mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Lazima atakuwa anataka kuwa kama zuchuAulizwe anataka kufanya nini kama hataki shule.
Akitoa majib mjadala ndio uanzie hapo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima atakuwa anataka kuwa kama zuchuAulizwe anataka kufanya nini kama hataki shule.
Akitoa majib mjadala ndio uanzie hapo
Hasira mkuu ila sitakuja mpiga tena maana alizima kwa masaa sitamgusa nisije enda jela.Uwe na tahadhari unapopiga
Mpaka anazima aisee embu mshauri tu. usije enda nyea debe au akajinyonga.Hasira mkuu ila sitakuja mpiga tena maana alizima kwa masaa sitamgusa nisije enda jela.
Nime mshauri tabia aliyo nayo si sahihi uwamuzi ni wakeMpaka anazima aisee embu mshauri tu. usije enda nyea debe au akajinyonga.
Hasira mkuu ila sitakuja mpiga tena maana alizima kwa masaa sitamgusa nisije enda jela.
Akiwa hana mimba mtafanya nini ikiwa hataki kurudi shule..?Ndo tupo polisi na uchunguzi hospital kama hana mimba!
Na sisi tunamshukuru Mungu wewe kufanikiwa, kwa wenzio inaweza isitokee hivyo.Hata mie nilikataaga shule form 5 Ila baadae sana nikasoma, niliulizwa unataka shule au ndoa, nikawajibu ndoa, wakanisusa Ila baadae wakanikubali tu baada ya kusomeshwa na aliyenizuzua[emoji38][emoji38]
Namshukuru Mungu nimefanikiwa kimaisha