Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Mkuu, kati ya kusema fulani ni mgonjwa kapelekwa South kutibiwa na kusema Mkurugenzi wa TISS punde atapumzishwa na Fulani atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa TISS na ikawa hivyo unadhani ni kipi kati ya hivyo kinahitaji muhusika awe na taarifa za ndani mno?.

Britanicca hapa jukwaani ni taasisi inayojitegemea.
Hakika👊
 
Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?

Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.

Britanicca.
Itakuwa TISS wameamka kweli wameona nchi isiende kiupuuzi. Si unajua juzi walipitishiwa Sheria kuruhusiwa rasmi kumimya.
 
kuna issue masisiemu wanataka kuwaondoa watu kwenye reli, ajabu ni kwamba wanatumia garama kubwa sana ya kodi za wananchi, mtu hadi south ametumia sh ngapi na za nani na kwasaabu gani hasa, si watatute fupa hata la machangudoa tu huko watu waendelee kulitafuta hilo fupa wakati mambo yao yanaendelea? au hawana mrusi mzuri.
Hawana Mrusi ila wana Myukraine
 
Back
Top Bottom