Mtoto wa kike anatukana matusi kwenye daladala na anasema haogopi mtu

Mtoto wa kike anatukana matusi kwenye daladala na anasema haogopi mtu

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Jana nimekutana na dharau kwenye daladala ambapo kila mmoja alikua amefura kwa staili yake.

Baada ya kupanda tu dada akaanza kuongea na simu, ikionesha amemuazima gari anaeongea nae. Sentence “ gari yangu” ilitumika sana. Sauti ilikua kubwa gari zima alisikika yeye.

Sasa sijui uyo aneongea nae alimwambia nini, yule dada a kasema “ acha dharau za kisenge”
Next inaonekana aliambiwa we si uko kwenye daladala, huyu dada alisema “ Kwani namuogopa nani?”

Gari zima watu kimya, wanatazamana tu.
Huyu dada hajali nani yuko garini wala nini. Ni anajeri mbaya sana. Nilitaman ingekua night nikishuka nizunguuke dirishani nimpige kwenzi moja kali sana
 
Jana nimekutana na dharau kwenye daladala ambapo kila mmoja alikua amefura kwa staili yake.

Baada ya kupanda tu dada akaanza kuongea na simu, ikionesha amemuazima gari anaeongea nae. Sentence “ gari yangu” ilitumika sana. Sauti ilikua kubwa gari zima alisikika yeye.

Sasa sijui uyo aneongea nae apimwambia nini, yule dada a kasema “ acha dharau za kisenge”
Next inaonekana aliambiwa we si uko kwenye daladala, huyu dada alisema “ Kwani namuogopa nani?”

Gari zima watu kimya, wanatazamana tu.
Huyu dada hajali nani yuko garini wala jini. Ni anajeri mbaya sana. Nilitaman ingekua night nikishuka nizunguuke nilishani nimpige kwenzi moja kali sana
Afya ya akili.....
 
Jana nimekutana na dharau kwenye daladala ambapo kila mmoja alikua amefura kwa staili yake.

Baada ya kupanda tu dada akaanza kuongea na simu, ikionesha amemuazima gari anaeongea nae. Sentence “ gari yangu” ilitumika sana. Sauti ilikua kubwa gari zima alisikika yeye.

Sasa sijui uyo aneongea nae alimwambia nini, yule dada a kasema “ acha dharau za kisenge”
Next inaonekana aliambiwa we si uko kwenye daladala, huyu dada alisema “ Kwani namuogopa nani?”

Gari zima watu kimya, wanatazamana tu.
Huyu dada hajali nani yuko garini wala nini. Ni anajeri mbaya sana. Nilitaman ingekua night nikishuka nizunguuke dirishani nimpige kwenzi moja kali sana
Ungemtandika hilo kwenzi bana
 
Jana nimekutana na dharau kwenye daladala ambapo kila mmoja alikua amefura kwa staili yake.

Baada ya kupanda tu dada akaanza kuongea na simu, ikionesha amemuazima gari anaeongea nae. Sentence “ gari yangu” ilitumika sana. Sauti ilikua kubwa gari zima alisikika yeye.

Sasa sijui uyo aneongea nae alimwambia nini, yule dada a kasema “ acha dharau za kisenge”
Next inaonekana aliambiwa we si uko kwenye daladala, huyu dada alisema “ Kwani namuogopa nani?”

Gari zima watu kimya, wanatazamana tu.
Huyu dada hajali nani yuko garini wala nini. Ni anajeri mbaya sana. Nilitaman ingekua night nikishuka nizunguuke dirishani nimpige kwenzi moja kali sana

Mind your own business
 
Hii nakutana nayo hasa kwenye usafiri....

Mwendokasi wa kimara mzee wa watu kamkanyaga binti wa watu bahati mbaya

Dada alitoa matusi hayo,

Aseeh wanawake wengine wana ushenzii kutukana inasaidia nn sasa? zaidi ya kujidhalilishs ama upigwe Bure,
 
Ni ukosefu wa maadili na kuto kujali.
Ukisha kuwa sehemu yoyote ya uma acha yote yako kuwa kawaida.

Kila mtu akileta yake masalani kwenye daladala unadhani patakuwaje!

Ustaarabu mbele za watu ni kiwango kikubwa cha akili inayo jitambua.
 
Back
Top Bottom