Tajiri wa matajiri
Senior Member
- Apr 17, 2024
- 166
- 649
Wahiyo wewe unahisi namsema Nani? Mbona unajishitukia mbwa wewe?Hakuna codes hapa. Ni ujinga tu kama ujinga mwingine. Ukifinywa kidogo uthibitishe utaanza kulia lia tu
Afya haikuwa tele ....ndo alikuwa ana recover changamoto ya upumuaji...... clinically! Looked weak, cough every few seconds ....so kulikua na chembe za ukweli kiasiHuu uzi niliuona jana nikaupuuza. Mleta uzi britanicca juzi kati alileta tetesi ya kutumbuliwa kwa february na nape ikawa kwali. Sasa ukimya wa kondakta ukamfanya britanicca aibuke na tetesi.
Any way mimi naichukulia hii tetesi kama ile ya makamu wa rais dr Mpango. Alizushiwa sana. Mpaka na mishumaa ikawashwa. Mwishowe dr akarudi akiwa ns afya tele.
Kuna kesi moja Mbunge alipakia nyara za Serikali kwenye gari yake. (Meno)
Kwenye gari alikuwa yeye (mbunge)
Dereva wake na aliyemwuzia meno ambaye anaenda naye mjini kumlipa pesa yake.
Mwendesha mashtaka aliulizwa na wakili.
Hivi wewe ukiwa kama dereva wa Bosi wako.
Unaweza kumkatalia kupakia mizigo yake kwenye gari yake ?
Mwendesha mashtaka akaulizwa tena.
Hivi ukiomba lifti kwenye gari ya mbunge wako.
Akikukubalia utaanza kukagua alichokipakia ?
Dereva na muuza (meno) wakawa hawana hatia na kuachiwa huru.
Mbunge Akala miaka Saba gerezani akakata rufaa Akala miaka 12. Katoka kakuta mkewe keshaolewa na mtu mwingine.
Je wewe unaweza kumkatalia Bosi wako anapo kutuma?
Namaanisha Mkuu wa nchi
Yan Bashite ana drama kama za Bi.Mkubwa Kizimkazi
Kutibu ni swala Moja ipa Imani Kwa wanaotoa tiba ni swala jingine.
Nalvany alipoenda kutibiwa Germany ni kwamba Russia hakuna madaktari au vifaa tiba?
Ni hakika mama ameboresha sekta ya Afya kuliko yeyote kablsa
Katika watu wanaoumizwa na kutosikika Tundu Lisu mm ni mmoja wao. Ingawa naamini huenda anaandaa nondo nyingine. Maana CCM wanatakiwa uwaandalie nondo za kutosha wao wameishiwa tayari. Wanamtegemea Msigwa Kwa Sasa ndo Naibu Katibu Mwenezi. Kwa dharurakila kitu ni so strange, hata tundu lisu kapotea sijamsikia muda mrefu siyo kawaida ya wafuasi wake kutokuposti chochote kumhusu, anyway tunaishi in dangerous times …
Lakini alionekana kukuona cha moto huko alipokuwepo.Huu uzi niliuona jana nikaupuuza. Mleta uzi britanicca juzi kati alileta tetesi ya kutumbuliwa kwa february na nape ikawa kwali. Sasa ukimya wa kondakta ukamfanya britanicca aibuke na tetesi.
Any way mimi naichukulia hii tetesi kama ile ya makamu wa rais dr Mpango. Alizushiwa sana. Mpaka na mishumaa ikawashwa. Mwishowe dr akarudi akiwa ns afya tele.
What is the pasword?They not like us
i see dead peopleWhat is the pasword?
HEY! Yo're Late 🎵i see dead people
DAUDI ALBERT BASHITEDAB maana yake nini na kwanini wanamuita hivyo ?!
Said Daud Albert Bashite ,DAB maana yake nini na kwanini wanamuita hivyo ?!
Anasema makonda mkuu wa mkoa wa Arusha yupo kwenye matibabu nchini afrika kusini inadaiwa ni amepewa chakula chenye simu kali sana hivyo madaktari wanapigania uhai wake.Fungua code hii!! Hata tuliosoma Cuba tumeshindwa
Mkuu wa mkoa wa Arusha mheshimiwa Paul makonda amelazwa hospitalini nchini afrika ya kusini kwa ajili ya matibabu ikidaiwa aidha amepewa simu kali sana katika chakula chake.Aliyeelewa anijuze na mimi
DAB si alikuja na Mpango wa kubeba wagonjwa na Chopa kuwahisha Hospital Arusha.Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Na anatema he ?Mtu yoyote anayefurahia kifo/kufa kwa mwingine sijui namuonaje.