Mtoto wa kike anatukana matusi kwenye daladala na anasema haogopi mtu

Mtoto wa kike anatukana matusi kwenye daladala na anasema haogopi mtu

Dah! Nimetoka kusoma kitabu cha jamaa mmoja anaitwa Peter Senge muda si mrefu.
 
Mind yo own mpaka atakapo kushambulia ndo ureact jombaa hapa mjini kila mtu na stress zake,afu mi dawa ya wanake wenye dharau ninayo au mwanamke mgomvi huwa simpigi namtia madole tu
 
Ni ukosefu wa maadili na kuto kujali.
Ukisha kuwa sehemu yoyote ya uma acha yote yako kuwa kawaida.

Kila mtu akileta yake masalani kwenye daladala unadhani patakuwaje!

Ustaarabu mbele za watu ni kiwango kikubwa cha akili inayo jitambua.
Mimi neno kama hili la usenge, msenge, najaribu kukumbuka siku ambayo nimewahi kulitumia lakini sikumbuki. Mmi siyo mtu wa kutumia maneno kama haya. Maneno yangu makali kabisa ni mjinga, mpumbavu, idiot au mshenzi.
 
kuna watu ni kauzu na wako hivyo. usikute akifika home akajisifu kua kuna mtu amemchamba sana.
Pengine mkuu! Umewaza sahihi kabisa na alitoa matusi ya kumshusha mwanaume utu! Nikasema wanawake wengine sijui hata kaolewa jamaa kaolea nn ?

Mwanamke awe na aibu, ama aulize in a politely way, mwendokasi usikanyagwe we nan?

Mm mkanda ushakatika nikijivuta kutoka kwenye nyomi la watu
 
Huenda ikawa si tusi, lakini je unaweza uksema mbele ya mzazi ama mkweo, akikupa zawadi, ukamwambia "ahsante, zawadi hii nimeipenda kisenge" 🤣
Wakati fulani mwanetu 🤣alijisahau siku moja anabonga na mzee wake akasema Ila mzee jua la kariakoo Lina ni kali kiqum@

Basi yule mzee alimkata Jina hilo akamwambia "kwahiyo hizo lugha za matusi ndicho kitu ulichonacho kichwani na kadi zako za benk hazina Ata mia🤣🥶"
 
Pole kwaa stress. Mbona maongezi ya kawaida tu hayo.

Punguza ubabe wa kijinga sio kila mtu atakubali apigwe ovyo
 
Wakati fulani mwanetu 🤣alijisahau siku moja anabonga na mzee wake akasema Ila mzee jua la kariakoo Lina ni kali kiqum@

Basi yule mzee alimkata Jina hilo akamwambia "kwahiyo hizo lugha za matusi ndicho kitu ulichonacho kichwani na kadi zako za benk hazina Ata mia🤣🥶"
Uyo mzee mstaarabu sana, mwengine angemtukana.
 
Sasa mkuu wangu majuzi kati kuna binti kapita mitaa yetu akandondosha elfu tano samoja hivi

Basi si akaanza kuitafta Ile 5k kwenye majani kazunguka pale masaa matatu anaomba omba elfu tano watu wanaopita watu akamwambia nenda home usku unaingia babu binti kagoma ety baba ake Ata mpiga na mwiko kisa kupoteza hela ikabidi nismkilize yule mtoto huruma ikaniingia budah nikachomoa 5k nikampa kwa wakati mwingine nikatafakari nikaona Huyu anaweza asijifunze
Wanawake na mabinti wadogo wamekua na jeuri sana. Feminism imewapumbaza basi wanajiona wababe kama John Cena.

Binti mmoja wa jirani yangu kuna siku hakurudi home mpaka mida ya usiku sana wakati sio kawaida yake. Tumemtafuta mtaani tukamkuta yupo sehemu na kijana fulani hivi., sasa anaambiwa twende nyumbani akaanza kufokea wakubwa zake halafu anasema niacheni na maisha yangu na yule kijana kuona wakubwa wanafokewa hawafanyi chohote nae akaungana na yule binti kufoka

Ilibidi ninunue ile kesi. Niliingilia kati nikatandika makofi wote wawili nikamwambia yule binti aongoze njia kurudi nyumbani.
 
Jana nimekutana na dharau kwenye daladala ambapo kila mmoja alikua amefura kwa staili yake.

Baada ya kupanda tu dada akaanza kuongea na simu, ikionesha amemuazima gari anaeongea nae. Sentence “ gari yangu” ilitumika sana. Sauti ilikua kubwa gari zima alisikika yeye.

Sasa sijui uyo aneongea nae alimwambia nini, yule dada a kasema “ acha dharau za kisenge”
Next inaonekana aliambiwa we si uko kwenye daladala, huyu dada alisema “ Kwani namuogopa nani?”

Gari zima watu kimya, wanatazamana tu.
Huyu dada hajali nani yuko garini wala nini. Ni anajeri mbaya sana. Nilitaman ingekua night nikishuka nizunguuke dirishani nimpige kwenzi moja kali sana
Umpige kwenzi alafu ukimbie
 
Back
Top Bottom