Mtizamo wako kuhusu Rais Samia ulingoni na Tundu Lissu uchaguzi 2025

Mtizamo wako kuhusu Rais Samia ulingoni na Tundu Lissu uchaguzi 2025

Rais Samia Hana ushawishi wa kisiasa let alone kupambanishwa na mtu kama Tundu Lissu. JPM na ubabe wote ule na umaarufu wake lakini kampeni za 2020 alipelekwa toe to toe na Lissu kiasi kwamba ikabidi tu waibe uchaguzi maana hata angeshinda ingekua 60-40 ambapo ingempunguzia legitimacy.
Hahahaha wasiojua wakamuulize Mkurugenzi wa tume. Ule uchaguzi Jpm asingeshinda
 
Rais Samia hakumfata lissu ubelgiji

TL aliandika barua nyingi kuomba aonane na Rais... muda haukupatikana

Mama Samia alivyokwenda kikazi ubelgiji akaona si vibaya kumsalimu kujua hali yake kwa sababu Rais Samia ni Kiongozi anayewajali watanzania wote
Huo mjadala tuuache.
 
Let assume tukawa na tume huru, Dola akabaki kulinda uchaguzi na tume ya uchaguzi ikabaki kusimamia uchaguzi. KWENYE ulingo WA siasa akasimama Mama Samia kama mgombea Urais na Mpango Makamu huku upinzani asimame Lisu kama mgombea Urais na Salimu Mwalimu Makamu wa RAIS; huo uchguzi unatabiri utaamuliwa kwa asilimia ngapi?

Je, utabebea ladha kama ulivyo mchuano Kati ya Odinga na Rutho Kenya Leo? Tunaweza kukubali tuwe na mpambano huru kama kinachoendelea Kenya? Kwamba hakuna mwekezaji anafungsha virago Kwa sababu ya uchaguzi? Kwamba wagombea wataruhusiwa kuwa na haki sawa zakunadi sera zao?
Watashindwa kwakula nyingi kama miaka yote wanavyoshindwaga,toka 1995 CCM hawajawai kushinda uchaguzi wa Rais Kwa maoni yangu
 
Acheni upopoma, Samia anajua fika kwa uchaguzi huru na haki, ata 40% hapati, Lissu bila bango, bila msanii, bila coverage kwenye media, bado alimkimbiza vibaya Sana JPM
Et ilisemekana Chopa ya lisu watabiri wa hali ya hewa walisema mawingu yameganda.
Nape kurusha chopa mawingu hayakuganda?
 
Lissu na mzee wa Chato wanafanana fanana. Taifa haliwezi kurudia makosa na katiba yetu hii tutarudi kule kule.
 
Lissu na mzee wa Chato wanafanana fanana. Taifa haliwezi kurudia makosa na katiba yetu hii tutarudi kule kule.
 
Lissu huyu huyu asiye na staha mwenye kutukana watu mitandaoni?
Tangu awaite wale akina mama 19 kuwa ni Covid-19, nikaona hapa hakuna kiongozi
 
Lisu aje ku bip halafu huyo mbio ubelgiji

Chadema kumuweka Lisu tena akili kichwani zitakuwa hazimo
 
MImi hapo nitawapiga chini wote!! Lisu keshakuwa bepari huyo atauza nchi yetu!! Vya bepari haviliwi bure!! Akiwa Rais lazima avilipe!! Na huyu mwingine hapana!! Labda akagombee Zenj!! Mimi ni Gwaji team!! (Japo siyo rahisi kumshawishi akagombea!)
 
Yaani Samia amshinde Lissu mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Mbeya,Mwanza, Kagera, Dar es Salaam, Iringa, Shinyanga,Geita, Simiu na Manyara never never
Atamshinda labda kwenye mikoa wanakula urojo. Hatokaa aamini
 
Back
Top Bottom