Mtoto kugomea shule akiwa kidato cha Nne

Mtoto kugomea shule akiwa kidato cha Nne

Kama hat shule sio mbaya kwa hatua aliyofkia hapo ubaya n kama hatak shule na hajui anatak nn

Aushariane na wazaz wake ili wampeleke kwenye fani au BIASHARA
 
Ni changamoto sana nina mdogo wangu wa kiume alikataa shule akiwa form one kawekwa polisi lakini msimamo wake ni ule ule hataki shule ilibidi aachalie tu kutoka polisi mwisho wa siku akaja kuwa anakata mkaa na kuwa konda wa magari yanayofanya safari vijijini
 
Huenda anatarajia kujiunga na Vicoba ni ajira mpya inayopewa promo na CCM sambamba na ile ajira mpya ya afisa ubashiri na afisa usafirishaji(bodaboda)
 
Shule Ni Nini africans Ni wapumbavu Sana ,, yan mtoto hataku shule unampiga Sasa unataka akachezee ada yako si Bora huyo kakuambia
Una watoto? Kama wapo omba yasikukute. Sisi wazazi tunakasirika sana mtoto akikataa shule kwakua maisha bila elimu mambo mengi yatakupita na kwenye makuzi yapo mambo mengi ya kurekebisha mtoto mimi sio mfuasi wa kupiga ila ikatokea binti yangu kagoma kwenda shule atanisamehe tu lazima nimchape kutoa ujinga kichwani.
 
Una watoto? Kama wapo omba yasikukute. Sisi wazazi tunakasirika sana mtoto akikataa shule kwakua maisha bila elimu mambo mengi yatakupita na kwenye makuzi yapo mambo mengi ya kurekebisha mtoto mimi sio mfuasi wa kupiga ila ikatokea binti yangu kagoma kwenda shule atanisamehe tu lazima nimchape kutoa ujinga kichwani.
Mimi nilimpiga kwa hasira baada ya kunijibu jeuri huyu hajui uchungu wa mtoto ambaye unajua anaenda kupoteza Dira ya maisha yake
 
Nipo hapa Dodoma eneo la Kisasa karibu na block F, Block F ni eneo ambalo wanakaa watu wengi wa kipato cha chini. Kuna binti alibahatika kufaulu hadi kufika kidato cha nne2023! Sasa cha ajabu alitoroka na kurudi, lakini hataki tena kuendelea na shule hadi wazazi wake wamempeleka polisi na polisi kuamuru akapimwe General hospital kama alivyotoroka hajarudi na mimba!

Ila cha ajabu Dr wa kuthibitisha hayupo toka jana! Je huyu mtoto haoni maisha ya chini ya wazazi wake? Kichwani amejiandaa kufanya kazi gani na wapi? Hizi ni changamoto za kujitakia.

Nasikitika sana
Asaidiwe huenda kweli ni mimba au matatizo mengine ya kisaikolojia na kiroho.
 
No sitampiga namtafuti shule ya kiislamu ya kukaa huko kurudi ni likizo
Hapo ndio umemaliza kabisa iwe ya kiisklamu yabkikristo au za masista aloo huko ndio uzezeta utampata kabisa bora ukae nae bampa to bampa ale mboko na ushauri na usimfiche mwambie elimu inaweza isimpe ajira ila ikamsaidia kutopoteza fursa muhimu
 
ukiona mtoto wakike anakataa shule gafla jua kasha pata bwana tena wamtaani wale wenye vigeto vyao ndani Kuna TV jiko la gesi namazaga ya kupika

so anaona vile anavyoshinda mulendani siku mojamoja anatamani ahamie kabisa pale
ndiohapo sasa unaona mwanao ana kataa shule gafla ili umwambie acha

naukimwambia acha baada ya wiki anakimbia kabisa nyumbani anaenda geto kupigwa ukuni vizuri

wengi mnazani watotowenu wakike wanaenda shule Kumbe maranyingi hawafiki wanishia geto kwa masela

wanapigwa ukuni huko kila uchafu wangono wanafanyishwa maamae nikiwa namtoto wakike nampeleka boding zawanawake tuu Mana ninayo yaona wanayo fanyiwa watoto wawatu hahahahaha nishida
 
Kuna saa nawaunga mkono wale wazazi waliokua wanagoma kusomesha watoto wa kike. Kuna mengine hayana akili,yakishaonja mwanaume tu yanaona yamemaliza kila kitu na kuanza kusumbua wazazi wao. Yakipata mimba na kutelekezwa utayaona yanavyorudi home kwa kulia na kuomba misamaha.
 
Mimi nilimpiga kwa hasira baada ya kunijibu jeuri huyu hajui uchungu wa mtoto ambaye unajua anaenda kupoteza Dira ya maisha yake
Ah tena unapiga haswa mtu anawezasema unamuonea ila ukiwaza hapo mbeleni nn kitamkuta aloo ndo unahisi joto la mwili kupanda. Watoto wa kike wanaumiza sana nimeshukuru sana serikali iliposema no bweni kwa watoto maana nilishaanza kupata mawazo mwakani std 4 ilikua lazima aende bweni ambapo ndio umri wa kushauri kuchapa na kuweka akili sawa nilikua najisemea moyoni akishaanza bweni ndio mpka std 7 alafu o level napo bweni saa ngapi mtoto atapata malezi maelekezo kulingana na vipindi vya makuzi now nina ahuweni japo kakileta ujinga hakana upande kanapona wala kutetewa
 
Mkuu usitumie nguvu.
Akili haiendeshwi kwa kuumiza mwili.

Kaa naye chini mpe ukweli na uhalisia wa maisha. (Prons and Cons).

Maliza hapo kwa imani yako uliyonayo muombee au akaombewe (maombi au dua).

Ukitoka hapo kaa naye tena chini mueleze uhalisia wa maisha. Mwambie sasa kila kitu unakipata bure kuna muda utapata kwa jasho, wakati ni huu amua ipasavyo sasa usije kujuta huko mbeleni majuto usiyoweza kuyarekebisha.

Usimpige tena haitasaidia. Jipe naye muda, mchunguze uwezo wake pia hapo hapo mpe ushirikiano.

Jaribu haya mkuu huenda lipo utakalopata.
 
Kuna saa nawaunga mkono wale wazazi waliokua wanagoma kusomesha watoto wa kike. Kuna mengine hayana akili,yakishaonja mwanaume tu yanaona yamemaliza kila kitu na kuanza kusumbua wazazi wao. Yakipata mimba na kutelekezwa utayaona yanavyorudi home kwa kulia na kuomba misamaha.
Ni vyema ukamlea n akumuonyesha madhara ya kila kibaya na kutoacha kuelekeza mpka akue ajitambue
 
Back
Top Bottom