Mtoto wa kike akifikisha umri upi wewe kama baba hupaswi kumpakata?

Mtoto wa kike akifikisha umri upi wewe kama baba hupaswi kumpakata?

Babu una jielewa sana!mimi mwanangu akianza tu kuelewa maelekezo nataka ajitegemee,hata nikipanda public transport namkatia siti yake ajue umuhimu wa kujitegemea
Ni muhimu sana kuwafundisha watoto wetu kuhusu kujitegemea.

Dunia ya sasa imekuwa ya hovyo sana kulingana na matukio yanayoendelea.


Sisi miaka ya zamani, ilikuwa tangu tukiwa wadogo tulikuwa tukipewa mafundisho kuhusu kujitegemea kupitia mafunzo ya Jandoni.

Ndiyo maana ilikuwa kawaida zamani kumkuta Kijana wa miaka 15 amejenga ghetto lake na amehama kwenye boma la Wazazi wake.

Miaka ya zamani ilikuwa kawaida kumkuta Nyoka amelala kitandani kwako, kama Kijana wa kiume unapambana kumuua peke yako.

Siku hizi hadi unapiga simu Zimamoto kuja kukusaidia kuua Nyoka wa futi 2 tu 🙌
 
kwan ulishawahi nipakata??🤣🤣🤣🤣
Achana na hayo maswali, Big Daddy nataka nikusalimie,fika nikupakate kama salamu tafadhali.

Nimekukumbuka mno hadi viungo vya mwili vinakosa raha.
 
Achana na hayo maswali, Big Daddy nataka nikusalimie,fika nikupakate kama salamu tafadhali.

Nimekukumbuka mno hadi viungo vya mwili vinakosa raha.
Mzee
Kwan miss yupo wap achangamshe hivyo viungo
 
Wakuu,
Binti mkubwa hivyo kupakatwa na baba yake binafsi naona sio sawa. Hawa watoto wetu najua sio rahisi mtu kupandwa na tamaa, tumewalea toka wakiwa vichanga, wengine tumewabadilisha diapers na kuwaogesha, kuwavalisha nk. Ila kuna umri space ni muhimu. Its not like we'd do something stupid, but.....
 
Hilo ni tunda limeivia mtini linasuburi kuchumwa lioshwe tayari kwa kuliwa
 
Inategemeana, kule Ulaya hata akiwa na miaka 30 sawa tu

Shida huku kwetu, ukileta uzungu wa kupakatwa na hawa Wazee wenu waliovurugwa na maisha, hata ukiwa na miaka 15 anaweza kuwaka tamaa.

Sishauri watoto wakike Wala wa kiume kupakatwa

Dunia imeisha hii, watu wamekosa maadili kabisa
Ulaya ya wapi hiyo ambayo wanawake wa umri wa miaka 30 hupakatwa na baba zao na lionekane ni tendo la kawaida tu?

Nimetembelea nchi nyingi za ulaya na sijawahi shuhudia hilo!
 
Ulaya ya wapi hiyo ambayo wanawake wa umri wa miaka 30 hupakatwa na baba zao na lionekane ni tendo la kawaida tu?

Nimetembelea nchi nyingi za ulaya na sijawahi shuhudia hilo!
Kumbe ni jambo lisilofanyika kwenye jamii kubwa Duniani.

Kwahiyo wito utolewe Kwa Wazungu wa huko Kwa Mtogole, waache mara moja mambo ya kuwapakata na kuwabusu mdomoni mabinti zao Kwa kisingizio cha Usasa
 
Kama unapinga kukaliwa hivo na Binti yako mwenye umri huo, sema igwee
 
Kumbe ni jambo lisilofanyika kwenye jamii kubwa Duniani.

Kwahiyo wito utolewe Kwa Wazungu wa huko Kwa Mtogole, waache mara moja mambo ya kuwapakata na kuwabusu mdomoni mabinti zao Kwa kisingizio cha Usasa
Hayo huwa ni mambo ya tabia za watu binafsi, na si jamii nzima kwa ujumla wake.

Katika jamii zote, huwa wapo watu wenye tabia zisizokubalika.

Hizi Tanzania hakuna watu wazima ambao huvibaka vitoto vidogo?


View: https://youtu.be/4U1yNjp2nWA?si=zFuqYXWGs4oS2PBQ

Tanzania hakuna watu ambao hubaka watoto wao?


View: https://youtu.be/E9x9J35N9PY?si=9R3aiXWUXjCuobk8

Akija mgeni kutoka nchi tofauti halafu ashuhudie mambo kama hayo halafu arudi kwao na kuanza kutangaza Watanzania wana mila za kuwakula watoto wao wa kuwazaa, atakuwa sawa kweli?

Tabia/ matendo ya hawa wawili niliowatolea mfano hapa hawaniwakilishi mimi na hawaiwakilishi jamii nzima ya Kitanzania.

Hao ni wahalifu wanaojiwakilisha wenyewe.

Reprobates wapo kwenye kila jamii, ikiwemo Tanzania.
 
Hayo huwa ni mambo ya tabia za watu binafsi, na si jamii nzima kwa ujumla wake.

Katika jamii zote, huwa wapo watu wenye tabia zisizokubalika.

Hizi Tanzania hakuna watu wazima ambao huvibaka vitoto vidogo?


View: https://youtu.be/4U1yNjp2nWA?si=zFuqYXWGs4oS2PBQ

Tanzania hakuna watu ambao hubaka watoto wao?


View: https://youtu.be/E9x9J35N9PY?si=9R3aiXWUXjCuobk8

Akija mgeni kutoka nchi tofauti halafu ashuhudie mambo kama hayo halafu arudi kwao na kuanza kutangaza Watanzania wana mila za kuwakula watoto wao wa kuwazaa, atakuwa sawa kweli?

Tabia/ matendo ya hawa wawili niliowatolea mfano hapa hawaniwakilishi mimi na hawaiwakilishi jamii nzima ya Kitanzania.

Hao ni wahalifu wanaojiwakilisha wenyewe.

Reprobates wapo kwenye kila jamii, ikiwemo Tanzania.

Nakubaliana na wewe, kama ulivyosema hayo ni matendo ya watu wachache sio jamii nzima.

Wapo baadhi wamestarabika

Ila Kwa hali ya Dunia ilivyo, tusiruhusu watoto wetu kupakatwa na Vijana wa kiume ama Wanaume watu wazima.

Wanaweza kutuharibia mabinti zetu ama watoto wetu wa kiume
 
Nakubaliana na wewe, kama ulivyosema hayo ni matendo ya watu wachache sio jamii nzima.

Wapo baadhi wamestarabika

Ila Kwa hali ya Dunia ilivyo, tusiruhusu watoto wetu kupakatwa na Vijana wa kiume ama Wanaume watu wazima.

Wanaweza kutuharibia mabinti zetu ama watoto wetu wa kiume
Naam, kuna umri ambao ukifika, mambo ya kupakatana yanakoma.

Ni common sense [busara za kawaida] tu.

Ila kuna watu hawana kabisa maadili aisee.

Kuna mtu namfahamu huko Simiyu. Jamaa alikuwa anakulana na mama yake mdogo.

Sawa, wote walikuwa ni watu wazima. Lakini hmm…..unakulana na mama yako mdogo?

Tunapenda sana kujiona kuwa tuna jamii yenye maadili bora, lakini ukiangalia bila upendeleo, utaona kuwa hata jamii yetu imesheheni mambo ya hovyo sana.

Ethnocentrism ni janga.
 
Back
Top Bottom