Mtindo wa viongozi kushitakiana si dalili njema kama Taifa, tujirejebishe

Mtindo wa viongozi kushitakiana si dalili njema kama Taifa, tujirejebishe

Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
 
Umetoa mawazo bila kuyatafakari. Ebu jaribu ku criticise hoja yako uone inavyoyeyuka...
 
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
Waache watengeneze hii migogoro watafurahi tuu baadaye

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ni busara na hekima kuyaacha yapite? So ukiwa kiongozi ukafanya madudu uachwe just tu ulikuwa kiongozi.

Yaani sheria kwako haifanyi kazi just because ya cheo?

Kuna haja gani ya kufuata sheria kama kundi flani la watanzania sheria haiwagusi wengine inawagusa?
Kaa kmya hujuwi lolote,, Kama vp na viongozi wa juu waindolewe Kinga ili kuwe ba double standard

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Acha upumbavu wewe! Hatuwezi kuwa na taifa la kulea magaidi eti kisa kulindana.

Dictator alitumia madaraka vibaya na akawapa wateule wake nguvu ya kufanya kila aina ya uovu. Lazima washughulikiwe ili hii tabia isijirudie.
Toeni Kinga kwa raisi,spika,wazir mkuu na wengine walio na Kinga ili sheria ikate kotekote

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Aiseee.......wananzengo wana hasira na Sabaya.... 🙂

Kwangu mimi Sabaya awe somo kwa hawa vijana wanaopewa madaraka nu kudhania kwamba wanamiliki hata hewa wanayoivuta. Bahati mbaya sana wenye dhamana ya uongozi akili inawarudia wakishatoka madarakani! Sijui ni kwa nini aiseee...

Sabaya ashughulikiwe na sheria za nchi yetu. Ingawa yeye wapo wengi aliwanyima hiyo fursa ya kusikilizwa mbele ya sheria.

Ushauri wangu WOTE mliopo madarakani.....jifunzeni kutawala kwa haki. Ipo siku usiyoijua, makosa au uhalifu wako utakurudia kwa kasi ya ajabu.
 
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
Ndo maana wanaapa kulinda katiba ww maana hiyo ndo sheria mama ukizingua inakuzingua km nikutaka twende jienyeji basi hata wanao fanya ujamabazi na ubakaji nao wana jamiii zao nao tusiwakamate maana tutaleta ukanda[emoji24][emoji24]
 
Finally, wafuasi wa O le Sabaya mnarudi na kuungama. Bado Bashite na Musiba
😂😂😂😂

IMG-20210606-WA0019.jpg
 
Mkuu mawazo yako hayo ni yakipuuzi sana. Samahani kwa hilo.

Hivi kwa mantiki hiyo ni maovu mangapi yatakuwa yanafumbiwa macho? Je utawala wa sheria utakuwa na maana gani?

Hivi huoni tutakuwa tunarudi kwenye barbaric and primitive eras ambapo kila mtu aliamua kufanya atakavyo?

Mkuu mawazo yako hayafai hata mtoto wa chekechea atakucheka.

Sorry i am not sorry.
Wewe ndiyo mawazo yako yakipumbavu,, hata hufikirii kwann kusiwe na double standard? Hata viongozi walio na Kinga ya kutoshitakiwa iondolewe ili msumeno ule kotekote

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Yan mkuu umekaa kabisa ukaandika huu uzi eti tujirejebishe. Kwanza kuandika hujui. Yan uwe kiongozi utuibiwe utombe wake za watu uchukue hela kwa nguvu alafu usishtakiwe kwakua kiongozi.. PUMBAVU KABISA.
 
Ndo maana wanaapa kulinda katiba ww maana hiyo ndo sheria mama ukizingua inakuzingua km nikutaka twende jienyeji basi hata wanao fanya ujamabazi na ubakaji nao wana jamiii zao nao tusiwakamate maana tutaleta ukanda[emoji24][emoji24]
Jifunze kusoma katikati ya mistari nasiyo kufahamu kusoma maandishi tu yenyewe.
 
Kuna nchi zingine hata Rais anawajibishwa kwa ukiukwaji wa sheria ila sisi bado sana

Kwa hiyo mleta mada unataka mwingine aje na kujiamulia na kusema viongozi wote wa serikali hawawezi kishtakiwa

Acha sheria ifuatwe na Katiba ni lazima sio ombi
 
Na tabia hii mara nyingi hufanya watu wabadiri katiba ili wasitoke madarakani maana wakitoka tu watu wanawadaka.
Wanaofurahia haya hawafikirii yajayo. Ile ofisi iko empty kwa sasa mtu anafuma ukili tu. Maback bench wanaremote zao kutoka Chalinze.
 
Back
Top Bottom