wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Nimeshangaa pia, maana najua mzee Gulam Ndio baba yake MO.Af kama hujui Gullamabbas ndo baba yake Mo!! Huyu Arwa sidhani kama ana uhusiano na kina Mo!! Labda kama ni mtoto wa Murtaza!! Au majina tu yanafanana
Mtoa mada ana wenge!!Nimeshangaa pia, maana najua mzee Gulam Ndio baba yake MO.
Hatuna pesa bhna hospital zipo, USA, UK GERMANY, HISPANIA UFARANSA NA ULAYA MAGHARIBI South na India bora South Africa kuliko india ila kuke bei cheap sasaIla mkiugua mnakimbilia huko kutibiwa na mnapona [emoji38][emoji38][emoji38]
Naona hyo shule imejaa wahindi, wahaya nao wamoo na wachaga kwa mbalii
Ndio cha kushangaza,Yaani MIT wakupe scholarship bila kuiomba?
Niambie aliiomba hapo sawa, ila sio kwamba walimpa tu bila yeye kuomba. Inawezekana ndio ni kichwa sio kwa kiasi hicho unavompamba.
AiseeeUkiwa na ufaulu mzuri unapewa scholarship bila hata kuomba, mtoto wa kaka yangu alipewa scholarship ya kusoma bure baada ya kuwa na ufaulu mzuri
Yaani unadhania India ni kama Tz? My dear India ina vyuo vya viwango vya kimataifa (hivyo Watz huwa hawajiungi) na inatoa wataalamu wengi tu hasa kwenye maeneo ya udaktari na computer science.Yaaani mtu aache kwenda kusoma kwenye elimu bora aende India? Mbona baba zake hawakwenda India? India ni kama bongo tu hakuna elimu kule
Yaani unadhania India ni kama Tz? My dear India ina vyuo vya viwango vya kimataifa (hivyo Watz huwa hawajiungi) na inatoa wataalamu wengi tu hasa kwenye maeneo ya udaktari na computer science.
Tatizo la kuokota vitu twitterIndia wako vizuri sana kwenye elimu. Kwa mfano engineering, medicine, computer, mathematics, administration etc. Kuna ma CEO wengi Wahindi makampuni makubwa ya Marekani mfano Google etc
Unashindwa hata ku googleTatizo la kuokota vitu twitter
Hivi mbona saint kayumba hawaendagi huko MIT na Stanford UniversityHabari wadau.
Wahindi wapo makini sana na biashara zao. Watoto wao wanasomeshwa kwa malengo yao tu.
Mtoto wa kaka yake na Mo dewji ambaye anaitwa Gullam Dewji alikuwa kichwa kweli kweli katika shule ya kishua ya IST.
Alipomaliza high school alifanya vizuri sana katika mtihani wake wa SAT na ACT ambayo scores zake ndizo kipimo kinatumika kuingia vyuo vikubwa marekani na vyuo vikuu vya nchi kubwa zilizoendelea kama oxfords etc. Maksi alizopata chuo kikuu namba 1 duniani kinachoitwa MIT kilimpa admission with full ride scholarship.. yaani kila kitu buree kazi yake kusomaa tu.
Cha kushangaza mtoto huyo alikataa hiyo offer ya MIT kwa sababu alipaswa aende kufundishwa jinsi ya kuendesha biashara za familia yao huko nchini india.
Tangu shule ya IST imeanzishwa hakujawai kutokea mwanafunzi wa ki Tanzania aliyekataa full ride scholarship ya chuo kikuu namba moja duniani zaidi ya huyo mtoto wa Gullam Dewji.
Najiuliza tu hivi kuna mzazi Tanzania ama Mtoto anaweza kataa mwanae asiende kusoma hata udsm tu sababu anapaswa kufundishwa biashara ya familia ?
ARWA GULLAM ABASS DEWJI alishangaza mpaka walimu wa IST kwa hiyo jeuri.
View attachment 2337842
Hivi mbona saint kayumba hawaendagi huko MIT na Stanford University
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Unajua wajua Wahindi kwa kununua mitihani wewe?
Mkuu kama wazazi au wazee wameshatanguliza njia hakuna kuanzia sifuri ni kuendeleza tu mbele hio ndo advantage...Sioni cha ajabu chochote.
Ingekua maajabu kama angekataa scholarship halafu akaanza sifuri, siyo kusimamia biashara za home.
Mbona Bakhresa watoto wake walisoma ndio wakarudi kwenye biashara za Baba yake.
Hata Mo dweji alienda shule Kwanza ndio akarudi kwenye biashara
waafrica tuna ficha sababu sisi tuna asili ya UUNGU ndani yetu. matunguli ya kishetani si mwake.... lkn wahindi wazungu baba yao ibilisi! siyo wa asili wa Dunia hiii!!....ndo maana hata muafrica ufanyeje hawata kupenda, ......mweusi hamna asili moja nao!Huwajui wahindi wewe, tulia hivyohivyo. Alafu wao wala hawajifichiki kwenye kufanya hayo kwenye biashara Kama sisi wabongo. Mtu ofisini kajaza matunguri kibao alafu anajifichaficha, kwa muhindi hiyo haipo
Ada milioni 70 kwa mwaka. Utegemee kukuta mzaramo ama mmakonde ?
Zamani kulikuwa na zile 'National Geographic science competitions' za India kwa wanafunzi wa rika mbali mbali. Hapo ndiyo ulikuwa unaona tafauti kati ya wanafunzi wetu na wahindi.Unajua wajua Wahindi kwa kununua mitihani wewe?