Mtindo wa Misiba ya Siku Hizi: Watoto waliozaliwa mijini (1990's) wanavyokataa kusafirisha miili ya wazazi wao kwenda kuzikwa kijijini na kupasua ukoo

Okay...
 
Last week nilihudhuria msiba mmoja wa kichaga, walizika hapa hapa mjini ila tukiwa msibani ilionekana wachaga wengi hawajaridhika maziko kufanyika dar hata askofu kwenye misa ya mazishi alisema mila zisizo na ulazima zinaweza kuvunjwa tu na ikasemekana marehemu na mumewe walishakubariana kuwa wakifa hamna kwenda moshi tunazika dar, yani maana yake hata mzee mwenyewe akifa atazikiwa dar, hii ni familia haina njaa pia ni influencial sana hata msibani mdee na gwajima walikua wanapigana sana vikumbo kuonesha kila mmoja yupo karibu nao, nikajifunza kama wachaga wamefikia kuzikwa dar basi soon kila mtu atazikwa alipoishi.
 
Okay...
 
hii ni familia haina njaa pia ni influencial sana hata msibani mdee na gwajima walikua wanapigana sana vikumbo kuonesha kila mmoja yupo karibu nao, nikajifunza kama wachaga wamefikia kuzikwa dar basi soon kila mtu atazikwa alipoishi.
Sawa mkuu
 
binafsi hata mtoto wangu sipendi aitwe hata jina la babu au bibi yake marajina la mjomba,shangazi yake nk.

sasa kuhusu kuzika kijijini ndio kabisa naona ni upuuzi kwa mawazo yangu lakini
 
binafsi hata mtoto wangu sipendi aitwe hata jina la babu au bibi yake marajina la mjomba,shangazi yake nk.

sasa kuhusu kuzika kijijini ndio kabisa naona ni upuuzi kwa mawazo yangu lakini
Kama pesa ipo kuzikana kijijini ni jambo jema sana mkuu
 
Hali ya maisha imebadilika,unakuta mtu kwao Tarime,halafu kafia mtwara,hao wanaodai maiti iletewe kijijini hawachangii hata mia
 
Uchumi baba hali ya maisha imebadilika!
Zamani tu kwenye kuzika misiba ya wakristo mfano ilikuwa inakaa mpk siku 4 au 5 watu wanakula na kunywa ila sahv ukifa leo kesho au keshokutwa tunakuzikaaa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 

Unawapeleka wanakuja kulogwa unafikiri kwa nini watu hawataki kurudi
 
binafsi hata mtoto wangu sipendi aitwe hata jina la babu au bibi yake marajina la mjomba,shangazi yake nk.

sasa kuhusu kuzika kijijini ndio kabisa naona ni upuuzi kwa mawazo yangu lakini

Sahihi kabisa
 
Kwenye koo zetu kwa baba na mama ukivuta lazima ukazikwe kijijini..tena makaburi utakuta yamepangwa Kama kuanzia babu wa babu hadi namna wanavyoendelea kuzika.
Mimi sitaki wanipeleke kijijini basi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…