ushawahi kusikia mtoto wa mo au bahalesa kaacha kwenda shule akaenda kushinda geto kwamsela😅😅😅Sawa mpeleke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushawahi kusikia mtoto wa mo au bahalesa kaacha kwenda shule akaenda kushinda geto kwamsela😅😅😅Sawa mpeleke
Anaomba mvua wakati wa masika huyu!Wewe tulia hujui uchungu wa ada wala nauli jumlisha mahitaji yake mengine.
Wewe unadhani kwa maisha ya sasa hataki shule kajiingiza kwenye mahusiano ni sahihi kwako.
Zamani hakukua na vishawishi kama miaka.hiiwee enzizako ulichomoka vipi kawanaume nauzuri wako huu?
Hapana sijawahi sikiaushawahi kusikia mtoto wa mo au bahalesa kaacha kwenda shule akaenda kushinda geto kwamsela😅😅😅
sawa mrembo.Zamani hakukua na vishawishi kama miaka.hii
Karogwa huyo!!Nipo hapa Dodoma eneo la Kisasa karibu na block F, Block F ni eneo ambalo wanakaa watu wengi wa kipato cha chini. Kuna binti alibahatika kufaulu hadi kufika kidato cha nne2023! Sasa cha ajabu alitoroka na kurudi, lakini hataki tena kuendelea na shule hadi wazazi wake wamempeleka polisi na polisi kuamuru akapimwe General hospital kama alivyotoroka hajarudi na mimba!
Ila cha ajabu Dr wa kuthibitisha hayupo toka jana! Je huyu mtoto haoni maisha ya chini ya wazazi wake? Kichwani amejiandaa kufanya kazi gani na wapi? Hizi ni changamoto za kujitakia.
Nasikitika sana
Na law of friction , quadratic equation afeli ? Upoteze adaUna watoto? Kama wapo omba yasikukute. Sisi wazazi tunakasirika sana mtoto akikataa shule kwakua maisha bila elimu mambo mengi yatakupita na kwenye makuzi yapo mambo mengi ya kurekebisha mtoto mimi sio mfuasi wa kupiga ila ikatokea binti yangu kagoma kwenda shule atanisamehe tu lazima nimchape kutoa ujinga kichwani.
Na mashaka na elimu yakoNo sitampiga namtafuti shule ya kiislamu ya kukaa huko kurudi ni likizo
Hakuna ada inayopotea elimu ni haki ya msingi kwa mtoto umaskini wetu ndio unafanya tuhesabu hela ya ada of which ni hela ambayo usingetakiwa hata kuiwazia kama unavyonunua dawa kichwa kikiuma ukajitibia huwezi anza fikiria 600 ya kidonge ulichonunuaKwa hio akasome Archimedes principl
Na law of friction , quadratic equation afeli ? Upoteze ada
Nime mueleza hivi vitu unavyo fanya kwa sasa vipo na utaviacha ila kwa kipindi hiki si wakati sahihi kwako.Huyo ndo basi ten..10 yrs to come atajua makosa
Sasa ale bure bila kaz ya kumuingizia kipato?
Majibu kama haya ni rahisi kuyatoa kwa jirani ila subiri yakukute ndio utajua ugumu wakeLakini ni kweli sio lazima kila mtu asome
Huyo mtoto anahoja asikilizwe
Wewe ngoja nikupotezee sikuelewi hata unacho andika na kuteteaNa mashaka na elimu yako
Waliokueletea hio simu unatumia wao hawakuwa chapwa / lasimishwa shule
Mtoto yupi wa kiume unayemfahamu wewe ambaye kaacha ushoga?Mtoto wa kiume akipotea katika ramani Unaweza kumrudisha kwa urahisi
Atatamani kuhama mtaa!Majibu kama haya ni rahisi kuyatoa kwa jirani ila subiri yakukute ndio utajua ugumu wake
Bora huyo kidato cha nne juzi nimetoka kumpiga mtoto wa dada yangu nusu niuwe yupo kidato cha kwanza hataki shule ila sijamshindwa bado [emoji51]
Hakuna cha afya ni akili timamu sema jeuri.