Kwamba Samia angesimama na Magu, Samia angeshinda? ThubutuuuuuKama Tundu Lissu alimshindwa Magufuli atamuweza Samia? TL hana sifa ya kuwa kiongozi, abaki kwenye harakati. Ana mihemko sana
Hahahaha wasiojua wakamuulize Mkurugenzi wa tume. Ule uchaguzi Jpm asingeshindaRais Samia Hana ushawishi wa kisiasa let alone kupambanishwa na mtu kama Tundu Lissu. JPM na ubabe wote ule na umaarufu wake lakini kampeni za 2020 alipelekwa toe to toe na Lissu kiasi kwamba ikabidi tu waibe uchaguzi maana hata angeshinda ingekua 60-40 ambapo ingempunguzia legitimacy.
Huo mjadala tuuache.Rais Samia hakumfata lissu ubelgiji
TL aliandika barua nyingi kuomba aonane na Rais... muda haukupatikana
Mama Samia alivyokwenda kikazi ubelgiji akaona si vibaya kumsalimu kujua hali yake kwa sababu Rais Samia ni Kiongozi anayewajali watanzania wote
Hehehe mbona unapadwa na hasira.Rudi space kawaambie nyumbu
Watashindwa kwakula nyingi kama miaka yote wanavyoshindwaga,toka 1995 CCM hawajawai kushinda uchaguzi wa Rais Kwa maoni yanguLet assume tukawa na tume huru, Dola akabaki kulinda uchaguzi na tume ya uchaguzi ikabaki kusimamia uchaguzi. KWENYE ulingo WA siasa akasimama Mama Samia kama mgombea Urais na Mpango Makamu huku upinzani asimame Lisu kama mgombea Urais na Salimu Mwalimu Makamu wa RAIS; huo uchguzi unatabiri utaamuliwa kwa asilimia ngapi?
Je, utabebea ladha kama ulivyo mchuano Kati ya Odinga na Rutho Kenya Leo? Tunaweza kukubali tuwe na mpambano huru kama kinachoendelea Kenya? Kwamba hakuna mwekezaji anafungsha virago Kwa sababu ya uchaguzi? Kwamba wagombea wataruhusiwa kuwa na haki sawa zakunadi sera zao?
Et ilisemekana Chopa ya lisu watabiri wa hali ya hewa walisema mawingu yameganda.Acheni upopoma, Samia anajua fika kwa uchaguzi huru na haki, ata 40% hapati, Lissu bila bango, bila msanii, bila coverage kwenye media, bado alimkimbiza vibaya Sana JPM
kama magu aliweza lisu anashindwa niniLissu ni bora aendelee na siasa zake za kiharakati tu, nafasi ya uraisi amuachie F.A.Mbowe. Watanzania hawapendi udikteta dikteta wanapenda mtu kama Mbowe ambaye unaweza kumshauri jambo na akashaurika.
Si kwasababu mnategemea kuiba kura na dola! Bila dola CCM huku mtaani hakuna mtu anawatakaMnajidanganya sana na Maspace yenu
Mtaa upi? Nipo hapa chumbageni kila familia ni Samia tuSi kwasababu mnategemea kuiba kura na dola! Bila dola CCM huku mtaani hakuna mtu anawataka
Sasa mikoa ya watu wajinga kama hiyo ambayo elimu yao ya juuni madrasa na baikoko unategemea niniMtaa upi? Nipo hapa chumbageni kila familia ni Samia tu
Yaani Samia amshinde Lissu mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Mbeya,Mwanza, Kagera, Dar es Salaam, Iringa, Shinyanga,Geita, Simiu na Manyara never neverSamia hana mizizi. Atapata tabu sana
Atamshinda labda kwenye mikoa wanakula urojo. Hatokaa aaminiYaani Samia amshinde Lissu mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Mbeya,Mwanza, Kagera, Dar es Salaam, Iringa, Shinyanga,Geita, Simiu na Manyara never never
yaani utuletee lishoga lissu kuwa rais? hebu kuweni serious basi hata kidogoKwa kuwa Taifa la Tajikstania kwa sasa linaongozwa na Mapaka lazima Tundu Lissu ashinde kwa kishindo 2025πππ
View attachment 2231280