Hakika👊Mkuu, kati ya kusema fulani ni mgonjwa kapelekwa South kutibiwa na kusema Mkurugenzi wa TISS punde atapumzishwa na Fulani atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa TISS na ikawa hivyo unadhani ni kipi kati ya hivyo kinahitaji muhusika awe na taarifa za ndani mno?.
Britanicca hapa jukwaani ni taasisi inayojitegemea.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔Six alifaidi kweli lile sambwanda
Inawezekana majibu ya walalamikaji yanaanza kusomwaMtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Itakuwa TISS wameamka kweli wameona nchi isiende kiupuuzi. Si unajua juzi walipitishiwa Sheria kuruhusiwa rasmi kumimya.Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Anamaanisha makondakita wa daladala ndo mtoto pendwa!Fungua code hii!! Hata tuliosoma Cuba tumeshindwa
Ukitangulia wewe hiyo sherehe utaifanyia kaburini?Unauliza ndevu kwa Osama? Mtoto pendwa alimtupa kwenye bwawa la mamba.
Ni habari njema sana kama anaumwa. Akifa nitafanya sherehe kubwa, kama niliyoifanya alipokufa jini mkuu.
Kivipi kwani wana arachuga wamemkaribisha moshi wa chaarusha?Pongezi zangu ziende kwa Wana Chuga.
Sissa mchezo mchafu, jamaa anaweza kututoka kimasihara hivihivi,britanicca ame comfirm kabla hata ya huyu Op wa nyuzi hii, stay tuned.
Amina!Sissa mchezo mchafu, jamaa anaweza kututoka kimasihara hivihivi,
Wenzie wataanza kulia machozi ya mamba msibani,
Kama ni kweli apate uponyaji,
Hawana Mrusi ila wana Myukrainekuna issue masisiemu wanataka kuwaondoa watu kwenye reli, ajabu ni kwamba wanatumia garama kubwa sana ya kodi za wananchi, mtu hadi south ametumia sh ngapi na za nani na kwasaabu gani hasa, si watatute fupa hata la machangudoa tu huko watu waendelee kulitafuta hilo fupa wakati mambo yao yanaendelea? au hawana mrusi mzuri.
Atakua kaenda kuwasupport yanga
Aje njiro kwanza, sakina waamuone kwa ridhaa yetu,tumemlea hapa ujue!Hizo ni story za uongo makonda yupo salama na amenituma niwasalimie anadai anawapenda sana au mulitaka mumuone njiro au sakina?
Ni Mungu pekeyake ndie mlinzi muaminifu fikiria magufuli alipokawa na hali mbaya aliomba arejeshwe kwao chato chakushangaza walewale aliokiwaamrisha walimkataliaHakuna kiumbe anaweza kukulinda hata mlinzi wako usimuamini
Kama ni kweli lakini