Chozizwa2020
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 912
- 853
Kwa hiyo anaweza kujifunza na kuelimika.Ni mtu mjinga tu ndiye anaweza kuwaza hivyo. Nimetumia neno zuri 'mjinga', Sijataka kusema mpumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo anaweza kujifunza na kuelimika.Ni mtu mjinga tu ndiye anaweza kuwaza hivyo. Nimetumia neno zuri 'mjinga', Sijataka kusema mpumbavu.
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.
Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.
Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.
Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.
Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
Kaa kmya hujuwi lolote,, Kama vp na viongozi wa juu waindolewe Kinga ili kuwe ba double standard
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mkuu nadhani ni wakati muafaka wa kuondoa KINGA ZA KUTOSHITAKIWA KWA VIONGOZI WOTE. RAIS asishitakiwe kwa masuala ya KIUTAWALA ila anaweza kushitakiwa Kwa mambo ya Ubadilifu wa rasilimali za Taifa na uvunjaji wa HAKI ZA BINADAMU.Toeni Kinga kwa raisi,spika,wazir mkuu na wengine walio na Kinga ili sheria ikate kotekote
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.
Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.
Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.
Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.
Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
Kwani kuna kiongozi alieshitakiwa?Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.
Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.
Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.
Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.
Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
Kama yapi hutaki yasemwe?Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.
Mwendazake nae alishtakiwa kwa Mola jua hilo.Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.