Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute kuna Mbunge huko , wala hakutoa neno kusaidia huyo mtoto aweze kusafiri kwa Ndege.
Kulingana na hali yake ilivyokuwa kutumia usafiri wa gari haikuwa busara.
Poleni sana wafiwa , wauaji wasakwe ili wafikishwe mbele ya sheria.
Kwa hiyo serikali isingeweza kutoa complimentary hizo seats 4 au 5 kutoka Kigoma kuja DAR?Unajua gharama ya seats tatu kujumlisha accompanying medical personnel ni walau kiasi gani minimum?
Angalieni mambo kwa uhalisia wake, tusikalie tu kupiga soga hapa tuonekane tumeumia au kuchukizwa sana.
Unalinganisha uhai wa mtu na gharama uko sawa kweli, angekuwa mwanao ungeandika hivi!!? Hebu tuambie ni tirioni ngapi hizo gharamaUnajua gharama ya seats tatu kujumlisha accompanying medical personnel ni walau kiasi gani minimum?
Angalieni mambo kwa uhalisia wake, tusikalie tu kupiga soga hapa tuonekane tumeumia au kuchukizwa sana.
una akili ndogo kuliko ya kuku kuchakurachakura.Wakati kuna mbunge mmoja tuu aliwai patachangamoto kama sikosei alipata ajari. Ilitoka helikopter ya kumfata kumleta dar. Hii nchi ina mambo ya hovyo sana
So what is yo point here?Hao ni viongozi waandamizi na ipo kisheria. Professor Jay ni kwasababu ya umaarufu wake and he caught government's attention.
😔😔😔😔Nilivyosikia na kufahamu huyo mtoto alikua na jeraha kubwa sana kichwani, panga likingia sana kwenye kichwa, ilihitajika zaidi either Muhimbili na hasa MOI. Kosa kubwa walofanya viongozi wa Mkoa wangemsafirisha kwa helicopter.
Kuna fursa ya upigaji nchi hii kwenye kila tatizo.. Per diem hapo na marupurupu mengine ndio ilikuwa kipaumbeleKigoma ipo karibu na Mwanza, Bugando kuliko DSM
Wakapita Benjamin Mkapa hospitali. Hospitali ambayo wanatibiwa viongozi wengi.
Wakaipita Dodoma General hospital.
Wakamsafirisha mgonjwa mahututi kwenye mabonde na vumbi kali kwa muda mrefu..[emoji26][emoji26]
Umuhimu uko wapi?
View attachment 2282241
Kwani kazi ya Dakitari hapo nikumsafirisha mgonjwa au nikuwapa utaratibu na maelekezo ya wapi mgonjwa anatakiwa apelekwe?Hao madaktari akili za ovyo, mtoto mahututi anasafirije na gari toka Kigoma kwenda Dar? Mtu mzima anafika hoi sasa mahututi lazima afike marehemu.
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]Tena aliyeumia mgongo na fuvu very sad
USSR