Mtoto atolewa Shanga kwenye Mapafu bila upasuaji Muhimbili Hospitali

Sisiemu wanahusikaje hapo? Mbona huku hamna umeme tokea asubuhi?
 
Hilo lipo sawa, lakini katika hili la shanga kwenye pafu, angalia sehemu au mahali ilipokuwa imekwama hiyo shanga na ujitafakarishe ingelitoka kivipi?
Zahanati wangeitoa na siyo hii nguvu kubwa inatumika kutangaza kutoa punje ya shanga moja, wametibu watu wa ngapi hapo hawatangazi yaani shanga ndiyo ugonjwa mkubwa sn wamefanikiwa mwaka huu?
 
Kumekucha
 
namba yako imetoka mkuu kuna nafasi za udc znatoka mwezi huu mwshonii
 
Yeah! Watu hawaoni jema lililofanyika bali wanatanguliza kubeza, dharau na kejeli. Upo msemo kwa Wakristo unaosema “Nabii hakosi heshima isipokuwa katika nchi yake, kwa jamaa zake na nyumbani mwake.” .....Marko 6:4-13.
 
Mama ndiye amefanya uwekezaji mkubwa katika Secta ya Afya kwa kuwekeza mabilioni ya fedha .mfano ndani ya muda mfupi ametiririsha zaidi ya Trilioni sita katika Secta ya Afya pekee.
So hao wamama wajawazito wanaofia mahospitalini baada ya kukosa fedha za kulipia huduma tunadanganywa wakati mama analipia mabilioni ya fedha?
 
Zahanati wangeitoa na siyo hii nguvu kubwa inatumika kutangaza kutoa punje ya shanga moja, wametibu watu wa ngapi hapo hawatangazi yaani shanga ndiyo ugonjwa mkubwa sn wamefanikiwa mwaka huu?
Mkuu; Hapo ujue wazazi walishahangaika sana( huku na kule )kutetea mustakabali wa afya ya mtoto wao huyo mpaka wakafika hapo Hospitali (hiyo ujue ni referral case). Itaweza kuwa ni funzo kwa wengine watakaokutwa na madhila hayo ili wasikimbilie kule kwingine wakidhani ni nguvu za giza/Ushirikina.
 
Kwamba management yote pamoja na madaktari(Super Specialist wote) wamekaa wakaona huu ndiyo ugonjwa mkubwa kuliko yote? wangapi wamepona pale kwa magonjwa makubwa? mi nachoshangaa ni nguvu ya kutangaza kutoa shanga kama vile ni kitu cha ajabu sn.
 
Ni mwenyezi Mungu tu atusaidie ila michezo ya watoto ni ni ya hatari sana, aheri ile michezo ya zamani miaka ile ambayo vifaa vya michezo ni vya kiasili na rafiki kwa tofauti na sasa.
Wapongezwe na kutiwa moyo hao madaktari na wasaidizi wao na kote kunako tolewa huduma za matibabu na afya kwa ujumla wake, inaweza kuwa ni wajibu wao kama waajiriwa wa taasisi za afya lakini ukweli mwenyezi Mungu atawapa siha njema wao na vizazi vyao.
 
Umefafanua vizuri sana.
 
Kwamba management yote pamoja na madaktari(Super Specialist wote) wamekaa wakaona huu ndiyo ugonjwa mkubwa kuliko yote? wangapi wamepona pale kwa magonjwa makubwa? mi nachoshangaa ni nguvu ya kutangaza kutoa shanga kama vile ni kitu cha ajabu sn.
Kweli sio kitu kikubwa au cha ajabu sana ukilinganisha na magonjwa au matatizo mengine ya kiafya ambayo hao madaktari wabobezi wameyashughulikia na kuyadhibiti kwa mafanikio. Ninachohisi hapa ni kwamba huyo mtoto angeweza kupoteza maisha kwa tatizo hilo ambalo katika baadhi ya Familia hujitokeza mara nyingi ukizingatia hizi imani zetu za jadi.
Hiyo inaweza kuitwa ni sehemu ya Hamasa kwa Jamii.
Hapa, muda na nafasi haziruhusu mkuu; ningekupa uzoefu wangu kwa matukio kama hayo huku Umasaini ndani-ndani huku.
 
Unakera na gazeti zako uchwaraa, porojoo unapiga weyeee
Teuzi anakulaa Nchimbi, poleee wee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwamba malaria yenyewe mtoto hawezi kupoteza maisha? taja kijijini cha umasaini ambacho hawapeleki watoto hosp? bahati nzuri Arusha, Manyara na Kilimanjaro nazifahamu vizuri sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…