Mtindo wa viongozi kushitakiana si dalili njema kama Taifa, tujirejebishe

Mtindo wa viongozi kushitakiana si dalili njema kama Taifa, tujirejebishe

Tulikua na smooth transition of power kwa sababu haya mambo hayakuwepo.
 
Na tabia hii mara nyingi hufanya watu wabadiri katiba ili wasitoke madarakani maana wakitoka tu watu wanawadaka.
Wanaofurahia haya hawafikirii yajayo. Ile ofisi iko empty kwa sasa mtu anafuma ukili tu. Maback bench wanaremote zao kutoka Chalinze.
Thank you sir
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Tulikua na smooth transition of power kwa sababu haya mambo hayakuwepo.
Nafikiri watu tunashindwa kuona picha kamili na hatari kubwa inayotunyemelea kuliko tunakojaribu ku solve.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
Mtoa mada naomba nikuulize.

kiongozi gani kamshitaki kiongozi mwenzie ?

kamshitaki kiongozi mwenzie kwa tuhuma zipi ?
 
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
Hiyo ipo tayari. Kama kuna kundi litaumia kwa utawala fulani, muda wa kura ukija kuanzia kwenye kura za maoni tutahamasishana kumchagua our man, our son.
 
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.

Kwa udhalimu ulioufanya unahisi na ww utashitakiwa? Yaani ukiwa kiongozi unaweza kufanya unyama wowote kisa hutashitakiwa ili isilete picha mbaya. Tena ingekuwa rais anashitakiwa kama magufuli angekuwa hai ndio alipaswa kuwa namba moja ya kushitakiwa.
 
Hiyo ipo tayari. Kama kuna kundi litaumia kwa utawala fulani, muda wa kura ukija kuanzia kwenye kura za maoni tutahamasishana kumchagua our man, our son.
Viongozi wawe makini tu ndo watu kutoka nyikani tunawaambia maono ambayo wenda hawayaoni.

The repercussion of the whole saga would be of overwhelming . For leaders, get together your bits and pieces , let loose or pick up if any and move on.
 
Ni busara na hekima kuyaacha yapite? So ukiwa kiongozi ukafanya madudu uachwe just tu ulikuwa kiongozi.

Yaani sheria kwako haifanyi kazi just because ya cheo?

Kuna haja gani ya kufuata sheria kama kundi flani la watanzania sheria haiwagusi wengine inawagusa?
Uko sahihi sana mkuu
 
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
Upumbavu mtupu . Yaani majamaa yaue watu eti wastahiwe ?!. Basi sasa haki haina maana. Au kwa kuwa yaliwapata nguruwe na si watu !!
 
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
Hapana hata kidogo. Huu ni utaratibu mzuri ili viongozi wawe wadilifu wawepo madarakani. "It is a leadership check and balance mechanism. We cannot let unscrupulous leaders go unpunished. They have to pay for their wrongdoing".
 
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
IMG_20210607_084510.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana hata kidogo. Huu ni utaratibu mzuri ili viongozi wawe wadilifu wawepo madarakani. "It is a leadership check and balance mechanism. We cannot let unscrupulous leaders go unpunished. They have to pay for their wrongdoing".
The retaliation would be of devastating. And this would come in any form, and that, regardless of any wrongdoings. The basis of it would only be under pretext of ,you punished my man or my community, and now is your turn.

This situation will trigger in additional bit into the chemistry, that, during voting we have to vote in anyway that we can protect our people from our community.

While on the other hand, the administration will be busy changing even the constitution so that they can remain in power for avoiding the obvious consequences.

Again, leaders have to be extremely careful around these things.
 
Mkuu mawazo yako hayo ni yakipuuzi sana. Samahani kwa hilo.

Hivi kwa mantiki hiyo ni maovu mangapi yatakuwa yanafumbiwa macho? Je utawala wa sheria utakuwa na maana gani?

Hivi huoni tutakuwa tunarudi kwenye barbaric and primitive eras ambapo kila mtu aliamua kufanya atakavyo?

Mkuu mawazo yako hayafai hata mtoto wa chekechea atakucheka.

Sorry i am not sorry.
Hakuna haja ya kumwomba msamaha, huyu ni mpumbavu kweli
 
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
Wewe upo nyuma mno kifikra! Mtindo huu wa kuwashitaki viongozi waliotumia vibaya madaraka ndio mtindo mzuri zaidi na ndio uliopo nchi zilizoendelea zote kama USA, Ulaya, n.k. Wewe ni mmoja wa wale waliofaidika na ukatili wa Magufuli?
 
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.

..labda ungeshauri Raisi na wateule wake wote wawe na KINGA ya kutoshtakiwa wanapokuwa ktk nyadhifa zao na wanapoondoka ktk nyadhifa hizo.

..Na kwasababu CCM wana super-majority BUNGENI basi wanaweza kupitisha sheria hiyo bila kizuizi chochote.

..bila kuwa na sheria hiyo suala kushtakiana litaendelea kuwepo na litategemea zaidi utashi wa aliyeingia madarakani yuko tayari kiasi gani kuvumilia na kufukia maovu, na madudu ya awamu iliyomtangulia.
 
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
Ni nini hitimisho la hoja yako mkuu?malizia tu tujue unayemtetea
 
Back
Top Bottom