Mtoto wa kike akifikisha umri upi wewe kama baba hupaswi kumpakata?

Mtoto wa kike akifikisha umri upi wewe kama baba hupaswi kumpakata?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
FB_IMG_1730656145403.jpg
 
Inategemeana, kule Ulaya hata akiwa na miaka 30 sawa tu

Shida huku kwetu, ukileta uzungu wa kupakatwa na hawa Wazee wenu waliovurugwa na maisha, hata ukiwa na miaka 15 anaweza kuwaka tamaa.

Sishauri watoto wakike Wala wa kiume kupakatwa

Dunia imeisha hii, watu wamekosa maadili kabisa
 
Achaneni ujingq haha kama kinamwezi mmoja mototo hapakatwi shetani yupo kwenye vichwa
 
Back
Top Bottom