ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Toa upumbavu wako hapaKumeingia mtindo mpya wa kujitafutia miradi. Sasa mkurugenzi wa Muhimbili anataka kuanzisha mradi wa upigaji eti Muhimbili ibomolewe na kujegwa upya wakati kuna vijana hawana hata mabweni ya kulala.
Kwani kuna tatizo gani ya maeneo ya kujenga mpaka wakabomoe hospitali! Kwaninj basi pasibakie kufanywa chuo cha afya na waongeze wanafunzi kwenye sehemu nyingine muhimu! Wenzetu wana hospital mpaka za makontena eti sisi tunalalamika majengo ni ya kizamani! Wakati tunategemea misaada kwenye dawa na chanjo.
Mtindo huu vilevile upo kwenye viwanja vya mpira na Zanzibar nako wanafanya haya.
View attachment 2714027
Majengo ya Mwanzo yamechoka hata ukiyaacha sio salama Wala sio compatible na Mifumo mipya ya ujenzi wa Kisasa unaoendana na hali ya Sasa.NASHAURI WASIBOMOE,NI HERI KUONDOA HAYO MASHULE HAPO JIRANI,NA KUONGEZA MAJENGO MAPYA YA HOSPITALI,PRESENTABLE.
kiasi cha fedha kikaboreshe pugu sec,na kuipanua,ikiwepo kuipa heshima kubwa ya "Mwl.Jkn sec n high school".
NAKAZIA [emoji419][emoji375]Tz ina laana
Ova
HahahahahaLogically jamaa kaeleza mazingira ya rushwa hapo. Kwamba hakuna hoja ya kubomoa jengo na kujenga upya kwa sababu huko kwenye nchi zilizoendelea kuna hospitali ziko hadi kwenye makontena na watu wanapata huduma vizuri kabisa na maisha yanaendelea.
Mtoa mada anaona kwamba kitendo cha kuanzisha mradi wa ujenzi upya wa hospitali kwa kigezo cha majengo yamechoka hakina mashiko kwa sababu majengo sio tatizo, tatizo ni huduma.
Mtoa mada anaenda mbali zaidi anashangaa watu ambao mnategemea misaada hadi ya dawa za asprin, mnaanzisha miradi isiyo na tija.
Kwa mtazamo wangu, mtoa mada ana hoja ingawa sio nzito sana ila asikilizwe.
We jamaa ile stendi ya Magufulu unataka ujenge kwa bilion 10?Nasikitika kwamba barsbara nyingi za upanga ni za vumbi na zina mavumbi na mashino hatari hatari...na hapo ni Karibu na CITY centre...
Maghorofa yake yanaficha mengi....hiv kwa nini wasitengeneza barabara qualitu na sidewalks upanga nzima...
Bado kuna nyaya za Tanesco zilizofungwa ovyo ovyo Dar city centre nzima...
Kusema ukweli Dar inasikitisha sana...city council sijui wanafanya nini....hadi kutumia Billion 71 kujenga magufuli stendi...wakati wangejenga stendi simple kama ile wanayojengwa mwemge ya billion 10...na billion 61 zikajenga na kumodify barabara za citu centre kwa kuziwekea sidewalks na mitaro...
NB..barabara nyingi za upanda ni dirt roads 90%...
Mkuu acha unaa Nchi hii upigaj muhimu wala huwez fungwa magereza, so acha tule!!Kumeingia mtindo mpya wa kujitafutia miradi. Sasa mkurugenzi wa Muhimbili anataka kuanzisha mradi wa upigaji eti Muhimbili ibomolewe na kujegwa upya wakati kuna vijana hawana hata mabweni ya kulala.
Kwani kuna tatizo gani ya maeneo ya kujenga mpaka wakabomoe hospitali! Kwaninj basi pasibakie kufanywa chuo cha afya na waongeze wanafunzi kwenye sehemu nyingine muhimu! Wenzetu wana hospital mpaka za makontena eti sisi tunalalamika majengo ni ya kizamani! Wakati tunategemea misaada kwenye dawa na chanjo.
Mtindo huu vilevile upo kwenye viwanja vya mpira na Zanzibar nako wanafanya haya.
View attachment 2714027
Pesa inapigwa kwenye manunuzi, bila mradi huwezi kuiba,tengeneza mradi wa jengo, kila bidhaa itakayotumika, bei ongeza Mara mbili, ukisema unahitaji mifuko 200 ya saruji, unatumia 80 tu, mingine ni chakula!!Ebu elezea rushwa inafanyika vipi hapo?
Kuboresha ni lazima ubomoe?Ulitaka pajengwe upya bila kubomolewa?
Majengo yote yamechoka pamoja? Na kwa nini yamechoka? Lini umeyafanyia ukarabati? Na unadhani hayo mapya hayatahitaji ukarabati?kwa hiyo kama wajengo yamechoka yaachwe tu?
Nyie malalamiko fc mna shida sana vichwani mwenu
Ndugu yangu unajua muda mwingine nawaza kuwa huenda tuliharakisha sana kupata uhuru. Tungesubiri tupate uhuru mwk 1990 au 2000 nina uhakika kuna mambo mengi ya maana tungekuwa tumeshafanyiwa na wakoloni wetu. Sisi kichwani hakuna kitu NDIO MAANA BARABARA INAJENGWA LEO HALAFU MWAKANI INABOMOLEWA ILI KUONGEZA UPANA NA MADARAJA. Nina uhakika sio muda mrefu Stand ya Magufuli Mbezi itabomolewa, na baadhi ya barabara za mwendo kasi zitabomolewa kwa madai ya kuhamisha au kuboresha.Badala ya kubomoa wakajenge sehemu nyingine kisasaš¤ kwanini ubomoe sehemu ambayo inaweza kutumika kwa shughuli nyingine. Kuna shule mbili pale kubwa zaidi ya Tatu kuanzia Tambaza mpaka Azania watoto hawana mabweni ya kutosha kwanini wasikarabati ikawa shule na hospitali ikajegwe sehemu nyingine?
Mloganzila kule wana eneo kubwa sana..kwa nini wasiendeleze kule.Hiyo hela wangejenga hospital nyingine mpya
Umeongea vizuri ila kusema hoja sio nzito umeharibuLogically jamaa kaeleza mazingira ya rushwa hapo. Kwamba hakuna hoja ya kubomoa jengo na kujenga upya kwa sababu huko kwenye nchi zilizoendelea kuna hospitali ziko hadi kwenye makontena na watu wanapata huduma vizuri kabisa na maisha yanaendelea.
Mtoa mada anaona kwamba kitendo cha kuanzisha mradi wa ujenzi upya wa hospitali kwa kigezo cha majengo yamechoka hakina mashiko kwa sababu majengo sio tatizo, tatizo ni huduma.
Mtoa mada anaenda mbali zaidi anashangaa watu ambao mnategemea misaada hadi ya dawa za asprin, mnaanzisha miradi isiyo na tija.
Kwa mtazamo wangu, mtoa mada ana hoja ingawa sio nzito sana ila asikilizwe.
Wapi wamesema majengo yote?Majengo yote yamechoka pamoja? Na kwa nini yamechoka? Lini umeyafanyia ukarabati? Na unadhani hayo mapya hayatahitaji ukarabati?
Amandla...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona unachambua riwayaLogically jamaa kaeleza mazingira ya rushwa hapo. Kwamba hakuna hoja ya kubomoa jengo na kujenga upya kwa sababu huko kwenye nchi zilizoendelea kuna hospitali ziko hadi kwenye makontena na watu wanapata huduma vizuri kabisa na maisha yanaendelea.
Mtoa mada anaona kwamba kitendo cha kuanzisha mradi wa ujenzi upya wa hospitali kwa kigezo cha majengo yamechoka hakina mashiko kwa sababu majengo sio tatizo, tatizo ni huduma.
Mtoa mada anaenda mbali zaidi anashangaa watu ambao mnategemea misaada hadi ya dawa za asprin, mnaanzisha miradi isiyo na tija.
Kwa mtazamo wangu, mtoa mada ana hoja ingawa sio nzito sana ila asikilizwe.