Mtoto wa kike akifikisha umri upi wewe kama baba hupaswi kumpakata?

Mtoto wa kike akifikisha umri upi wewe kama baba hupaswi kumpakata?

Mipaka inabidi izingatiwe, kuna umri mtoto wa kike ukifika, inabidi uanze kupunguza ukaribu na mazoea ya kila siku uliyonayo na mtoto
 
Inategemeana, kule Ulaya hata akiwa na miaka 30 sawa tu

Shida huku kwetu, ukileta uzungu wa kupakatwa na hawa Wazee wenu waliovurugwa na maisha, hata ukiwa na miaka 15 anaweza kuwaka tamaa.

Sishauri watoto wakike Wala wa kiume kupakatwa

Dunia imeisha hii, watu wamekosa maadili kabisa
Babu una jielewa sana!mimi mwanangu akianza tu kuelewa maelekezo nataka ajitegemee,hata nikipanda public transport namkatia siti yake ajue umuhimu wa kujitegemea
 
Back
Top Bottom