Mtiririko wa tarehe zilizotajwa na mwanasheria wa Yanga kuhusu Kagoma unakataa, na ni aibu kwake na Klabu yake

Mtiririko wa tarehe zilizotajwa na mwanasheria wa Yanga kuhusu Kagoma unakataa, na ni aibu kwake na Klabu yake

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
Hebu msikilizeni kwa umakini sana na mpigie mstari hizo tarehe, maana mimi naona tarehe zinarudi nyuma kuanzia mwezi wa nne kwenda mwezi wa tatu. Dakika mbili tu zimeharibu kila kitu.

Anachosema:
1. Yanga walikubaliana na Singida kuwa watailipa Singida sh. 30M kwa awamu mbili, ambapo 15M zilipwe mwisho wa mwezi wa NNE na 15M zilizobaki zilipwe mwisho wa mwezi wa SITA.
2. Ilipofika tarehe 30/04/2024 (mwisho wa mwezi wa nne) Yanga ilifanya malipo ya sh. 30M (sio 15M tena).
3. Baada ya kufanya malipo klabu ya Yanga iliruhusiwa kukaa na mchezaji kufanya mazungumzo kuhusu maslahi binafsi
4. Tarehe 27/03/2024 Yanga ilimtumia Yusuph Kagoma tiketi ya ndege kutoka Kigoma aje kufanya maongezi na Yanga.
5. Tarehe 28/03/2024 Yanga ilimsainisha Kagoma mkataba

 
NB: Kuna uwezekano mkubwa Singida FG wanachosema ni sahihi, kwamba malipo ya sh. 30M waliyofanya Yanga sio ya Yusufu Kagoma, ni ya deni la Nickson Kibabage ambalo nalo lilikuwa hizo hizo sh. 30M. Yanga imetumia nyaraka za Kibabage ili kuonyesha kuwa ni za Kagoma, maana mwisho wa mwezi wa NNE walikubaliana sh. 15M, na sio 30M zinazoonekana kwenye hati ya malipo
 
NB: Kuna uwezekano mkubwa Singida FG wanachosema ni sahihi, kwamba malipo ya sh. 30,000/= waliyofanya Yanga sio ya Yusufu Kagoma, ni ya deni la Nickson Kibabage ambalo nalo lilikuwa hizo hizo sh. 30,000/=. Yanga imetumia nyaraka za Kibabage ili kuonyesha kuwa ni za Kagoma, maana mwisho wa mwezi wa NNE walikubaliana sh. 15,000/=, na sio 30,000/= zinazoonekana kwenye hati ya malipo
mh!nachosha kwahiyo na hili mdadavuliwe! tafuta video nzima inamajibu achana na vipande
 
Viongozi wa Yanga washajua kama mashabiki wao ni mabwege nazi na wameshajua kucheza na akili zao ili waendelee kuwa mandondocha ili GSM aendelee kupiga hela kupitia mikataba ya kinyonyaji aliyoingia na kibaraka wake aliyemuweka pale HS.
 
NB: Kuna uwezekano mkubwa Singida FG wanachosema ni sahihi, kwamba malipo ya sh. 30M waliyofanya Yanga sio ya Yusufu Kagoma, ni ya deni la Nickson Kibabage ambalo nalo lilikuwa hizo hizo sh. 30M. Yanga imetumia nyaraka za Kibabage ili kuonyesha kuwa ni za Kagoma, maana mwisho wa mwezi wa NNE walikubaliana sh. 15M, na sio 30M zinazoonekana kwenye hati ya malipo
Kwahio majina ya Nickson na Kagoma huko kwenu umbumbuni yana fanana?
 
Viongozi wa Yanga washajua kama mashabiki wao ni mabwege nazi na wameshajua kucheza na akili zao ili waendelee kuwa mandondocha ili GSM aendelee kupiga hela kupitia mikataba ya kinyonyaji aliyoingia na kibaraka wake aliyemuweka pale HS.
Kuna mabwege zaidi ya wale walitolewa Manzoki kwenye uchaguzi?
 
Kwa ufupi kuna mambo mengine yamekupita, kwa hiyo kurudi nyuma kukuelezea inatakiwa nguvu kubwa
Huwezi kua na akili timamu useme utoto kama huo uki deposit pesa bank lazima uandike malipo kwa ajili ya nini,sasa unawezaje kulipa Nickson isomeke Kagoma? Tatizo ni kujifanya una akili wakati huna, kwenye maelezo ya zaidi ya nusu saa umechukua clip ya dakika mbili ili u justify u mbumbumbu wako
 
NB: Kuna uwezekano mkubwa Singida FG wanachosema ni sahihi, kwamba malipo ya sh. 30M waliyofanya Yanga sio ya Yusufu Kagoma, ni ya deni la Nickson Kibabage ambalo nalo lilikuwa hizo hizo sh. 30M. Yanga imetumia nyaraka za Kibabage ili kuonyesha kuwa ni za Kagoma, maana mwisho wa mwezi wa NNE walikubaliana sh. 15M, na sio 30M zinazoonekana kwenye hati ya malipo
Binafsi naona ilikuwa busara uongozi wa Yanga kukaa kimya tu na kusubiria kamati ya sheria ije na maamuzi. Hii press ya kuonesha watu kuhusu nini kilichotokea kwangu naona haikuwa na maana.
 
Back
Top Bottom