Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Kama bado anaimba basi anapata hela ya kunywa bia na kulipa kodi plus kununua raba na jeans za kichina.
Nachofahamu yule demu wake ndio ana biashara biashara Ila dogo hana biashara zaidi ya kuburudisha watu kwa kuimba na wanaosema ana biashara zake hebu wazitaje maana asingeweza kuacha kupromote hizo biashara zake
Nachofahamu yule demu wake ndio ana biashara biashara Ila dogo hana biashara zaidi ya kuburudisha watu kwa kuimba na wanaosema ana biashara zake hebu wazitaje maana asingeweza kuacha kupromote hizo biashara zake