mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaongea kama upo Baa unakunywa wanzuki!Ndege zetu zinazoenda Kigoma (Bombardier) hazina stretcher, haziwezi kubeba mgonjwa asiyeweza kukaa na au anayehitaji uangalizi maalumu, labda wangekodi ndege binafsi which is way ezpensive
Mkuu nimewaza exactly kama wewe. Watakuwa wamemuua wao,MTU yuko ICU unamsafirisha kwa gari na Barbara zetu hizi. Viongozi wetu hawa akili hazimo kabisa. Kutwa kucha wako kwenye kampeni za pedi kwa mtoto wa kike huku suala kama hili LA kuokoa maisha wanafanya masihara.Mtu yuko Kigoma anasafirishwa kwa gari kuja Dar? Kwani gharama za mafuta ya gari kwenda na kurudi na wahudumu wote si zingefidiwa na tiketi ya ndege
Labda hajatangaza kuomba msaada kwa wasamaria wemaWako radhi wazuie hedhi kwa wasichana sio kuzuia kifo. Hahaha.....shamba LA wanyama.
Wangechukua siti tatu za pamoja na mtoto alazwe hapo.Ndege zetu zinazoenda Kigoma (Bombardier) hazina stretcher, haziwezi kubeba mgonjwa asiyeweza kukaa na au anayehitaji uangalizi maalumu, labda wangekodi ndege binafsi which is way more expensive.
unaongea kama upo Baa unakunywa wanzuki!Ndege zetu zinazoenda Kigoma (Bombardier) hazina stretcher, haziwezi kubeba mgonjwa asiyeweza kukaa na au anayehitaji uangalizi maalumu, labda wangekodi ndege binafsi which is way ezpensive
PoshoMtu yuko Kigoma anasafirishwa kwa gari kuja Dar? Kwani gharama za mafuta ya gari kwenda na kurudi na wahudumu wote si zingefidiwa na tiketi ya ndege
Expensive kuliko maisha ya mtoto.mdogo kama huyo ambaye future iko gizaniNdege zetu zinazoenda Kigoma (Bombardier) hazina stretcher, haziwezi kubeba mgonjwa asiyeweza kukaa na au anayehitaji uangalizi maalumu, labda wangekodi ndege binafsi which is way more expensive.
Na bikra 72??Namtamania sana uyo mtoto, ni direct peponi [emoji846]
Allaah atujaalie mwisho mwema.
Kwanini wasinge mpeleka Benjamin mkapa Dodoma then specialist kutoka Muhimbili wangemkuta hapo maana kama vifaa vipoMtoto James Januari (4) aliyejeruhiwa katika tukio la mauaji ya watu sita wa familia moja yaliyotokea kwenye Kijiji cha Kiganza, Halmashauri ya Wilaya Kigoma amefariki usiku wa kuamkia leo Julai 5, 2022.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa Kigoma Maweni, Dkt. Stanley Binagi amethibitisha kifo cha mtoto huyo kilichotokea kwenye Hospitali ya Mkoa Morogoro akiwa njiani kupelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu zaidi.
Dkt. Binagi alisema awali Marehemu James alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa Kigoma Maweni chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) kwa ajili ya uangalizi zaidi baada ya kujeruhiwa vibaya kwenye tukio hilo.
Mganga huyo Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa alisema kuwa marehemu alikuwa ameathirika mgongoni na kwenye fuvu la kichwa na kufanya sehemu ya mwili wake kutokuwa na mawasiliano.
Akizungumzia tukio hilo Mkuu wa Wilaya Kigoma, Ester Mahawe alisema kuwa walifanikiwa kumpa rufaa mtoto huyo kwenda Muhimbili na aliondoka Kigoma, Jumatatu jioni kwa gari akiwa na ndugu na wahudumu wa afya lakini alipofika Morogoro hali yake ilibadilika na kupelekwa Hospitali ya Mkoa Morogoro kwa msaada ambapo alifariki baadaye.
Kufuatia kifo hicho Mkuu huyo wa Wilaya alisema amewasiliana na viongozi wa kata na Kijiji cha Kiganza kutoa taarifa kwa familia ya mtoto huyo na kuandaa taratibu za mazishi ambapo mazishi yanaweza kufanyika kesho baada ya mwili kutarajiwa kufika leo jioni.
Kifo cha mtoto Januari kinafanya idadi ya watu waliokufa kwenye tukio hilo kufikia saba ambapo mtoto mwenye umri wa miezi mitatu alinusurika akiwa hajadhurika na kwa sasa amehifadhiwa kwa ajili ya matunzo na usalama wake.
Jeshi la Polisi chini ya usimamizi wa Kamishna wa operesheni na mafunzo, Liberatus Sabas limeanza uchunguzi wa tukio hilo huku Kamishna huyo wa polisi akiahidi kuwatia mbaroni wahusika katika kipindi kifupi kijacho.
Chanzo: Malunde
Pia soma - Kigoma: Watu 6 wa familia moja wauawa kikatili usiku wa kuamkia Julai 3
Hii sekta ya afya inahitaji maboresho makubwa na uwekezaji mkubwa ili huduma muhimu zipatikane huku huku mikoani kuliko kutegemea sehemu moja pekee.Mtu yuko Kigoma anasafirishwa kwa gari kuja Dar? Kwani gharama za mafuta ya gari kwenda na kurudi na wahudumu wote si zingefidiwa na tiketi ya ndege
Tunaongea facts, unaleta hisia. Pole.naongra
unaongea kama upo Baa unakunywa wanzuki!
kwa hiyo kubebwa na gari inayoruka ruka spidi 160 siku 2 njiani ni sawa ee! si ndio maana wamemuua pumbafu na wewe