Ona huyu mbumbumbuMchezaji hawezi kufungiwa kwa ishu ndogo kama hiyo ya kusaini mkataba kwa maana ili usajili wa mchezaji ukamilike kuna mambo mengi ya kukamilisha ambayo Yanga hawakukamilisha ndo maana hawakupeleka mkataba TFF waweze kukamilisha usajil huyu i wa Kagoma na ndio maana Fountain Gate walimalizana na Simba wakatoa na Release Letter na ndo maana Mchezaji akaidhinishwa kutumika Simba.
Kwa hiyo wanayanga ni mabwege???Viongozi wa Yanga washajua kama mashabiki wao ni mabwege nazi na wameshajua kucheza na akili zao ili waendelee kuwa mandondocha ili GSM aendelee kupiga hela kupitia mikataba ya kinyonyaji aliyoingia na kibaraka wake aliyemuweka pale HS.
Unauliza jibu toa tu hizo alama za kuuliza utakuwa umeshapata jibu.Kwa hiyo wanayanga ni mabwege???
Sasa huko benki wanajua kweli kama ni malipo ya Kagoma ama kibabage?Huwezi kua na akili timamu useme utoto kama huo uki deposit pesa bank lazima uandike malipo kwa ajili ya nini,sasa unawezaje kulipa Nickson isomeke Kagoma? Tatizo ni kujifanya una akili wakati huna, kwenye maelezo ya zaidi ya nusu saa umechukua clip ya dakika mbili ili u justify u mbumbumbu wako
Hajakosea.Ona huyu mbumbumbu
Hivi Huwa hamna aibu
Yaani unaandika kitu mpaka watu wanajua hili ni kilaza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najaribu kufikiria tu yaani yanga imsainieshe Yusuph Kagoma kwa milioni 30 halafu aende simba then aombe msamaha wamsamehe ili aendelee kucheza simba... Hata km kichwani kumejaa mavi badala ya ubongo lazima ikufikirishe.
Tena ni mabwege nazi.Kwa hiyo wanayanga ni mabwege???
8_2Tena ni mabwege nazi.
Usimthibitishie Kwa anachosema kwa kuandika ulichoandika.
Yasiyo na majibu!!Yule mwanasheria wa yanga ananipa maswali mengi sana.
Una akili ndogo sana, hata demu ukimtumia hela una mwambia nmekutumia hela ya kusuka au nauli mbona vitu vingine ni simpleSasa huko benki wanajua kweli kama ni malipo ya Kagoma ama kibabage?
Yaani hoja ya kuandika kwenye "Pay in slip" kuwa malipo ni ya nini haifanyi kisheria kuwa kweli malipo hayo ni kwa ajili ya hicho ulichoandika kwenye ankara hiyo ya benki.
wewe ndiye hukumsikilza vizuri na hukumwelewa au unataka tu kutengeza upungufu katika maelezo yake kwa makusudi tu. Kujadiliana na mchezaji hakukutegemea malipo kufanyika.Kwa hiyo unapingana na alichokisema wakili na mwanasheria msomi wa Yanga?
Sio kosa lako bro wala sikushangai maana unaleta mahaba kwenye vitu vilivyo wazi kabisa yaani FIFA sio wajinga walioleta TMS yaan Transfer Management System kwaajili ya kuondoa hizo mnazoziita Double Signing kwahiyo Kagoma HAWEZI KUFUNGIWA maana ni mchezaji halali wa SIMBA.Ukweli ndo huo kama hutaki kunya boga hahahahahhaa ngara23Ona huyu mbumbumbu
Hivi Huwa hamna aibu
Yaani unaandika kitu mpaka watu wanajua hili ni kilaza
nimeamini Mahaba yakizidi huondoa maarifa aiseeOna huyu mbumbumbu
Hivi Huwa hamna aibu
Yaani unaandika kitu mpaka watu wanajua hili ni kilaza
We kweli tutusaSio kosa lako bro wala sikushangai maana unaleta mahaba kwenye vitu vilivyo wazi kabisa yaani FIFA sio wajinga walioleta TMS yaan Transfer Management System kwaajili ya kuondoa hizo mnazoziita Double Signing kwahiyo Kagoma HAWEZI KUFUNGIWA maana ni mchezaji halali wa SIMBA.Ukweli ndo huo kama hutaki kunya boga hahahahahhaa ngara23