Mtoto aliyefariki mwaka 2017 adaiwa kufufuka

Mtoto aliyefariki mwaka 2017 adaiwa kufufuka

Mtoto huyo alikufa 2017 na amepatikana mwaka 2021 akiwa anaranda randa mtaani.
Wameenda kwenye kaburi alipozikwa huyo mtoto, wakafukua wakakuta kuna nguo za baba yake ambaye tayari alishakufariki.
Mtoto huyo pia amekatwa ulimi
Kichwa cha habari "MTOTO MIAKA 11 AFUFUKA MKOANI GEITA"

content "mtoto huyo alionekana usiku katika kijiji cha Segese kata ya Msalala wilaya ya kahama akiwa anaranda randa katika Maduka."

Mtoto kumbe alikua misele, we unapotosha unasema kafufuka
 
Kichwa cha habari "MTOTO MIAKA 11 AFUFUKA MKOANI GEITA"

content "mtoto huyo alionekana usiku katika kijiji cha Segese kata ya Msalala wilaya ya kahama akiwa anaranda randa katika Maduka."

Mtoto kumbe alikua misele, we unapotosha unasema kafufuka
Sasa hujaelewa nini hapo
 
Huyo dogo kafufuka baada ya miaka 5 ,na Hayati anaweza kufufuka 2026 na ataongoza miaka yake 4 iliyokuwa imebakia .
 
Hajafa ukifa haurudi ukiona karudi ujue hakufa
 
Naona mkuu unakaza ubongo, umesoma habari yote kweli ukaielewa??
Kichwa cha habari "MTOTO MIAKA 11 AFUFUKA MKOANI GEITA"

content "mtoto huyo alionekana usiku katika kijiji cha Segese kata ya Msalala wilaya ya kahama akiwa anaranda randa katika Maduka."

Mtoto kumbe alikua misele, we unapotosha unasema kafufuka
 
Yalipoishia mawazo yako kutafakari vitu complex ndipo idea ya uchawi inapo anzia
Sasa wewe mbona umeshindwa kutafakari mada rahisi sana kama hii na ukaona ya kuwa anuani ya mada na kilichomo kwenye mada ni upotoshaji na ukashindwa kujua ya kuwa mpaka jambo limetangazwa ni kwamba wapo waliojitokeza ya kuwa wanamjua huyo mtoto ndiyo maana wamethibitisha ya kuwa alifariki.

Sikutukani ila una akili ndogi sana. Huwezi kung'amua haya mambo.
 
Mtoto huyo alikufa 2017 na amepatikana mwaka 2021 akiwa anaranda randa mtaani.
Wameenda kwenye kaburi alipozikwa huyo mtoto, wakafukua wakakuta kuna nguo za baba yake ambaye tayari alishakufariki.
Mtoto huyo pia amekatwa ulimi
Alikufa kwa ugonjwa gani na ulithibitisha vipi kua waliyekua wanamzika mle kaburini alikua ni huyo dogo ambaye amekufa?

Kwasababu hiyo michezo hata american got talent inafanyika so we're mature enough kujua tricks za watu katika kitafuta ugali
 
Naona mkuu unakaza ubongo, umesoma habari yote kweli ukaielewa??
Nimesoma nimeona hakuna sehemu iliyoandika watu walikua wanapita nakaburini wakashangaa kuona kaburi linafumuka na dogo akitoka

Zaidi eti baada ya kunuona mtoto kitaa wakafunga safari kwenda makaburini, wakakuta kaburi lipo sealed yani unboxed halafu wakaanza kuchimba tena

Yani ile akili hata ya kufikiri kama kaburi halijapasuka hiyo fikra ya kufikiri huyu mtoto amefufuka inatokea wapi?

Vipi kama huyo mtoto alikua akiishi kwa kificho mtaa wa mbali na hapo? Idea ya kusema kafufuka huoni kama inakuwa ni insanity?
 
Sasa wewe mbona umeshindwa kutafakari mada rahisi sana kama hii na ukaona ya kuwa anuani ya mada na kilichomo kwenye mada ni upotoshaji na ukashindwa kujua ya kuwa mpaka jambo limetangazwa ni kwamba wapo waliojitokeza ya kuwa wanamjua huyo mtoto ndiyo maana wamethibitisha ya kuwa alifariki.

Sikutukani ila una akili ndogi sana. Huwezi kung'amua haya mambo.
Kutangazwa kwa jambo hakutoi uhalali wa hiyo habari ionekane ni ya kweli

Tuna records za habari kama hizo ambazo zilikuja kuwa refuted na hao hao waliozianzisha. Vile vile vyombo vya habari zinaangalia maslahi kutafuta habari zitazofanya watu wafatilie ili wao wanufaike kwa njia ambayo wao wamejiwekea

Na hiyo inachangiwa na media za kibongo, waandishi wa habari wanekua wakitumia nguvu kubwa kupata habari ambazo wanajua watu wengi watashawishika kuwafatilia, ndio maana huwezi kuona habari kama hizo kwenye CNN, BBC, nk
 
Kwahiyo ukizikwa unaendelea kukua! Waliofariki miaka 20 iliyopita wakiwa na umri wa miaka 90 leo umri wao ni miaka 110! Happy Birthday to you all.
Hakufa wala kuzikwa.

Yalitengenezwa mazingaombwe ya kumuondosha kichawi.

Kwenye mazishi hayo, alizikwa ndani ya sanduku na baadhi ya nguo, lakini walivyofukua kaburi, hawajakuta sanduku.

Wamekuta suruali ya marehemu baba yake ambayo hakuzikwa nayo.
 
MTOTO MIAKA 11 AFUFUKA MKOANI GEITA.

Mtoto Leonard Morisha Mwenye umri wa Miaka 11 Mkazi wa kijiji na kata ya Ngemo wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita aliyefariki June 27 ,2017 katika hospitali ya Geita amefufuka baada ya kuzikwa kwa kipindi cha miaka 5 mpaka kufufuka kwake huku ikidaiwa kukatwa ulimi.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, Kamishina Henry Mwaibambe amesema mtoto huyo alionekana usiku katika kijiji cha Segese kata ya Msalala wilaya ya kahama akiwa anaranda randa katika Maduka.

Kamanda amesema mtoto huyo baada ya kuonekana katika Maduka hayo alikuwepo mlinzi katika Maduka hayo aitwae Emmanuel Busiga alimchukua na kumpeleka kwao badae alifikisha taarifa katika uongozi wa kijiji.

"Mtoto huyo ana afya njema lakini baada ya kufanyiwa uchunguzi katika kituo cha afya cha Masumbwe alibainika kukatwa ulimi kwa kiwango kikubwa mishipa ya ulimi wake na kusababisha ashindwe kuongea, " Mwaibambe.

Mwaibambe amesema baada ya kupata taarifa hizo Jeshi la polisi lilipata kibali kutoka katika Mahakama kwa ajili kufukuwa kaburi lake ambalo mtoto huyo alikuwa kazikwa na kukuta kaptura pamoja na suruali ya Baba mzazi wake aliyefariki mwaka 2019.

#KitengeUpdatesView attachment 2047442
Huko Geita naona ushirikina ni part ya maisha yao kabisa
 
Kutangazwa kwa jambo hakutoi uhalali wa hiyo habari ionekane ni ya kweli
Sasa kwanini hukujiuliza maswali ya msingi ya kwamba kwanini akusudiwe mtoto huyo huyo na si mwingine ?

Au unafikiri hao wamekurupuka kama ulivyokurupuka wewe kwenye kuhoji ?
Tuna records za habari kama hizo ambazo zilikuja kuwa refuted na hao hao waliozianzisha.
Weka mfano wa hizo records kisha nikuulize maswali.
Vile vile vyombo vya habari zinaangalia maslahi kutafuta habari zitazofanya watu wafatilie ili wao wanufaike kwa njia ambayo wao wamejiwekea
Unajua Uchawi ni nini kwa maana ? Au unakataa jambo usilo kuwa na elimu nalo ? Huu ni uhayawani.

Unaweza kuthibitisha unachokidai ?
Na hiyo inachangiwa na media za kibongo, waandishi wa habari wanekua wakitumia nguvu kubwa kupata habari ambazo wanajua watu wengi watashawishika kuwafatilia, ndio maana huwezi kuona habari kama hizo kwenye CNN, BBC, nk
Hili halibatilishi uwepo wa tukio husika. Jikite kulikosoa tukio hili na utuonyeshe kutowezekana kwake au kinyume chake.
 
Kumbuka wameenda na polisi. Ktk polisi kuna kitengo cha kupambana na Fraud (Udanganyifu). Polisi wachome mafuta kwa habari ya uongo? Hayo mambo yapo sana. Shukuru tumezaliwa town hayo mambo hayapo kiasi kikubwa
Alikufa kwa ugonjwa gani na ulithibitisha vipi kua waliyekua wanamzika mle kaburini alikua ni huyo dogo ambaye amekufa?

Kwasababu hiyo michezo hata american got talent inafanyika so we're mature enough kujua tricks za watu katika kitafuta ugali
 
Back
Top Bottom