Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Kama Tundu Lissu alimshindwa Magufuli atamuweza Samia? TL hana sifa ya kuwa kiongozi, abaki kwenye harakati. Ana mihemko sana
Lissu atashinda kwa 60% angalau.Let assume tukawa na tume huru, Dola akabaki kulinda uchaguzi na tume ya uchaguzi ikabaki kusimamia uchaguzi . KWENYE ulingo WA siasa akasimama Mama Samia kama mgombea Urais na Mpango Makamu huku upinzani asimame Lisu kama mgombea Urais na Salimu Mwalimu Makamu wa RAIS; huo uchguzi unatabiri utaamuliwa kwa asilimia ngapi?
Je, utabebea ladha kama ulivyo mchuano Kati ya Odinga na Rutho Kenya Leo? Tunaweza kukubali tuwe na mpambano huru kama kinachoendelea Kenya? Kwamba hakuna mwekezaji anafungsha virago Kwa sababu ya uchaguzi? Kwamba wagombea wataruhusiwa kuwa na haki sawa zakunadi sera zao?
๐๐๐๐๐ nakubaliana na wewe kakaSio magufuli tu, tundu lissu alimshindwa Lazaro Nyarandu. Ule ugombea ilibidi ateuliwe tu kwa viti maalum maana mule ndan asingeweza kumsinda mtu yeyeto. Sasa kama kikundi kidogo tu kimemuangusha atamuweza samia?
Mimi mtazamo wangu ni kuwa bila Polisi na Tume ya ccm. Basi 2025 Raia Samia angeweza kuhamia Chadema.Let assume tukawa na tume huru, Dola akabaki kulinda uchaguzi na tume ya uchaguzi ikabaki kusimamia uchaguzi . KWENYE ulingo WA siasa akasimama Mama Samia kama mgombea Urais na Mpango Makamu huku upinzani asimame Lisu kama mgombea Urais na Salimu Mwalimu Makamu wa RAIS; huo uchguzi unatabiri utaamuliwa kwa asilimia ngapi?
Je, utabebea ladha kama ulivyo mchuano Kati ya Odinga na Rutho Kenya Leo? Tunaweza kukubali tuwe na mpambano huru kama kinachoendelea Kenya? Kwamba hakuna mwekezaji anafungsha virago Kwa sababu ya uchaguzi? Kwamba wagombea wataruhusiwa kuwa na haki sawa zakunadi sera zao?
TL alimfanya mtu akawa trip shamba trip gereji.๐๐๐๐๐ nakubaliana na wewe kaka
Ktk siasa Tundu Lissu yuko overated sana.
Walitaka watanzania eti tumpigie kura za huruma.. hivi nchi iongozwe kwa kura za huruma like seriously?
Tundu Lissu ni mwanasheria mzuri (hili hatulikatai) lakini HANA SIFA YA KUWA KIONGOZI
NASHAURI ABAKI KTK HARAKATI NA TAALUMA YAKE YA SHERIA.
KUMLINGANISHA RAIS SAMIA NA TL ni kumvunjia heshima Rais wetu ambaye kimsingi ana sifa zote za kuwa kiongozi na amelelea ktk mazingira ya kuwa kiongozi na mwanasiasa
Kwa usimamizi wa Mahera Samia atashinda lakini kwa Kura za wananchi hata Magufuli hakutoboa.Watashinda uchaguzi wa space chini ua usimamizi wa maria feraini
Wakati wewe mpiga zumari unamdharau Samia alimfata Ubelgiji๐Kama Tundu Lissu alimshindwa Magufuli atamuweza Samia? TL hana sifa ya kuwa kiongozi, abaki kwenye harakati. Ana mihemko sana
Labda bettingMama Samia atashinda saa mbili asubuhi.
Kwa tulioona uchaguzi wa 2020 jinsi Magufuli alivyoogopa kushindwa tunaijua Hofu ya Rais Samia pia.Let assume tukawa na tume huru, Dola akabaki kulinda uchaguzi na tume ya uchaguzi ikabaki kusimamia uchaguzi . KWENYE ulingo WA siasa akasimama Mama Samia kama mgombea Urais na Mpango Makamu huku upinzani asimame Lisu kama mgombea Urais na Salimu Mwalimu Makamu wa RAIS; huo uchguzi unatabiri utaamuliwa kwa asilimia ngapi?
Je, utabebea ladha kama ulivyo mchuano Kati ya Odinga na Rutho Kenya Leo? Tunaweza kukubali tuwe na mpambano huru kama kinachoendelea Kenya? Kwamba hakuna mwekezaji anafungsha virago Kwa sababu ya uchaguzi? Kwamba wagombea wataruhusiwa kuwa na haki sawa zakunadi sera zao?
Acha kujifanya huoni au hujui. Ccm hata udiwani wanapeleka polisi hadi jeshi. Kwenye uchaguzi huru hata Mwenyekiti wa mtaa hamshindi. Iko wazi na acha iwe hivyoMnajidanganya sana na Maspace yenu
You can't be serious, Lissu yupo overrated? Uwezo wake akiwa bungeni Una mashaka yoyote?? Kama asingekua kiongozi je wanasheria wangemchagua awe Rais wao? Ikungi wangemchagua awe mbunge wao??๐๐๐๐๐ nakubaliana na wewe kaka
Ktk siasa Tundu Lissu yuko overated sana.
Walitaka watanzania eti tumpigie kura za huruma.. hivi nchi iongozwe kwa kura za huruma like seriously?
Tundu Lissu ni mwanasheria mzuri (hili hatulikatai) lakini HANA SIFA YA KUWA KIONGOZI
NASHAURI ABAKI KTK HARAKATI NA TAALUMA YAKE YA SHERIA.
KUMLINGANISHA RAIS SAMIA NA TL ni kumvunjia heshima Rais wetu ambaye kimsingi ana sifa zote za kuwa kiongozi na amelelea ktk mazingira ya kuwa kiongozi na mwanasiasa
Kuna watu wanajifanya wajinga hadi wajinga wenyewe wanawakataaYou can't be serious, Lissu yupo overrated? Uwezo wake akiwa bungeni Una mashaka yoyote?? Kama asingekua kiongozi je wanasheria wangemchagua awe Rais wao? Ikungi wangemchagua awe mbunge wao??
Rais Samia Hana ushawishi wa kisiasa let alone kupambanishwa na mtu kama Tundu Lissu. JPM na ubabe wote ule na umaarufu wake lakini kampeni za 2020 alipelekwa toe to toe na Lissu kiasi kwamba ikabidi tu waibe uchaguzi maana hata angeshinda ingekua 60-40 ambapo ingempunguzia legitimacy.
So Lissu sio wa kumlinganisha na huyo Mama yenu, in fact eneo kama Kanda ya ziwa na nyanda za juu kusini and kaskazini unadhani Samia anaweza kumzidi kura Lissu??? Get real
Rudi space kawaambie nyumbuAcha kujifanya huoni au hujui. Ccm hata udiwani wanapeleka polisi hadi jeshi. Kwenye uchaguzi huru hata Mwenyekiti wa mtaa hamshindi. Iko wazi na acha iwe hivyo
Rudi space kawaambie nyumbuAcha kujifanya huoni au hujui. Ccm hata udiwani wanapeleka polisi hadi jeshi. Kwenye uchaguzi huru hata Mwenyekiti wa mtaa hamshindi. Iko wazi na acha iwe hivyo
Uwezo wake ktk taaluma ya sheria na harakati hakuna mashakaYou can't be serious, Lissu yupo overrated? Uwezo wake akiwa bungeni Una mashaka yoyote?? Kama asingekua kiongozi je wanasheria wangemchagua awe Rais wao? Ikungi wangemchagua awe mbunge wao??
Rais Samia Hana ushawishi wa kisiasa let alone kupambanishwa na mtu kama Tundu Lissu. JPM na ubabe wote ule na umaarufu wake lakini kampeni za 2020 alipelekwa toe to toe na Lissu kiasi kwamba ikabidi tu waibe uchaguzi maana hata angeshinda ingekua 60-40 ambapo ingempunguzia legitimacy.
So Lissu sio wa kumlinganisha na huyo Mama yenu, in fact eneo kama Kanda ya ziwa na nyanda za juu kusini and kaskazini unadhani Samia anaweza kumzidi kura Lissu??? Get real
Rais Samia hakumfata lissu ubelgijiWakati wewe mpiga zumari unamdharau Samia alimfata Ubelgiji๐