Mtoto niliyemkataa miaka 4 iliyopita, anafanana na mimi. Sasa ameletwa karibu na ninapoishi

Mtoto niliyemkataa miaka 4 iliyopita, anafanana na mimi. Sasa ameletwa karibu na ninapoishi

Chai ya baridi
Siyo chai hayo mambo yapo sana,hata mimi ni muhanga wa jambo kama hilo, sema mwenzangu yeye alipata mwanaume akaolewa, lakini Mama mtu bado alituunganisha mi na mwanangu kimyakimya!!
 
Hamna nikimpanga na Hawa wa kwenye ndooa anakua wa 3 maana kwenye ndoa ninao wa 3 jumla na huyu wa 4
Jifunze mwanaume unapotoka nje ya ndoa yako hakikisha mwanamke unaetoka nae yupo nawe kimaslahi tu maana huo ndo uhalisia, binti anapotoka na mume wa mtu means yuko kimaslahi na si mapenzi kama ilivyo tu kwa huyo mwanaume anachepuka kitimiza haja zake tu na si vinginevyo. Ukiona mchepuko ameanza kukupenda kweli kimbia haraka hapo atakuletea matatizo maana wanawake akipenda yuko tayari kurisk chochote.
 
Wanajamvi aisee nilimkataa mtoto miaka kama minne imepita.

Sasa ubaya leo kaja na mama yake sehemu ambayo karibu na kwangu, mtoto anafanana na mimi mpaka nimeona aibu nikaangalia pembeni.

Sasa ubaya mama yake sijui kafanya makusudi kahamia huu mtaa aisee yaani dogo bora asingefanana na mimi, ni noma.

Inapoelekea ndoa yangu itaharibika maana dogo anachezacheza na wenzake karibu na kwangu ubaya akija kuanza mazoea na wanangu naona kama nitaumbuka.

Nishaurini nifanyaje wadau.
Kaombe radhi na msamaha ili umchukue mwanao au utimize wajibu wako kwake kama baba.
 
Hivi unakataaje mtoto wako hata kama umezaa na mtu ambaye humpendi?
Nadhani kwenye dunia hihii kuna kina sisi alafu kuna wengine ni makatili sana!
Kwa upande wangu nitateseka sana ikiwa mtoto wangu hajivunii uwepo wangu
 
Wanajamvi aisee nilimkataa mtoto miaka kama minne imepita.

Sasa ubaya leo kaja na mama yake sehemu ambayo karibu na kwangu, mtoto anafanana na mimi mpaka nimeona aibu nikaangalia pembeni.

Sasa ubaya mama yake sijui kafanya makusudi kahamia huu mtaa aisee yaani dogo bora asingefanana na mimi, ni noma.

Inapoelekea ndoa yangu itaharibika maana dogo anachezacheza na wenzake karibu na kwangu ubaya akija kuanza mazoea na wanangu naona kama nitaumbuka.

Nishaurini nifanyaje wadau.
Daa! Hii ni noma sana. Pole ndugu.
 
Hak
Ohoo! Unashangaa amerudi tena! Kwani amekusemesha? Yeye si anaishi kwake na habari zake! Ila huyo mwanamke ni kiboko amejua kukutesa kisaikolojia!

Hapo lazima tu wewe ndio utakuwa wa kwanza kujiweka karibu naye ili kuua soo. Yeye wala hana hata habar na wewe mana silaha yake kubwa ni huyo mtoto kucheza na watoto wako!

Tena katika ulimwengu wa kiroho watoto wako na huyo dogo ipo nguvu inawaunganisha na ipo siku wataenda naye nyumbani kwako kutazama TV.
Hakika.
 
Wanajamvi aisee nilimkataa mtoto miaka kama minne imepita.

Sasa ubaya leo kaja na mama yake sehemu ambayo karibu na kwangu, mtoto anafanana na mimi mpaka nimeona aibu nikaangalia pembeni.

Sasa ubaya mama yake sijui kafanya makusudi kahamia huu mtaa aisee yaani dogo bora asingefanana na mimi, ni noma.

Inapoelekea ndoa yangu itaharibika maana dogo anachezacheza na wenzake karibu na kwangu ubaya akija kuanza mazoea na wanangu naona kama nitaumbuka.

Nishaurini nifanyaje wadau.
Huu ushamna was kukataa watoto ili kulinda ndoa nilishaukataa long sana!

ANza kutoa matumizi kwa mtoto!halafu lolote na liwe!!MMEKUTANA UKUBWANI KWANINI KUJIDANGANYA LAZIMA MZEEKE PAMOJA!!?
 
Back
Top Bottom