DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
KaribuNimEkuelewa sana doctor nashukuru haswa... Nitakachofanya Ninakwenda kumuonesha mtu wa famasi hiki kipande👇
"So MucoAsthalini plus Predi plus lora plus Amo DT
Lakini Kumbuka Muhimu kwanza ucheck FBP ili kujua shida imeanzia wapi na Tatizo ni nini.."
Muco-AsthalinNimEkuelewa sana doctor nashukuru haswa... Nitakachofanya Ninakwenda kumuonesha mtu wa famasi hiki kipande👇
"So MucoAsthalini plus Predi plus lora plus Amo DT
Lakini Kumbuka Muhimu kwanza ucheck FBP ili kujua shida imeanzia wapi na Tatizo ni nini.."
Sasa hapo kuna masharti ya vyakula mpaka uwaza mtoto huyu atakula nn kwa mfano wangu wangu hatumii samaki,Yeah ni kweli 100% nakubaliana na wewe as per my post # 16
Tatizo wengi wakiwapeleka watoto hosipitali wanahudumiwa na madakitari wa watu wazima badala ya madakitari wa watoto, hili nalo ni tatizo, jaribu kusisitiza uonane na dakitari wa watoto.Naombeni ushauri na msaada kuna mtoto anakohoa sana nimetumia dawa zote hospitalini lakini bado. Wakati wa usiku ndo vinazidi mpaka anashindwa kulala halafu kinakuwa kikohozi kinamletea kama kukabwa hivi mpaka kutapika (kwa kujigoa)
Hivi hospitali kwanini ni wagumu kumchunguza mgonjwa yaani kila nikienda nawaambia kabisa kwamba huyu dawa ametumia sana lakini bado kwahiyo angalieni namna nyingine ya kumtibu lakini wapi!
Swali la nyongeza hivi hii habari ya ki
Naombeni ushauri na msaada kuna mtoto anakohoa sana nimetumia dawa zote hospitalini lakini bado. Wakati wa usiku ndo vinazidi mpaka anashindwa kulala halafu kinakuwa kikohozi kinamletea kama kukabwa hivi mpaka kutapika (kwa kujigoa)
Hivi hospitali kwanini ni wagumu kumchunguza mgonjwa yaani kila nikienda nawaambia kabisa kwamba huyu dawa ametumia sana lakini bado kwahiyo angalieni namna nyingine ya kumtibu lakini wapi!
Swali la nyongeza hivi hii habari ya kinyama kwenye koo maarufu kama (kimea/kimeo) ipoje wataalamu wa tiba maana wengi wananishauri niende akakatwe hicho kitu lakini moyo wangu unakataa kabisa
nyama kwenye koo maarufu kama (kimea/kimeo) ipoje wataalamu wa tiba maana wengi wananishauri niende akakatwe hicho kitu lakini moyo wangu unakataa kabisa
Kuhusu Masharti ya chakula Ni bora kwanza apime ili kupata majibu kila mtu anakuwa exposed na allergens tofautiHapo
Sasa hapo kuna masharti ya vyakula mpaka uwaza mtoto huyu atakula nn kwa mfano wangu wangu hatumii samaki,
Mayai,
dagaa,
karanga,
korosho,
maziwa ya ng'ombe..
Maharage ya soya
Pia mama take asitumie hivyo vyakula kama mtoto ananyonya
Pafume na mafuta yenye harufu msitumie mkiwa na mtoto.
Shukrani kwa majibu mazuri!
Sasa kwa hali hiyo ya Mtoto..
Ningekuomba kwenda kupima FBP...
Huenda mtoto anatatizo la Pumu au Allergy..
Ni vizuri kwanza ukagundua mtoto anakohoa sana Wakati gani au ukimpa nini..
Pili Muco-Asthalin (salbutamol na Bromhexine) inasaidia sana kwa Mtoto mwenye shida kama yako..
Plus Loratadine plus Corticosteroid yoyote (Mfano Predinisolone ni nzuri sana)
Na antibiotics Ya chini kabisa tumia Amoxiciline DT ..
So MucoAsthalini plus Predi plus lora plus Amo DT
Lakini Kumbuka Muhimu kwanza ucheck FBP ili kujua shida imeanzia wapi na Tatizo ni nini..
umeelewa??
Mkuu, hapo kwenye loratidine/des, vipi unaweza mpa hata cetrizine?Muco-Asthalin
Prednisolone
Loratadine
Amox DT
Vyote apewe.kulingana na uzito wake
Yeah unaweza Mpa, zote ni histamine Receptor blocker "Antihistamine" ila cetrizine ni short acting na Loratadine ni Long actingMkuu, hapo kwenye loratidine/des, vipi unaweza mpa hata cetrizine?
Hapa nimekupata mkuu 🤝🤝Yeah unaweza Mpa zote ni histamine Receptor blocker "Antihistamine" ila cetrizine ni short acting na Loratadine ni Long acting
Mcheki minyoo kwnza.Naombeni ushauri na msaada kuna mtoto anakohoa sana nimetumia dawa zote hospitalini lakini bado. Wakati wa usiku ndo vinazidi mpaka anashindwa kulala halafu kinakuwa kikohozi kinamletea kama kukabwa hivi mpaka kutapika (kwa kujigoa)
Hivi hospitali kwanini ni wagumu kumchunguza mgonjwa yaani kila nikienda nawaambia kabisa kwamba huyu dawa ametumia sana lakini bado kwahiyo angalieni namna nyingine ya kumtibu lakini wapi!
Swali la nyongeza hivi hii habari ya kinyama kwenye koo maarufu kama (kimea/kimeo) ipoje wataalamu wa tiba maana wengi wananishauri niende akakatwe hicho kitu lakini moyo wangu unakataa kabisa
Huu ushauri ufate,mara nyingi tonsil husababisha kikohoz km unachokiongelea especially usikuKama upo dar hebu jaribu ekenywa hospital waangalie tatizo ni hospital ya private
Daaah mkuu kwahiyo unakubali kabisa siku inaanza saa6 usiku?Kwani hako kanyama kameota?
Chunguza atakuwa anaanza kukohoa saa sita usiku mpaka saa nane usiku. Hii ni kwa sababu kunakuwa na mabadiliko ya hali ya hewa kutoka siku moja kwenda siku nyingine.
Kama kanyama hakajaota na kwenye familia hakuna athma, basi mtoto wako atakuwa ana aleji na mchanganyiko ufuatao unaweza kumsaidia.
1. Asali mbichi
2. Tangawizi
3. Vitunguu swaumu
4. Limao
5. Mayai ya kienyeji.
Pia, mchanganyiko huu uwe katika kimiminika ambapo utaweka maji kiasi kupunguza ukali wa limao na vitunguu swaumu.
Mchanganyiko huu hauna shida na atakuwa anakunywa tu kama chakula akijisikia.
NB. Hapo vya kusagwa visagwe.
Sijajua ni kwa nini inakuwa hivyo. Ila kwa nilichojifunza kutoka kwa mtoto wangu, binafsi naweza kuamini kwa mkoa niliopo siku mpya hubadilika na hali yake ya hewa hubadilika kuanzia saa sita mpaka saba usiku.Daaah mkuu kwahiyo unakubali kabisa siku inaanza saa6 usiku?
Hapana kacheck nimoniaNaombeni ushauri na msaada kuna mtoto anakohoa sana nimetumia dawa zote hospitalini lakini bado. Wakati wa usiku ndo vinazidi mpaka anashindwa kulala halafu kinakuwa kikohozi kinamletea kama kukabwa hivi mpaka kutapika (kwa kujigoa)
Hivi hospitali kwanini ni wagumu kumchunguza mgonjwa yaani kila nikienda nawaambia kabisa kwamba huyu dawa ametumia sana lakini bado kwahiyo angalieni namna nyingine ya kumtibu lakini wapi!
Swali la nyongeza hivi hii habari ya kinyama kwenye koo maarufu kama (kimea/kimeo) ipoje wataalamu wa tiba maana wengi wananishauri niende akakatwe hicho kitu lakini moyo wangu unakataa kabisa
Siijui kaka. Otherwise nitakupm namba ya dogo umchekiDawa hiyo unaweza kuitaja?