scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
imagine,nimeumia sana yaani mimi na afya yangu kukaa masaa saba kwenye garj niko hoi sembuse mginjwa tena masaa ya kutoshaHao madaktari akili za ovyo, mtoto mahututi anasafirije na gari toka Kigoma kwenda Dar? Mtu mzima anafika hoi sasa mahututi lazima afike marehemu.