Hii sasa ndio Point kubwa iliyo sababisha hii drama ya sumu itengenezwe !!Ile tume ilitoa tuhuma dhidi yake,na kutoa taarifa kwenye vyombo vya habari.
Tume katika maelezo yake ilisema,aliitwa na hakwenda mbele ya tume.
Labda,lengo ni kupunguza makali ya "taarifa ya tume" au "kutafuta huruma" kutoka kwa Mkuu!!!
Unalifahamu balaa la Britanicca?Nawaza tu! Makonda kalazwe kwa sumu kali hospital hizi za kibongo then anasafirishwe kwenda South Africa bila habari reliable yenye ushahidi hata wa picha?
Kwa maana Makonda sio Rais kwamba anaulizi unaowafanya watu wasichukue picha au kutoa taarifa sahihi juu yake!
Yeye kaenda kutulia kwanza baada ya hekaheka miezi mitatu ya mwanzo!
Mungu amlinde Mheshimiwa Makonda!
Balaa la kusema ukweli au kubahatisha ??!Unalifahamu balaa la Britanicca?
Ataonekana siku ya kazi jumatatu.Mbona jana hakuonekana?
Kwa ufahamu wako akitokea mtu akakwambia Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa atatenguliwa na mtu fulani atateuliwa kushika nafasi hiyo na baada ya siku mbili ikawa hivyo,Je mtu huyo kabahatisha?.Balaa la kusema ukweli au kubahatisha ??!
Konekshen ya kushuka chini mkuu kuongea na wadau...huku juu naona miyeyusho tu.Wana was ulimwengu wana hekima kuliko Wana was nuruni!!
Wenzenu wanapiga kunuti Hadi kinaeleweka wakati wengine wakidanganywa na na maji ya baraka ya kunyunyiziwa!!?
Wenzenu wanaenda Hadi chini kuzungumza na mwenye ulimwengu na kuomba cheo !!!!
Wavaa kanzu ni hatari sana kuliko wavaa suti!
Ila makonda ulikojiingiza watoto wa mjini watakumaliza ndugu yangu.
Hii nchi haihitaji watu kama nyie.Ebu fikiria mkeo Maria na watoto wako uliowapata kwa tab
Ulifikiri nimekufa au?? Nipo na dunda mkuu namalizia weekend salama salimini hapa white sand.Dah huyu mwamba LB7 UCD kumbe bado yupo?
Dogo hahaha. Nakumbukaga matusi yako assholle dhidi yetu bavichaUlifikiri nimekufa au?? Nipo na dunda mkuu namalizia weekend salama salimini hapa white sand.
Ni shithole siyo asshole. Nilifundishwa na Trump nilipokuwa US.Dogo hahaha. Nakumbukaga matusi yako assholle dhidi yetu bavicha
Mbwa anakula mbwa ile michezo haina mshindiWakiwamaliza wapinzani ,watamalizana wenyewe Kwa wenyewee....
Kazi iiendeleee....
Duh hii nayo codeUnaambiwa wako na konyagi mkononi huku wakisikilizia kama msechu kakatiza mitaa yenye studio.