gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Nimezungumzia kubebwaUmezoea kupakatwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimezungumzia kubebwaUmezoea kupakatwa?
Amani..🤗Polee mzee, yashapita.
Pole sana bro, tunakuombea sana 🙏Yeah, nina nafuu kubwa sana baada ya kutolewa chest tube
Uchaga ndio unasababisha ajali achana na ukabila bruhMmoja wenu hakuwa mchaga?
Kama kifo sio chako hata ukutane na mamba hakika atapita kama mjusiUmepona siyo!?
Utasimama vipi kwa mwanao we mwehu nini?Sema baba Amekaza 😁
Mshangazii katika moja na mbiliMakubwa haya!!
Makalio ya mtoto wa umri upi yanakuwa mazito kiasi ambacho baba ake hawezi mpakata??
Ukabila uko wapi?..acha kukurupuka,kuna mume mwenzangu mchaga kafa kwenye ajali kipindi hicho hicho ushimen kapata ajaliUchaga ndio unasababisha ajali achana na ukabila bruh
Ntasimama kulia😀 mkuuUtasimama vipi kwa mwanao we mwehu nini?
Unasimamisha kwa mtoto wako?Ntasimama kulia😀 mkuu
Huyu mshikaji huyo ni demu wake na siyo binti yake
Watt wa rutu aliwala kwa kuwekewa Mvinyo je mm ni naniUnasimamisha kwa mtoto wako?
😆😆😆😆😆Sema baba Amekaza 😁
Babu una jielewa sana!mimi mwanangu akianza tu kuelewa maelekezo nataka ajitegemee,hata nikipanda public transport namkatia siti yake ajue umuhimu wa kujitegemeaInategemeana, kule Ulaya hata akiwa na miaka 30 sawa tu
Shida huku kwetu, ukileta uzungu wa kupakatwa na hawa Wazee wenu waliovurugwa na maisha, hata ukiwa na miaka 15 anaweza kuwaka tamaa.
Sishauri watoto wakike Wala wa kiume kupakatwa
Dunia imeisha hii, watu wamekosa maadili kabisa