Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Huu uzi niliuona jana nikaupuuza. Mleta uzi britanicca juzi kati alileta tetesi ya kutumbuliwa kwa february na nape ikawa kwali. Sasa ukimya wa kondakta ukamfanya britanicca aibuke na tetesi.
Any way mimi naichukulia hii tetesi kama ile ya makamu wa rais dr Mpango. Alizushiwa sana. Mpaka na mishumaa ikawashwa. Mwishowe dr akarudi akiwa ns afya tele.
Afya haikuwa tele ....ndo alikuwa ana recover changamoto ya upumuaji...... clinically! Looked weak, cough every few seconds ....so kulikua na chembe za ukweli kiasi
 
Kuna kesi moja Mbunge alipakia nyara za Serikali kwenye gari yake. (Meno)
Kwenye gari alikuwa yeye (mbunge)
Dereva wake na aliyemwuzia meno ambaye anaenda naye mjini kumlipa pesa yake.
Mwendesha mashtaka aliulizwa na wakili.

Hivi wewe ukiwa kama dereva wa Bosi wako.
Unaweza kumkatalia kupakia mizigo yake kwenye gari yake ?

Mwendesha mashtaka akaulizwa tena.
Hivi ukiomba lifti kwenye gari ya mbunge wako.
Akikukubalia utaanza kukagua alichokipakia ?
Dereva na muuza (meno) wakawa hawana hatia na kuachiwa huru.

Mbunge Akala miaka Saba gerezani akakata rufaa Akala miaka 12. Katoka kakuta mkewe keshaolewa na mtu mwingine.

Je wewe unaweza kumkatalia Bosi wako anapo kutuma?
Namaanisha Mkuu wa nchi

Yan Bashite ana drama kama za Bi.Mkubwa Kizimkazi

Kutibu ni swala Moja ipa Imani Kwa wanaotoa tiba ni swala jingine.

Nalvany alipoenda kutibiwa Germany ni kwamba Russia hakuna madaktari au vifaa tiba?

Ni hakika mama ameboresha sekta ya Afya kuliko yeyote kablsa

kila kitu ni so strange, hata tundu lisu kapotea sijamsikia muda mrefu siyo kawaida ya wafuasi wake kutokuposti chochote kumhusu, anyway tunaishi in dangerous times …
Katika watu wanaoumizwa na kutosikika Tundu Lisu mm ni mmoja wao. Ingawa naamini huenda anaandaa nondo nyingine. Maana CCM wanatakiwa uwaandalie nondo za kutosha wao wameishiwa tayari. Wanamtegemea Msigwa Kwa Sasa ndo Naibu Katibu Mwenezi. Kwa dharura
 
Huu uzi niliuona jana nikaupuuza. Mleta uzi britanicca juzi kati alileta tetesi ya kutumbuliwa kwa february na nape ikawa kwali. Sasa ukimya wa kondakta ukamfanya britanicca aibuke na tetesi.
Any way mimi naichukulia hii tetesi kama ile ya makamu wa rais dr Mpango. Alizushiwa sana. Mpaka na mishumaa ikawashwa. Mwishowe dr akarudi akiwa ns afya tele.
Lakini alionekana kukuona cha moto huko alipokuwepo.
 
Sio MBOGA .... huyu influence na interests zake kwenye hii nchi ni finyu.... Huu uzushi unatungwa na Nyumbu kumchafua Mboga wakidhadi mwizi wa magari atapata ubunge tena A town .......wapo watu kondakta kawataja kwa codes hadharani( mawaziri tena kakazangu) "elewa maneno MAWAZIRI KAKA ZAKE kondakta".
 
IMG-20240725-WA0176.jpg
 
Back
Top Bottom