Mtoto atolewa Shanga kwenye Mapafu bila upasuaji Muhimbili Hospitali

Usitumie uzi wa watu kujipendekeza kwa watawala...Wewe andika zile nyuzi zako za kusifia..
 
Mama ndiye amefanya uwekezaji mkubwa katika Secta ya Afya kwa kuwekeza mabilioni ya fedha .mfano ndani ya muda mfupi ametiririsha zaidi ya Trilioni sita katika Secta ya Afya pekee.
Mama yako yako yuko bush huko anaishi kama msukule umebaki kusifia mama wa watu.
Angalia utaolewa na wenye mama zao.
Si unapenda kuunganishwa kwenye familia za watu??.?
 
Inabidi uwekwe kwenye Guinness world records kama Chawa bora duniani....[emoji23][emoji23]

The Greatest Chawa of All time
Lucas mwashambwa from Tanzania.
 
Aliye kuroga alikufa kama angekuwa hai angekuonea huruma
 
serikali ya chama cha mapinduzi imeboresha sana sekta ya afya kwa kuongeza watalamu na vifaa vya kisasa wallah
 
Kwamba malaria yenyewe mtoto hawezi kupoteza maisha? taja kijijini cha umasaini ambacho hawapeleki watoto hosp? bahati nzuri Arusha, Manyara na Kilimanjaro nazifahamu vizuri sn
Uko vizuri mkuu, lakini ujue huku kwetu mtoto hata mtu mzima/adult hupelekwa hospitali baada ya dawa zetu za jadi kushindwa. Tunachinja kondoo na kumnywesha mgonjwa supu yenye mchanganyiko wa madawa ya kienyeji e.g. Oloisuki, Lodwaa, Ormokutan' na sokonoi. Sasa ujue itachukua muda hadi mzazi akubali kwamba imeshindikana ndipo aende hospitali. Kwa mfano kijijini kwetu hapa Olkitikiti au Olengapapa au Engong'oengare hadi ufike hospitali yenye uwezo kama huo ipo Wilayani sio chini ya km.71. Je, unadhani ni jambo rahisi kumpeleka mgonjwa hospitali kama ilivyo hapo kwenu Dsm?
BTW: Manyara umeishi au kutembelea Wilaya ipi mkuu? Unakaribishwa sana kijijini Lesoit kitongoji cha Orbigit jirani na shule ya Sekondari ( ya Bweni)Lesoit.
 
Karibu na Magadini Msitu wa tembo? Mkoa mzima wa Manyara nimefika vijiji vyote
 
Karibu na Magadini Msitu wa tembo? Mkoa mzima wa Manyara nimefika vijiji vyote
Hapana. Sidhani kama ni kweli umewahi kufika vijiji vyote Mkoani Manyara. Eneo ulilotaja lipo Wilaya ya Simanjiro. Hapa ninaposemea ni Wilaya ya Kiteto Ambapo makao makuu ya Wilaya (Bomani) panaitwa Kibaya. Vijiji nilivyotaja hapo vipo Kata ya Lengatei, Tarafa ya Sunya na ni zaidi ya Km 71 kutoka Kibaya mjini.
 
Hata Simajanjiro karibu na nyumba ya Mungu kuna kitongoji kinaitwa hivyo, Kibaya napajua vizuri sn, Kuanzia Makame Ndedo, Kibaya, Matui, Engusero, Sunya kuna kituo cha Afya unapitia ile njia inaenda Kilindi mkuu mpaka Dosidosi
 
Hata Simajanjiro karibu na nyumba ya Mungu kuna kitongoji kinaitwa hivyo, Kibaya napajua vizuri sn, Kuanzia Makame Ndedo, Kibaya, Matui, Engusero, Sunya kuna kituo cha Afya unapitia ile njia inaenda Kilindi mkuu mpaka Dosidosi
Very good. Sasa utoke Olkitikiti hadi Kijungu ni km 22 kwa kutumia Bodaboda then Kijungu - Kibaya kwa gari(basi) ni exactly 71 Km utaona jumla ni Km 93.
 
Mwashambwa simpatii picha anavyotumbuaga macho Kila akisikia mkeka mpya akifika mwisho anaanza upya mwishowe anajipiga ngumi kifuani kwamba IPO siku
 
Imethibitishwa kiasi cha Tsh.7000 kimewekwa katika akaunti namba 07******27
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…