Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kupika makande ndio ilifaa kujadiliwa sio?We unaona hii mada inapaswa kujadiliwa hapa kweli kabisa?
Na kwanini upande daldala tulikubaliana hakuna kupanda daladala
Sasa hapo unaona kuna tusi au kuna fact hajaweka uzi wake vzrIla kupika makande ndio ilifaa kujadiliwa sio?
And it get worse every dayWanawake na mabinti wadogo wamekua na jeuri sana. Feminism imewapumbaza basi wanajiona wababe kama John Cena.
Binti mmoja wa jirani yangu kuna siku hakurudi home mpaka mida ya usiku sana wakati sio kawaida yake. Tumemtafuta mtaani tukamkuta yupo sehemu na kijana fulani hivi., sasa anaambiwa twende nyumbani akaanza kufokea wakubwa zake halafu anasema niacheni na maisha yangu na yule kijana kuona wakubwa wanafokewa hawafanyi chohote nae akaungana na yule binti kufoka
Ilibidi ninunue ile kesi. Niliingilia kati nikatandika makofi wote wawili nikamwambia yule binti aongoze njia kurudi nyumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kisenge ni tusi?
Jua linavuruga watu
Na watafikiwa wote wa hilo jiji [emoji23][emoji23][emoji23]Huko daslam kila mmoja anazidi kuchanganyikiwa kwa wakati wake....[emoji23]
Dawa ni kwenda nao kitaliban tu. Wanawake wanaheshima zaidi wakishughulikiwa kidikteta, ni hizi modern ideologies za 50/50 na feminism zimewapumbaza lakini kiasili mwanamke hana muunganiko na 50/50 ndio maana ukienda nae kwa mtindo huo wa usawa anakuaona dhaifu na atafanya majaribio ya kukupanda kichwaniAnd it get worse every day
Ko mdada wa watu kukanyagwa akae kimyaa? LolHii nakutana nayo hasa kwenye usafiri....
Mwendokasi wa kimara mzee wa watu kamkanyaga binti wa watu bahati mbaya
Dada alitoa matusi hayo,
Aseeh wanawake wengine wana ushenzii kutukana inasaidia nn sasa? zaidi ya kujidhalilishs ama upigwe Bure,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] woiiiiihIla kupika makande ndio ilifaa kujadiliwa sio?
Hapana Kuna excuse mzee alitoa Ila dada kajikuta ndo kachoka gari zima..Ko mdada wa watu kukanyagwa akae kimyaa? Lol
Wenye namba a and b mna waonea Sana, kwani gari jipya si Lina weza nunuliwa kibao 😂🤣Atakuwa ephen_ , kwa maana jana kaniazima starlet yake nyeupe plate namba A, si nikachelewa kuirudisha, nilijuta kuzaliwa, kumbe ulimsikia ?
Sasa mtu kavurugwa atokako, afu wee unakwazaa? Hata uombe msamaha, lazima akupumzikie tyuuh.Hapana Kuna excuse mzee alitoa Ila dada kajikuta ndo kachoka gari zima..
Sioni haja dearest ya kushindana namwambia it's ok, inatosha!😂Sasa mtu kavurugwa atokako, afu wee unakwazaa? Hata uombe msamaha, lazima akupumzikie tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HeheheHuenda ikawa si tusi, lakini je unaweza uksema mbele ya mzazi ama mkweo, akikupa zawadi, ukamwambia "ahsante, zawadi hii nimeipenda kisenge" 🤣