Mtoto kugomea shule akiwa kidato cha Nne

Mtoto kugomea shule akiwa kidato cha Nne

Mtoto wa kike ni Hasara Sana , akianza kulala na wanaume Basi anaanza kuona anajua kila kitu majuto ni mjukuu
Wakati mwingine inategemea na malezi. Hata wa kiume wapo wnaozingua hawataki shule. Nina jirani yangu mwanaye wa kiume hataki shule yupo for form 2. Anaulizwa anataka nini anasema anataka kuwa dancer. 😂😂😂😂
 
Wakati mwingine inategemea na malezi. Hata wa kiume wapo wnaozingua hawataki shule. Nina jirani yangu mwanaye wa kiume hataki shule yupo for form 2. Anaulizwa anataka nini anasema anataka kuwa dancer. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu Kama anataka kuolewa muozeshe tu akachezee shahawa ,maana ndo kilochabaki.
 
Muulize vizuri kwanin anakataa je atapenda kwenda shule nyingine?huwezi jua labda hapendi ongea nae taratibu tu muulize anapenda nin?kisha mshaurii vizuri kuhusu elimu
Nilikaa nae na kuongea nae je anahitaji nini alichonijibu nilichoka mwili na akili yeye anahitaji kwenda kuishi kwa huyo Mwanaume wake anaye mdanganya.
 
Nilikaa nae na kuongea nae je anahitaji nini alichonijibu nilichoka mwili na akili yeye anahitaji kwenda kuishi kwa huyo Mwanaume wake anaye mdanganya.
Mwambie hiv huyo mwanaume aje ajitambulishe nyumbam atoe mahali
Umsikie jifanye kumpeleleza ukimjua huyo kaka uongee nae amshawish akubali kurudi shule sasa ukute jamaa nae wanalingana wote form one 🙆🏼‍♂️🙆🏼‍♂️
 
Mwambie hiv huyo mwanaume aje ajitambulishe nyumbam atoe mahali
Umsikie jifanye kumpeleleza ukimjua huyo kaka uongee nae amshawish akubali kurudi shule sasa ukute jamaa nae wanalingana wote form one 🙆🏼‍♂️🙆🏼‍♂️
Jamaa hana kitu na natamani nimjue huyo kupe.Chanzo cha kujua kwamba mwanangu kaharibika ni baada ya dada wa kazi kunambia huyu samira akirudi shule huwa anachukua chakula anapeleka huko kwa huyo kidume.
 
Jamaa hana kitu na natamani nimjue huyo kupe.Chanzo cha kujua kwamba mwanangu kaharibika ni baada ya dada wa kazi kunambia huyu samira akirudi shule huwa anachukua chakula anapeleka huko kwa huyo kidume.

Ahaaaa kwanib usipepeleze kumjua jamaa?dada wa kazi hapajui? Ukaongee na kijana maana saa nyingine njia za mabavu hazisaidiii
Na mimba anazuia na nin au hukuliongelea hilo na yeye?
 
Nipo hapa Dodoma eneo la Kisasa karibu na block F, Block F ni eneo ambalo wanakaa watu wengi wa kipato cha chini. Kuna binti alibahatika kufaulu hadi kufika kidato cha nne2023!

Sasa cha ajabu alitoroka na kurudi, lakini hataki tena kuendelea na shule hadi wazazi wake wamempeleka polisi na polisi kuamuru akapimwe General hospital kama alivyotoroka hajarudi na mimba!

Ila cha ajabu Dr wa kuthibitisha hayupo toka jana! Je, huyu mtoto haoni maisha ya chini ya wazazi wake? Kichwani amejiandaa kufanya kazi gani na wapi? Hizi ni changamoto za kujitakia.

Nasikitika sana
Wamwambie na home asikae akatafute sehemu inayomfaa
 
Bora huyo kidato cha nne juzi nimetoka kumpiga mtoto wa dada yangu nusu niuwe yupo kidato cha kwanza hataki shule ila sijamshindwa bado 😬
Hao ndo wanarogaga wenzao baadae na kusema wanaringa sana!

Msije kukaa kimya wazazi na walezi wakianza lawama na uchawi wao.

Mwacheni aendeshe bodaboda na ale bangi kitaa. Shughuli ataiona mbeleni
 
Wa
Yaani huyo wangu kaaza kuonja utam wa Kivulana jamanii nilipiga lisaa ataje huyo bwana wake hakutaja 😬
Watoto wa sasa ni mtihani, kuna mmoja wa ndugu yani kwao wana uwezo kabisa kalazimishwa shule kakataa mara ya mwisho kapelekwa tena shule kwa nguvu akatoroka akaenda kua house girl babati mama yake ana drive arusha to babati kwenda kumchukua mwanae ambae amekua housegirl wa kulipwa 50000 huku kwao anapewa pocket money laki mbili every month, kwa sasa yupo kwao tu amekaa, na shida ndio hivo viboy friend
 
Ahaaaa kwanib usipepeleze kumjua jamaa?dada wa kazi hapajui? Ukaongee na kijana maana saa nyingine njia za mabavu hazisaidiii
Na mimba anazuia na nin au hukuliongelea hilo na yeye?
Siku ambayo tulitaka tumkamate na huyo mtu aligundua binti alikimbia nilitamani nimjue.
Mimba sijazungumza nae toka juzi hayupo nyumbani anaogopa kurudi
 
Asante sana mtoto nimemlea akiwa mdogo ila kabadilika sijui niongee kitu gani anielewe yaani😕
Mkuu, ulisahau kuwa na balance kwa ajili ya mtoto wa kike. KWA KAWAIDA unatakiwa ujue rafiki zake, ikiwezekana wote. Uwe karibu nao. Hao ndiyo watakusaidia kukupa siri za mtoto wa kike. Ila inatakiwa uwaweke karibu au wazazi wao wa kike. Utapata kila kitu. Baada ya kujua ukweli, unatakiwa ufanye umafia ili aachane na huyo kijana aliyembikiri.

Umafia wenyewe ni kumsakizia kuwa anamdinya mwenzake, na uongo kibao. Hapo utakomboka. Ndivyo tunavyowalea wasichana. Infact kulea msichana akivunja ungo ni rahisi, what we normally do ni baba kuwa karibu na binti yake. Asipokuwa karibu na mwanaume yeyote, lazima atafute mvulana ambaye baadaye ndiye atamharibu.
 
Kwetu Kuna mpuuzi alitokea na akili kama hiyo eti hataki shule Tena ni form 5 hapo katoka mkoa karudi kukaa home sababu yake yeye alikuwa anataka kusoma majuu, alikodiwa polisi wakumfanyiaunder escort hadi kwa mkuu wa shule alipigwa mbata na kukabidhiwa.
Sijui watoto wa kizaz hiki wanashida gan
 
Mkuu, ulisahau kuwa na balance kwa ajili ya mtoto wa kike. KWA KAWAIDA unatakiwa ujue rafiki zake, ikiwezekana wote. Uwe karibu nao. Hao ndiyo watakusaidia kukupa siri za mtoto wa kike. Ila inatakiwa uwaweke karibu au wazazi wao wa kike. Utapata kila kitu. Baada ya kujua ukweli, unatakiwa ufanye umafia ili aachane na huyo kijana aliyembikiri.

Umafia wenyewe ni kumsakizia kuwa anamdinya mwenzake, na uongo kibao. Hapo utakomboka. Ndivyo tunavyowalea wasichana. Infact kulea msichana akivunja ungo ni rahisi, what we normally do ni baba kuwa karibu na binti yake. Asipokuwa karibu na mwanaume yeyote, lazima atafute mvulana ambaye baadaye ndiye atamharibu.
Tatizo binti hataki kutaja huyo anaye mdanganya na rafiki zake ambao ni wawili kila ninaye muuliza wanasema hawajui.
 
Tatizo binti hataki kutaja huyo anaye mdanganya na rafiki zake ambao ni wawili kila ninaye muuliza wanasema hawajui.
Hujafanya ushirikishwaji. Tafuta marafiki wa hao marafiki zake uwe nao pamoja hata kama ni kuwapeleka wakale ice cream ndipo uwaulize kistaarabu. Ukiingia kichwa kichwa hutafanikiwa
 
Nipo hapa Dodoma eneo la Kisasa karibu na block F, Block F ni eneo ambalo wanakaa watu wengi wa kipato cha chini. Kuna binti alibahatika kufaulu hadi kufika kidato cha nne2023!

Sasa cha ajabu alitoroka na kurudi, lakini hataki tena kuendelea na shule hadi wazazi wake wamempeleka polisi na polisi kuamuru akapimwe General hospital kama alivyotoroka hajarudi na mimba!

Ila cha ajabu Dr wa kuthibitisha hayupo toka jana! Je, huyu mtoto haoni maisha ya chini ya wazazi wake? Kichwani amejiandaa kufanya kazi gani na wapi? Hizi ni changamoto za kujitakia.

Nasikitika sana
Ana umri gani? Tuanzie hapo
 
Nina ndugu yangu mmoja alipofika kidato cha pili tu akagoma kuendelea na shule, kuulizwa akasema anataka kuolewa.
Alifanikiwa kupata hitaji la moyo wake lakini ndoa haikudumu, sasa hivi karudi nyumbani na watoto wawili anahangaika nao peke yake
 
Hata mie nilikataaga shule form 5 Ila baadae sana nikasoma, niliulizwa unataka shule au ndoa, nikawajibu ndoa, wakanisusa Ila baadae wakanikubali tu baada ya kusomeshwa na aliyenizuzua[emoji38][emoji38]
Namshukuru Mungu nimefanikiwa kimaisha
 
Back
Top Bottom