Mtindo mpya wa rushwa wa kubomoa na kujenga Hospitali ya Taifa Muhimbili

Toa upumbavu wako hapa
 
NASHAURI WASIBOMOE,NI HERI KUONDOA HAYO MASHULE HAPO JIRANI,NA KUONGEZA MAJENGO MAPYA YA HOSPITALI,PRESENTABLE.
kiasi cha fedha kikaboreshe pugu sec,na kuipanua,ikiwepo kuipa heshima kubwa ya "Mwl.Jkn sec n high school".
Majengo ya Mwanzo yamechoka hata ukiyaacha sio salama Wala sio compatible na Mifumo mipya ya ujenzi wa Kisasa unaoendana na hali ya Sasa.

Usipoyabomoa yatabaki yawe yanafanya kazi gani? Hata NHC inabomoa majengo ya zamani na kujenga mapya.
 
Hahahahaha
 
We jamaa ile stendi ya Magufulu unataka ujenge kwa bilion 10?
 
Mkuu acha unaa Nchi hii upigaj muhimu wala huwez fungwa magereza, so acha tule!!
 
Ebu elezea rushwa inafanyika vipi hapo?
Pesa inapigwa kwenye manunuzi, bila mradi huwezi kuiba,tengeneza mradi wa jengo, kila bidhaa itakayotumika, bei ongeza Mara mbili, ukisema unahitaji mifuko 200 ya saruji, unatumia 80 tu, mingine ni chakula!!
Serikalini, peni ya 200,hunuliwa kwa tsh 2000Tsh.
 
kwa hiyo kama wajengo yamechoka yaachwe tu?

Nyie malalamiko fc mna shida sana vichwani mwenu
Majengo yote yamechoka pamoja? Na kwa nini yamechoka? Lini umeyafanyia ukarabati? Na unadhani hayo mapya hayatahitaji ukarabati?

Amandla...
 
Ndugu yangu unajua muda mwingine nawaza kuwa huenda tuliharakisha sana kupata uhuru. Tungesubiri tupate uhuru mwk 1990 au 2000 nina uhakika kuna mambo mengi ya maana tungekuwa tumeshafanyiwa na wakoloni wetu. Sisi kichwani hakuna kitu NDIO MAANA BARABARA INAJENGWA LEO HALAFU MWAKANI INABOMOLEWA ILI KUONGEZA UPANA NA MADARAJA. Nina uhakika sio muda mrefu Stand ya Magufuli Mbezi itabomolewa, na baadhi ya barabara za mwendo kasi zitabomolewa kwa madai ya kuhamisha au kuboresha.

Ninaamini serikali zetu zingekuwa makini ungekuta DSM sehemu zenye huduma za kibiasha na soko kubwa sio kariakoo tu. PIA INASHANGAZA KUONA SASAHIVI SOKO LA KARIAKOO LIMEONGEZEWA MAJENGO YA GHOROFA za mabilioni ya fedha. Ninaona KULIKO KUONGEZA UKUBWA WA HILO SOKO NI KWANINI WASINGETAFUTA ENEO LINGINE NJE YA MJI NA KUJENGA SOKO LENYE HADHI KAMA VILE BUNJU AU KIBAMBA. YAANI WAO WANAONA SAWA WATU WOTE KUKIMBILIA KARIAKOO halafu wanashangaa kuona foleni za magari

Actually Tanzania we don't have intelligent planners.
 
Hiyo hela wangejenga hospital nyingine mpya
Mloganzila kule wana eneo kubwa sana..kwa nini wasiendeleze kule.

Kwa nini wasitanue huduma mikoani kama mwenzao alivyoanza na hospital za rufaa mtwara, dodoma, mbeya, Mara na geita.
 
Umeongea vizuri ila kusema hoja sio nzito umeharibu
 
aliyemweka huyu mkurugenzi ndio anajua, nilimsikia anataka kukopa milioni 600 kujengwa parking. Mloganzila Ina eneo kubwa sana kwanini hizo pesa wasiwekeze kule. Mashine nyingi za vipimo hazifanyi Kazi kwanini wasitumie hizo pesa kukarabati hizo mashine na kukimbilia kubomoa majengo na kujengwa upya.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona unachambua riwaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…