Mtoto kugomea shule akiwa kidato cha Nne

Mtoto kugomea shule akiwa kidato cha Nne

Rafiki wa karibu anamshangaa pia kwa utandawazi huu kukataa shule!,Labda afya ya akili tukampim Mirembe.
Akili anazo huyo. Mwambie kama amepata mchumba basi uko tayari kumjua na kama anataka ndoa basi utaonyesha ushirikiano kwenye ndoa yao lakin inabidi amlete mkweo ili umpe hela ya mtaji kama hajaajiriwa.
Fanya hivyo jitu litatoka mafichoni japo mmeshakimbilia polisi
 
Ahsante,ya dunia yanasikitisha!

Akili anazo huyo. Mwambie kama amepata mchumba basi uko tayari kumjua na kama anataka ndoa basi utaonyesha ushirikiano kwenye ndoa yao lakin inabidi amlete mkweo ili umpe hela ya mtaji kama hajaajiriwa.
Fanya hivyo jitu litatoka mafichoni japo mmeshakimbilia polisi
Sawa mkuu,tutazingatia ushauri wako!
 
Huyo yupo kama wangu tena alimjibu police sio lazima kila mtu asome niacheni sitaki shule aisee nilikuwa na hasira ambayo siwezi elezea siku ile.
Tena kwa watoto wa kike ni hasara zaidi akishakataa kusoma.Huwa hawasikii kabisa,sijui huwa wanashikwa na shetani gani
 
Back
Top Bottom