kuna issue masisiemu wanataka kuwaondoa watu kwenye reli, ajabu ni kwamba wanatumia garama kubwa sana ya kodi za wananchi, mtu hadi south ametumia sh ngapi na za nani na kwasaabu gani hasa, si watatute fupa hata la machangudoa tu huko watu waendelee kulitafuta hilo fupa wakati mambo yao yanaendelea? au hawana mrusi mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…