mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Angekuwa msanii hapoAir Ambulance service mbona ziko nyingi tu!kilicho hitajika hapa ni utashi na nani wa kubeba gharama mbona huko huko Kigoma mtalii mzungu akipata changamoto serious ya afya anaitiwa hizo? Unamtoa mgonjwa tena mtoto kutoka ICU na kumsafirisha kwa Ambulance ya kawaida 2dys trip to Dar jamani unategemea nini?
Au mtu fulani ungeona
Watu wanavyojitpkeza
Kuchangia kisifa
Ova