Mtoto anakohoa sana na wakati wa usiku hadi anatapika

Mtoto anakohoa sana na wakati wa usiku hadi anatapika

Asilimia kubwa hilo tatizo husababishwa na minyoo. Mtoto akilala usiku minyoo inapanda na kuirritate njia ya hewa. Ndiyo maana anakohoa hasa usiku akiwa amelala. Mchana akiwa wima kunakuwa hamna tatizo. Sababu nyingine inaweza kuwa allergy hasa mashuka au mablanketi anayolalia.
 
Naombeni ushauri na msaada kuna mtoto anakohoa sana nimetumia dawa zote hospitalini lakini bado. Wakati wa usiku ndo vinazidi mpaka anashindwa kulala halafu kinakuwa kikohozi kinamletea kama kukabwa hivi mpaka kutapika (kwa kujigoa)

Hivi hospitali kwanini ni wagumu kumchunguza mgonjwa yaani kila nikienda nawaambia kabisa kwamba huyu dawa ametumia sana lakini bado kwahiyo angalieni namna nyingine ya kumtibu lakini wapi!

Swali la nyongeza hivi hii habari ya kinyama kwenye koo maarufu kama (kimea/kimeo) ipoje wataalamu wa tiba maana wengi wananishauri niende akakatwe hicho kitu lakini moyo wangu unakataa kabisa
Mkuu huyo atakuwa na kimeo hebu mpeleke akakatwe. Kuna mtoto wa jirani yangu alimaliza madawa yote hadi alipokatwa ndipo akapona. Muwahishe mtoto akakatwe asiteseke.
 
Naombeni ushauri na msaada kuna mtoto anakohoa sana nimetumia dawa zote hospitalini lakini bado. Wakati wa usiku ndo vinazidi mpaka anashindwa kulala halafu kinakuwa kikohozi kinamletea kama kukabwa hivi mpaka kutapika (kwa kujigoa)

Hivi hospitali kwanini ni wagumu kumchunguza mgonjwa yaani kila nikienda nawaambia kabisa kwamba huyu dawa ametumia sana lakini bado kwahiyo angalieni namna nyingine ya kumtibu lakini wapi!

Swali la nyongeza hivi hii habari ya kinyama kwenye koo maarufu kama (kimea/kimeo) ipoje wataalamu wa tiba maana wengi wananishauri niende akakatwe hicho kitu lakini moyo wangu unakataa kabisa
Mkuu tunaomba mrejesho, Je ushauri upi ulioufanyia kazi na ukakupa matokeo chanya? Au tatz limefikia wapi?
 
Naombeni ushauri na msaada kuna mtoto anakohoa sana nimetumia dawa zote hospitalini lakini bado. Wakati wa usiku ndo vinazidi mpaka anashindwa kulala halafu kinakuwa kikohozi kinamletea kama kukabwa hivi mpaka kutapika (kwa kujigoa)

Hivi hospitali kwanini ni wagumu kumchunguza mgonjwa yaani kila nikienda nawaambia kabisa kwamba huyu dawa ametumia sana lakini bado kwahiyo angalieni namna nyingine ya kumtibu lakini wapi!

Swali la nyongeza hivi hii habari ya kinyama kwenye koo maarufu kama (kimea/kimeo) ipoje wataalamu wa tiba maana wengi wananishauri niende akakatwe hicho kitu lakini moyo wangu unakataa kabisa
Minyoo hiyo.
 
Naulizia maana kuna shida flani nimeanza kuiona kwa mwanangu wa pili.
 
Mkuu mrejesho wa mtoto vp ushauri gani ulisaidia toka hapa kwa jukwaa?
 
Wakat mwingine matatizo ya kukohoa Huwa ni kawaida sio kwa mtoto mpaka mtu mzima na kibaya ni kwamba hakuna dawa unayoweza kutumia mpaka pale Kikohozi kitakapoondoka chenyewe. Ila ili ujue kwamba hichi ni kikohozi Cha kawaida ama ugonjwa basi ni LAZIMA uonane na Daktari amchunguze mgonjwa.
 
Mtoto ana miezi 6 toka amezaliwa alizaliwa vizur tu ila alivofikisha miezi mitatu akaanza kukoroma awe ana mafua au hana mafua yeye anakoroma tuu ila haimzuii kunyonya wala kupumua, ametumia dawa lkn bado naombeni ushauri
 
Back
Top Bottom