibar nako wanafanya haya.

View attachment 2714027
Hii awamu imejaa wajinga waliotokana na kuiba uchaguzi 2020,hivi kujenga hospitali ingine kubwa maeneo mengine hawaoni...huyo janaba nae walewale
 
Kumeingia mtindo mpya wa kujitafutia miradi. Sasa mkurugenzi wa Muhimbili anataka kuanzisha mradi wa upigaji eti Muhimbili ibomolewe na kujegwa upya wakati kuna vijana hawana hata mabweni ya kulala.

Kwani kuna tatizo gani ya maeneo ya kujenga mpaka wakabomoe hospitali! Kwanini basi pasibakie kufanywa chuo cha afya na waongeze wanafunzi kwenye sehemu nyingine muhimu! Wenzetu wana hospital mpaka za makontena eti sisi tunalalamika majengo ni ya kizamani! Wakati tunategemea misaada kwenye dawa na chanjo.

Mtindo huu vilevile upo kwenye viwanja vya mpira na Zanzibar nako wanafanya haya.

View attachment 2714027
Una uhakika gani kwamba hiyo pesa itakayofanya shughuli hiyo ni ya kifisadi?. Wivu unatesa sana baadhi ya watanzania haswa awamu hii ya sita.
 
Tanzania kama mgonjwa wa goti anapasuliwa ubongo na mgonjwa wa ubongo anapasuliwa goti,ni wapi unaweza kukuta taasisi ya umma ina ufanisi!!??
Ni pale watu au Wana siasa watakapo amua kuwa wakweli
 
Nilivyokuja dar kwa mara ya kwanza, then nikapelekwa Muhimbili, naambiwa hapa ndio Muhimbili nikabaki nimetoa macho, siku nimeingia wodi ya kibasila ndio macho yalinitoka zaidi[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mali ya umma itabaki kuwa ya umma tu.

Hivi (kwa wakazi wa Mwanza) yale majengo ya zamani ya Hospital ya Rufaa ya mkoa Sekou Toure yalishabomolewa baada ya ujenzi wa lile jengo jipya?

BMC haiwezi kubomolewa hata baada ya miaka 100 ijayo labda ibomoke yenyewe.

Bugando Hospital %28Close up%29.jpg
 
Hospitali ya taifa Haina idara nyingi kama za mifupa ;moyo ,Kansas nk.kwanini imepewa hazi ya kuitwa hospitali ya taifa Hali MoI ni hospitali nyingine na JKci ni hospitali nyingine.hii ni kuwasababishia kifo wagonjwa kwa kupotenza mda hospitali Moja Hulu tatizo lake liko hospitali nyingine.mbona Nyerere sliunganisha Hadi Ocean road hospital kuwa hospitali ya taifa.Mloganzila ni hospitali ya chuo.Ni ufinyu wa mawazo kuipa Muhimbili.
 
Back
Top Bottom