Mtoto wa Diamond (Tiffah), apata dili jipya la kusoma bure

Sio lazma uwe na billion 15 kwenye akaunti ndo uweze somesha mtoto, billion 15 kwenye akaunti sio makalio..kana kwamba kila mtu anayo, ukiwa na bank statement yenye minimum debit amount ya 300,000,000tsh kila mwezi waweza somesha mwanao IST Ndakilawe[/QUOTE]
 
Mimi mwenyewe mwanangu anasoma hapo , pesa yako tu mkuu maana ada sawa na bajeti ya wizara ya michezo
 



Tukubali tusikubali, huyu mtoto wala si wa Diamond maana hana kabisa dalili za ukoo wa Diamond but Ivan. Why huyu kijana anamng'ang'ania mtoto asiye wake?
 
Tafuteni ubalozi hata wa nyumba kumi mpeleke watoto wenu hapo wakale burger saa nne na kwenda mapumziko kwa kengere ya umeme.
 
Tukubali tusikubali, huyu mtoto wala si wa Diamond maana hana kabisa dalili za ukoo wa Diamond but Ivan. Why huyu kijana anamng'ang'ania mtoto asiye wake?
sasa ni wa Ivan au Katunzi?nyie ndumilakuwili mbona munatuchanganya?kama hamjui mumgawe kwa yupi huyo mtoto kati ya ivan au katunzi,basi bora mumwache aendelee kulelewa na huyo huyo babake wa kambo chibu.
 
Cheki sura ya mtoto, hafanani na Diamod wala mmoja kati ya wazazi wa Diamond hata kidogo.....mtoto ni wa Ivan halina ubishi na inaonyesha Zari ni demu wa aina gani kwa wanaume.
 
Mkuu Una uhakika na ulichokiandika? Sababu kadogo kangu kako pale sisi sio mabalozi wala wafanyakazi wa UN
mama yangu yuko chuo cha maafisa wa jeshi monduli mwalimu pale mshua hustler Mimi truck driver...usilete story za vijiweni hapa mnakula michips yenu ya mihogo na chachandu mnadanganyana halafu unaileta jf...ndorobo wewe
 
dah tiffah ana bahati, ni watoto wa mastaa wachache sana wenye bahati kama yake, ila cha kusikitika tu yule mtoto si damu ya kaka yetu, huyu zari ushetani wake ni wa hali ya juu
Mxyuuuuuuuuuuuuuuu sio damu ya diamond ni damu yako we vepe
Warumi hivi wema ana mimba kweli?
 
Umetaka criteria za pale kuwa ni watot wa mabaloozi,Un...and so forth.......tena umesema walikuwepo watot wa Bakhresa,Rostam....umejichanganya mkuuu....kwani Rostam..Bakhresa ni Mabaloozi..!!
 
hahhahahahahhahhaha eti ubalozi wa tembo unamtosha lol
 
Wewe ndie Ndorobo... kiazi mbatata kabisa.. Umewahi kwenda pale kuuliza taratibu, aukama mdogo wako anasoma pale..unajua ada nayolipa...

Pitia hii website you ujue zaidi, sio kuropoka tu www.istafrica.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…